Damu ya Ben Saanane sasa yaanza kuipasua CCM

Avchana na hawa machawa. Watakuumiza kichwa bure. Jiwe aliiba uchaguzi hakuiba kura
 
Points tupu
 
Are you sure? You must be kidding coon!

Yes coz wengi wenu sio wapiga kura, wengi wenu ni makelele na ujuaji mwingi kama hivi

Na hapo ndio ccm wanapowashinda,
 
MTU asiye na Akili Tu ndo anayeweza kuwaza kwamba lisu alishinda Kwa sababu wanachama wa CCM Tu wanatosha kuipa CCM ushindi.
 
Unaona unavyojiaibisha watu wengi huku wanakukosoa.kwa Sababu unaongea pumba
 
Dr. Ulimboka si aliokolewa na malaika akakiepuka kifo?

Mwangosi naye si walimfanya ya kwao, yaani kwenye watu 100 woote we umemwona Saanane tu?

Unaonesha we ni mbaguzi. Nchi hii kuua hakujaanza leo na hata marais wote wameuawa na bado nchi iko vile vile.

Tizame nje ya dirisha, punguza kujifungia sana ndani
 
Ule ni mkutano wa kiume siyo Chadema Wabunge 20 Wote akina mama hii ina maana Chadema haina wababa zile suruwali ni mavazi tu
chadema haina mbunge labda kama kuna mpumbavu anaamini chadema inawabunge na kama mpumbavu huyo yupo hawez kuisumbua chadema maana chadema itamchukulia kulingana na upumbavu wake
 
Sukuma gang hamtaki kuusikia ukweli kwamba Mungu wenu alikuwa mtu mbaya.

"Wema hawafi" by mzee Makamba
Sukuma gang ndo kina Nani Mimi ni mtanzania mwenye akili zake.Sio kama nyie mnaojiaibisha huku Magufuli hachafuliki.
 
yaani kwenye watu 100 woote we umemwona Saanane tu?
Asante kwa kunikumbusha. Ni kweli Magufuli ameua watu wengi Sana. Zaidi ya hao 100 uliowataja. Be n sa8 ni mfano tu.

Alaaniwe huko aliko
 
Kamsahau hadi Chacha Wangwe
 
Damu ya Chacha wangwe imeshaipasua Chadema.

Kwa sasa Chadema haina tofauti na TLP ya Gwiji Mrema.
Magufuli alikuja kichwakichwa kutuvurugia chama anapachika ndugu zake kwenye uongozi wa chama tukamwambia CCM inawenyewe!!!

In fact, wasukuma hawana historia yoyote kwenye chimbuko la ccm wala historia ya ukombozi wa nchi. Chama sasa kimerudi kwa wenyewe na walahakuna wa kupasua
 
Maelezo marefu lkn pumba tupu??
 
Asante kwa kunikumbusha. Ni kweli Magufuli ameua watu wengi Sana. Zaidi ya hao 100 uliowataja. Be n sa8 ni mfano tu.

Alaaniwe huko aliko
Ulibaki wewe na una bahati.
Alipitwa na JK feki aliyeua 1m na akatembeza wazee uchi surrender bridge

R.I.P Silyvester Rwegasira shujaa wa TRL na mzalendo wa kweli. Hilter alimtoa roho 2008
 
Magufuli alirejesha imani ya wananchi kwa chama.

Ila hawa wajuaji ndio wanataka kukirejesha tena shimoni kilipokuwa.
 
Mbowe pia kaua watu wengi alaaniwe pia?
Mbowe hana vyombo vya dola. Kwa namnq serikali ya ccm inavyotamani kumuondoa kwenye uenyekiti wa chadema wangelitumia tukio Hilo kumuuangamiza kisiasa.

Magufuli was a remorseless killer. May God continue punishing him with eternal blaze
 
Daudi mwangosi nakukumbuka, watu wanataka kutudanganya kwamba wao ni safi.WAKATI WALIUA WATOTO OLASITI WAKIWA MADARAKANI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…