Damu ya Ben Saanane sasa yaanza kuipasua CCM

Damu ya Ben Saanane sasa yaanza kuipasua CCM

Damu ya kijana mbichi kabisa iliyomwagwa na lizee la miaka 60 sasa imeanza kujibu mapigo.

Dhihaka, dharau na kila aina ya madhila yanamuandama aliyeimwaga. Waliomuunga mkono kwa aina ya maisha na hulka alizokuwa nazo wanaumia mioyoni na akilini. Wanatamani asisimangwe hadharani. Lkn haiwezekani.

Kujiondoa ktk mkukuruko, mtikisiko na mkanganyo huu uchunguzi ufanyike ama taarifa ya kweli itolewe hadharani kuhusu kifo cha kijana huyu asiye na hatia.

Ukoo wa mhusika utoke hadharani na kuomba radhi, msamaha wa dhambi utolewe Mambo yataisha.

Bila kufanya hivyo, amini, amini anawaambieni hapatasalia jiwe juu ya jiwe. CCM inaenda kupasuka.

Ngumi zitapigwa hadharani. Visasi vya mauaji vitatamalaki na Lumumba hakutatulia.

Kila auaye kwa upanga hufa kwa upanga.
Dkt Magufuli hahusiki na kupotea kwa Ben hata kidogo. Kosa la Ben ni kama kosa la Lisu. Alijitoa kiasi kwamba wabaya wa serikali wakampoteza kwa sababu ukimpoteza mtu maarufu ambaye ni critic wa Dkt Magufuli dunia nzima itajua. Ingekuwa Dkt Magufuli kaua watu kiasi hicho kwanini serikali ya Dkt Samia haijaweka wazi na watu wakashitakiwa kwa mauaji ambayo yeye Dkt Magufuli aliyatekeleza???? Ndiyo ujue hao hao kundi hilo hilo lililomuua Dkt Magufuli ndiyo liliendesha propaganda za kuua watu na kusingizia Dkt Magufuli na ndiyo maana halina uwezo wa kujishitaki
 
Sasa hivi chadema mnapokea tu maelekezo na kutekeleza inavyotakiwa.

Bora hata TLP hali yao inafahamika tangia mwanzo ila si kwa hili anguko la aibu la Chadema.

Mbwembwe zote zile mkaja kutulizwa na asali kidogo tu.

Kwisha habari yenu.

Lisu kalipwa mafao yake, Mbowe kafutiwa kesi .

Kimyaa.
Una hasira ya kutupwa kwenye shimo la mbolea....usilie wenye chama wameingia Kibabe ...nyukaneni tu ukipanda chuki utavuna chuki tena mbichi.......
 
Dkt Magufuli hahusiki na kupotea kwa Ben hata kidogo. Kosa la Ben ni kama kosa la Lisu. Alijitoa kiasi kwamba wabaya wa serikali wakampoteza kwa sababu ukimpoteza mtu maarufu ambaye ni critic wa Dkt Magufuli dunia nzima itajua. Ingekuwa Dkt Magufuli kaua watu kiasi hicho kwanini serikali ya Dkt Samia haijaweka wazi na watu wakashitakiwa kwa mauaji ambayo yeye Dkt Magufuli aliyatekeleza???? Ndiyo ujue hao hao kundi hilo hilo lililomuua Dkt Magufuli ndiyo liliendesha propaganda za kuua watu na kusingizia Dkt Magufuli na ndiyo maana halina uwezo wa kujishitaki
Makaa ya mawe....
 
Damu ya kijana mbichi kabisa iliyomwagwa na lizee la miaka 60 sasa imeanza kujibu mapigo.

Dhihaka, dharau na kila aina ya madhila yanamuandama aliyeimwaga. Waliomuunga mkono kwa aina ya maisha na hulka alizokuwa nazo wanaumia mioyoni na akilini. Wanatamani asisimangwe hadharani. Lkn haiwezekani.

Kujiondoa ktk mkukuruko, mtikisiko na mkanganyo huu uchunguzi ufanyike ama taarifa ya kweli itolewe hadharani kuhusu kifo cha kijana huyu asiye na hatia.

Ukoo wa mhusika utoke hadharani na kuomba radhi, msamaha wa dhambi utolewe Mambo yataisha.

Bila kufanya hivyo, amini, amini anawaambieni hapatasalia jiwe juu ya jiwe. CCM inaenda kupasuka.

Ngumi zitapigwa hadharani. Visasi vya mauaji vitatamalaki na Lumumba hakutatulia.

Kila auaye kwa upanga hufa kwa upanga.

Mnapenda Sana kuongea mambo bila ushahidi

Huyo Ben saa nane alikuwa na nguvu gani mpaka rais amuue?

Alikuwa na impact gani kwenye taifa?

