Damu ya Ben Saanane sasa yaanza kuipasua CCM

Damu ya Ben Saanane sasa yaanza kuipasua CCM

Unapoongelea uchaguzi ndipo unaponifanya nijue kuwa kuna baadhi yetu tupo kazini, kutetea kwa hali na mali hata kama ukweli upo wazi. Kuna Mikoa uchaguzi wa Serikali za mitaa CCM ilipita bila kupingwa kwa kigezo cha wapinzani kushindwa kujaza fomu. Yaani Mkoa mzima wote walifeli suala ambalo kilichofanyika kinaeleweka wazi kabisa. Kuna mahali ni vema kukaa kimya.
Hii hali lwa sasa watz walewale walioshiriki hayo mabaya wapo makanisani na misikitini huku wakiendelea na maisha. Kitu kibaya sana.
Kwa nafasi hii bado naiomba serikali ihakikishe hizi chaguzi ndogo za vitongoji na vijiji waachiwe wananchi wachaguane kwa upendo wao.
Avchana na hawa machawa. Watakuumiza kichwa bure. Jiwe aliiba uchaguzi hakuiba kura
 
Dkt Magufuli hahusiki na kupotea kwa Ben hata kidogo. Kosa la Ben ni kama kosa la Lisu. Alijitoa kiasi kwamba wabaya wa serikali wakampoteza kwa sababu ukimpoteza mtu maarufu ambaye ni critic wa Dkt Magufuli dunia nzima itajua. Ingekuwa Dkt Magufuli kaua watu kiasi hicho kwanini serikali ya Dkt Samia haijaweka wazi na watu wakashitakiwa kwa mauaji ambayo yeye Dkt Magufuli aliyatekeleza???? Ndiyo ujue hao hao kundi hilo hilo lililomuua Dkt Magufuli ndiyo liliendesha propaganda za kuua watu na kusingizia Dkt Magufuli na ndiyo maana halina uwezo wa kujishitaki
Points tupu
 
Lissu alishinda uchaguzi wa 2020 na wananchi walimuelewa haswaaa na Ndio maana hamtaki tume huru ya uchaguzi kama mliamini jpm alishinda na ccm inakubalika basi 2025 kuwe na tume huru kama ya kenya na matokeo yatokee moja kwà moja kwenye vituo kwenda tume kusiwepo mtu wa Kati wa kuyaedit ndio mtajua ccm inachukiwa kiasi gani!
MTU asiye na Akili Tu ndo anayeweza kuwaza kwamba lisu alishinda Kwa sababu wanachama wa CCM Tu wanatosha kuipa CCM ushindi.
 
Damu ya kijana mbichi kabisa iliyomwagwa na lizee la miaka 60 sasa imeanza kujibu mapigo.

Dhihaka, dharau na kila aina ya madhila yanamuandama aliyeimwaga. Waliomuunga mkono kwa aina ya maisha na hulka alizokuwa nazo wanaumia mioyoni na akilini. Wanatamani asisimangwe hadharani. Lkn haiwezekani.

Kujiondoa ktk mkukuruko, mtikisiko na mkanganyo huu uchunguzi ufanyike ama taarifa ya kweli itolewe hadharani kuhusu kifo cha kijana huyu asiye na hatia.

Ukoo wa mhusika utoke hadharani na kuomba radhi, msamaha wa dhambi utolewe Mambo yataisha.

Bila kufanya hivyo, amini, amini anawaambieni hapatasalia jiwe juu ya jiwe. CCM inaenda kupasuka.

Ngumi zitapigwa hadharani. Visasi vya mauaji vitatamalaki na Lumumba hakutatulia.

Kila auaye kwa upanga hufa kwa upanga.
Unaona unavyojiaibisha watu wengi huku wanakukosoa.kwa Sababu unaongea pumba
 
Dr. Ulimboka si aliokolewa na malaika akakiepuka kifo?

Mwangosi naye si walimfanya ya kwao, yaani kwenye watu 100 woote we umemwona Saanane tu?

Unaonesha we ni mbaguzi. Nchi hii kuua hakujaanza leo na hata marais wote wameuawa na bado nchi iko vile vile.

Tizame nje ya dirisha, punguza kujifungia sana ndani
 
Ule ni mkutano wa kiume siyo Chadema Wabunge 20 Wote akina mama hii ina maana Chadema haina wababa zile suruwali ni mavazi tu
chadema haina mbunge labda kama kuna mpumbavu anaamini chadema inawabunge na kama mpumbavu huyo yupo hawez kuisumbua chadema maana chadema itamchukulia kulingana na upumbavu wake
 
Sukuma gang hamtaki kuusikia ukweli kwamba Mungu wenu alikuwa mtu mbaya.

