Damu ya usaliti wa CHADEMA imewamaliza 2020

Damu ya usaliti wa CHADEMA imewamaliza 2020

Nashangaa wale wanaoshangalia upinzani kushindwa bila kujua kwamba uwepo wa wapinzan ndio uimara wa ccm na uwajibikaji wa serikali, sasa hivi bunge lote linaenda kuwa na wabunge wa ccm sasa unajiuliza hawa wataweza kui challenge serikali? Miaka mi5 ya maumivu makubwa kwa wananchi
Kwani ninibwaliwahi kupitishabhao wapinzani Bajeti zote walizipinga na kutoka njeee .....Yaani kinachoniuma mimi ni hii pesa ya UCHAGUZI imepotea buraaaa
 

Huyu aliambiwa siku nyingi harudi Bungeni ni kiburi chake tu ndio kimemponza. Wakati wake wa juu ulikuwa gari lake liliposukumwa pale Ubungo . Imekula kwake, wasaliti kama hawa hii ndio dawa yao.
 
Wale maadui watatu wa taifa bado wangalipo na wanaonekana kuzidi kujiimarisha zaidi hasa huyu ignorance'ujinga' amezidi kujidhihirisha kupitia mtoa Post... Tusimame kwa pamoja tuwashinde hawa mahasimu wetu😡
 
Chatoo Mpooooooooooooooooo
Mwanza mpooooooooooooooo
Dar es salaam mpooooooooooooo
Arusha....mpooooooooooooooooo
Singida mpoooooooooooo
🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂 Tupoooooooooo
Kwenye kunipigiaaaa Kura Mpooooooooooooo
😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡 Ebu Acha Ujinga wewe nani Akupigie Kura Kibarakaaaaa Hatupooooooooooooo

Eti, eti.eti, eti, sasa, sasa, sasa, sasaaaa. Kuwadi wa ushoga Tanzania chali mbende mbende. Lissu alivyokuwa anapigia mahesabu kufanya biashara ya kuuza kama vyuma chafu materials zilizojengea miundo mbinu imekula kwake.


Shime shime wazalendo wa Taazania kibaraka huyu wa mababeberu na mashoga asitoroke nchi atatuletea usumbufu usio wa lazima atakapoenda kupayukia hovyohovyo huko kwenye vyombo vya habari vya mabeberu.

Wapotoshaji wote waliojitokeza wakati wa kampeni walipie gharama ya matendo yao. Haiwezekani mtu mzima na midefu iliyojificha kwenye gagulo lake anawahadaa wananchi kwa kauli ya hatutakula miuondo mbinu.
 
Chatoo Mpooooooooooooooooo
Mwanza mpooooooooooooooo
Dar es salaam mpooooooooooooo
Arusha....mpooooooooooooooooo
Singida mpoooooooooooo
[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23] Tupoooooooooo
Kwenye kunipigiaaaa Kura Mpooooooooooooo
[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35] Ebu Acha Ujinga wewe nani Akupigie Kura Kibarakaaaaa Hatupooooooooooooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Asante sana wana kigoma

Huyu si ndio alikua anazunguka duniani kukataza pesa ya elimu isiingie Tanzania

Mmemtendea haki kwa kweli

Wanasiasa vibaraka wa wazungu wajue hakuna mkubwa Tanzania kuliko watanzania wenyewe
Sasa tuone kuroga kwake kupooo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndioo asaivi sijui ruzuku itakuwa beigani ya ACT hahahhahaaa [emoji23][emoji23]

Msaliti sio mtu mzuri
 
Back
Top Bottom