Yan kupiga piga makelele kwenye mitandao ndio rais amuue?

Achen mambo yenu
 
Dkt Magufuli hahusiki na kupotea kwa Ben hata kidogo. Kosa la Ben ni kama kosa la Lisu. Alijitoa kiasi kwamba wabaya wa serikali wakampoteza kwa sababu ukimpoteza mtu maarufu ambaye ni critic wa Dkt Magufuli dunia nzima itajua. Ingekuwa Dkt Magufuli kaua watu kiasi hicho kwanini serikali ya Dkt Samia haijaweka wazi na watu wakashitakiwa kwa mauaji ambayo yeye Dkt Magufuli aliyatekeleza???? Ndiyo ujue hao hao kundi hilo hilo lililomuua Dkt Magufuli ndiyo liliendesha propaganda za kuua watu na kusingizia Dkt Magufuli na ndiyo maana halina uwezo wa kujishitaki
Utetezi huu unakosa mashiko kwasabb jiwe kama kiongozi wa nchi mbona hakuchukua hatua kwa kuamuru vyombo vya dola kufanya uchunguzi wa kupotea kwa Ben Sa8?

Na kuhusu Lisu hapa ndiyo alionesha wazi kabisa kuwa alihusika. Alikataza wanaccm wenzake kwenda kumuona hospitali, alikataza watu kumchangia damu, alizuia watu kumchangia fedha, alimnyima stahiki zake, alimvua mpk ubunge. Jiwe yule anastahili zaidi ya haya
 
Sasa hivi chadema mnapokea tu maelekezo na kutekeleza inavyotakiwa.

Bora hata TLP hali yao inafahamika tangia mwanzo ila si kwa hili anguko la aibu la Chadema.

Mbwembwe zote zile mkaja kutulizwa na asali kidogo tu.

Kwisha habari yenu.

Lisu kalipwa mafao yake, Mbowe kafutiwa kesi .

Kimyaa.

Vijana wao bado wanakesha kwenye mitandao na story za uongo uongo
 
Mnapenda Sana kuongea mambo bila ushahidi

Huyo Ben saa nane alikuwa na nguvu gani mpaka rais amuue?

Alikuwa na impact gani kwenye taifa?

Yan kupiga piga makelele kwenye mitandao ndio rais amuue?

Achen mambo yenu
Alimuua kwa kwa kumpiga risasi kwa mkono wake. Msipotubu hadharani yatawapata makubwa.
 
Jina lako Tu linaonesha ww ni kijana wa Aina gani
Umezidiwa nguvu na hoja za JF. Ondoka nenda Facebook mnakojadiliana namna ya kufirana . Hkuku hakukufai.
 
Umezidiwa nguvu na hoja za JF. Ondoka nenda Facebook mnakojadiliana namna ya kufirana . Hkuku hakukufai.

Nilijua Tu, uwe na jina kama Hilo na uwe mwanaume wa kawaida haiwezekani

Naona ushaanza kuongea mambo yako yanayokuweka mjini

Rais amuue Ben Kwa kitu gani? Alikuwa na nguvu gani?

Secretary wa mbowe, awe na ishu ya kuzingua serikali?

Acha ujinga
 
Damu ya kijana mbichi kabisa iliyomwagwa na lizee la miaka 60 sasa imeanza kujibu mapigo.

Dhihaka, dharau na kila aina ya madhila yanamuandama aliyeimwaga. Waliomuunga mkono kwa aina ya maisha na hulka alizokuwa nazo wanaumia mioyoni na akilini. Wanatamani asisimangwe hadharani. Lkn haiwezekani.

Kujiondoa ktk mkukuruko, mtikisiko na mkanganyo huu uchunguzi ufanyike ama taarifa ya kweli itolewe hadharani kuhusu kifo cha kijana huyu asiye na hatia.

Ukoo wa mhusika utoke hadharani na kuomba radhi, msamaha wa dhambi utolewe Mambo yataisha.

Bila kufanya hivyo, amini, amini anawaambieni hapatasalia jiwe juu ya jiwe. CCM inaenda kupasuka.

Ngumi zitapigwa hadharani. Visasi vya mauaji vitatamalaki na Lumumba hakutatulia.

Kila auaye kwa upanga hufa kwa upanga.
Ha
JamiiForums1642855202.jpg
 
Utetezi huu unakosa mashiko kwasabb jiwe kama kiongozi wa nchi mbona hakuchukua hatua kwa kuamuru vyombo vya dola kufanya uchunguzi wa kupotea kwa Ben Sa8?