"Wema hawafi" by mzee Makamba
Sukuma gang ndo kina Nani Mimi ni mtanzania mwenye akili zake.Sio kama nyie mnaojiaibisha huku Magufuli hachafuliki.
 
yaani kwenye watu 100 woote we umemwona Saanane tu?
Asante kwa kunikumbusha. Ni kweli Magufuli ameua watu wengi Sana. Zaidi ya hao 100 uliowataja. Be n sa8 ni mfano tu.

Alaaniwe huko aliko
 
Dr. Ulimboka si aliokolewa na malaika akakiepuka kifo?

Mwangosi naye si walimfanya ya kwao, yaani kwenye watu 100 woote we umemwona Saanane tu?

Unaonesha we ni mbaguzi. Nchi hii kuua hakujaanza leo na hata marais wote wameuawa na bado nchi iko vile vile.

Tizame nje ya dirisha, punguza kujifungia sana ndani
Kamsahau hadi Chacha Wangwe
 
Damu ya Chacha wangwe imeshaipasua Chadema.

Kwa sasa Chadema haina tofauti na TLP ya Gwiji Mrema.
Magufuli alikuja kichwakichwa kutuvurugia chama anapachika ndugu zake kwenye uongozi wa chama tukamwambia CCM inawenyewe!!!

In fact, wasukuma hawana historia yoyote kwenye chimbuko la ccm wala historia ya ukombozi wa nchi. Chama sasa kimerudi kwa wenyewe na walahakuna wa kupasua
 
Tukiwaambia
CHADEMA hakuna Sera mnabisha!

Tukiwaambia CHADEMA mnatembelea kivuli cha Magufuli Mnabisha!

Pamoja na Lissu kuitumia Hoja ya Ben Saanane na Wengineo,ili kuusaka urais bado hakuweza kuushawishi Umati kumchagua!

Kuna watu wengi Sana wenye uzito kuliko hata Ben Saa Nane wameifia nchi hii,kwa kutafuta haki ya wengi.

Lakini kamwe,hawajatumika majukwaani kuombea kura!

Tunaujua ,Tunauishi na kuuona ubaya wa CCM.

Lakini ifike mahali,wale wanaojipambanua kuwapigania wananchi.

Wajue kwamba kila kitu kina gharama zake!
kwa hiyo unapoamua kuingia vitani...umekubaliana na chochote kitakakachotokea.

Ndio maana Duniani tunao kina....
Che-Guevara,Patrice Lumumba,Steve Biko,Malcolm X,Chris Hani,Eduardo Mondlane na kina Dedan kimathi.

Hao kwa uchache,na kutokea sehemu tofauti Duniani.

Waliamua na kuzifia Imani za harakati zao.

Kwamba ukisema kwa uchache....

Hata "Damu" ya
CHACHA WANGWE!

Nayo inao wake inaowatafuna!

Tafuteni sera za kuikabili CCM kwa kupata ushawishi toka kwa Raia,badala ya kuishi kama wasimbe!

Siasa ni mchezo mchafu.....
Maelezo marefu lkn pumba tupu??
 
Asante kwa kunikumbusha. Ni kweli Magufuli ameua watu wengi Sana. Zaidi ya hao 100 uliowataja. Be n sa8 ni mfano tu.

Alaaniwe huko aliko
Ulibaki wewe na una bahati.
Alipitwa na JK feki aliyeua 1m na akatembeza wazee uchi surrender bridge

R.I.P Silyvester Rwegasira shujaa wa TRL na mzalendo wa kweli. Hilter alimtoa roho 2008
 
Magufuli alikuja kichwakichwa kutuvurugia chama anapachika ndugu zake kwenye uongozi wa chama tukamwambia CCM inawenyewe!!!

In fact, wasukuma hawana historia yoyote kwenye chimbuko la ccm wala historia ya ukombozi wa nchi. Chama sasa kimerudi kwa wenyewe na walahakuna wa kupasua
Magufuli alirejesha imani ya wananchi kwa chama.

Ila hawa wajuaji ndio wanataka kukirejesha tena shimoni kilipokuwa.
 
Mbowe pia kaua watu wengi alaaniwe pia?
Mbowe hana vyombo vya dola. Kwa namnq serikali ya ccm inavyotamani kumuondoa kwenye uenyekiti wa chadema wangelitumia tukio Hilo kumuuangamiza kisiasa.

Magufuli was a remorseless killer. May God continue punishing him with eternal blaze
 
Daudi mwangosi nakukumbuka, watu wanataka kutudanganya kwamba wao ni safi.WAKATI WALIUA WATOTO OLASITI WAKIWA MADARAKANI.
 
Back
Top Bottom