Na kuhusu Lisu hapa ndiyo alionesha wazi kabisa kuwa alihusika. Alikataza wanaccm wenzake kwenda kumuona hospitali, alikataza watu kumchangia damu, alizuia watu kumchangia fedha, alimnyima stahiki zake, alimvua mpk ubunge. Jiwe yule anastahili zaidi ya haya
Je Serikali ya Rais Samia ambayo inamkandia kila kukicha na yenye wazee wanajiona wao hawatakufa na wana vyombo vyote vya ulinzi na usalama wanashindwa nini kuanzisha uchunguzi na kuweka bayana namna Dkt Magufuli alivyomuua Bensaa8??? Ujue wahusika ndiyo wao hawawezi kujichunguza. Ingekuwa Dkt Magufuli kaua basi lilikuwa jambo la haraka wangefanya ili wamchafue. Mbona huwa hamsemi Daudi Mwangosi walivyouawa mchana kweupe Iringa na kwa nini huwa hamsemi JK ni muuaji? Mbona huwa hamsemi Dkt Ulimboka alivyotupwa Mabwe Pande mpaka leo ni kichaa na wala hamsemi Dkt Kikwete muuaji??? Acheni uzushi, Dkt Magufuli yupo mioyoni mwa watanzania, pamoja mlimuua ila bado anaishi mioyoni mwa watanzania
 
Hata saa mbovu kuna wakati inapatia majira sawa sawa, Mzee Makamba japo ni mropokaji lakini kuhusu huyu ibilisi wa chatle amepatia kabisa, yule mtu alikuwa mwovu kupindukia
 
Tukiwaambia
CHADEMA hakuna Sera mnabisha!

Tukiwaambia CHADEMA mnatembelea kivuli cha Magufuli Mnabisha!

Pamoja na Lissu kuitumia Hoja ya Ben Saanane na Wengineo,ili kuusaka urais bado hakuweza kuushawishi Umati kumchagua!

Kuna watu wengi Sana wenye uzito kuliko hata Ben Saa Nane wameifia nchi hii,kwa kutafuta haki ya wengi.

Lakini kamwe,hawajatumika majukwaani kuombea kura!

Tunaujua ,Tunauishi na kuuona ubaya wa CCM.

Lakini ifike mahali,wale wanaojipambanua kuwapigania wananchi.

Wajue kwamba kila kitu kina gharama zake!
kwa hiyo unapoamua kuingia vitani...umekubaliana na chochote kitakakachotokea.

Ndio maana Duniani tunao kina....
Che-Guevara,Patrice Lumumba,Steve Biko,Malcolm X,Chris Hani,Eduardo Mondlane na kina Dedan kimathi.

Hao kwa uchache,na kutokea sehemu tofauti Duniani.

Waliamua na kuzifia Imani za harakati zao.

Kwamba ukisema kwa uchache....

Hata "Damu" ya
CHACHA WANGWE!

Nayo inao wake inaowatafuna!

Tafuteni sera za kuikabili CCM kwa kupata ushawishi toka kwa Raia,badala ya kuishi kama wasimbe!

Siasa ni mchezo mchafu.....
Magufuli alishinda uchaguzi wa 2020 ?
 
Je Serikali ya Rais Samia ambayo inamkandia kila kukicha na yenye wazee wanajiona wao hawatakufa na wana vyombo vyote vya ulinzi na usalama wanashindwa nini kuanzisha uchunguzi na kuweka bayana namna Dkt Magufuli alivyomuua Bensaa8??? Ujue wahusika ndiyo wao hawawezi kujichunguza. Ingekuwa Dkt Magufuli kaua basi lilikuwa jambo la haraka wangefanya ili wamchafue. Mbona huwa hamsemi Daudi Mwangosi walivyouawa mchana kweupe Iringa na kwa nini huwa hamsemi JK ni muuaji? Mbona huwa hamsemi Dkt Ulimboka alivyotupwa Mabwe Pande mpaka leo ni kichaa na wala hamsemi Dkt Kikwete muuaji??? Acheni uzushi, Dkt Magufuli yupo mioyoni mwa watanzania, pamoja mlimuua ila bado anaishi mioyoni mwa watanzania

Kunywa supu ya kuku Kwa bill yangu
 
Ben aliuwawa na chadema wenzako alikuwa PS wa mbowe aulizwe mbowe

USSR
Unatia aibu , Subirini video ya mauaji yake itakapoletwa hadharani hivi karibuni , hamtaamini macho yenu
 
Nilijua Tu, uwe na jina kama Hilo na uwe mwanaume wa kawaida haiwezekani

Naona ushaanza kuongea mambo yako yanayokuweka mjini

Rais amuue Ben Kwa kitu gani? Alikuwa na nguvu gani?

Secretary wa mbowe, awe na ishu ya kuzingua serikali?

Acha ujinga
Nchi hii tunasafari ndefu sana muda wote vjana wa nchi wanajadili matukio na SI namna ya kufanya nchi isonge mbele
 
Back
Top Bottom