Damu ya usaliti wa CHADEMA imewamaliza 2020

Damu ya usaliti wa CHADEMA imewamaliza 2020

Ni wazi Wala Bila Shaka kwa Sasa CHADEMA na ndugu zake wamepata matunda ya usaliti wao kwa wananchi.

Msimtafute mchawi hali ya kua mmejiroga wenyewe kwa matendo yenu kwa wananchi na Wala msiangalie mlipoangukia,rudini Sasa muangalie mlipo jikwaa.

Wanachi wengi wamekata tamaa na nyinyi kiasi kwamba hawakua tayari kujisumbua kwenda kituoni kupiga kura.Hivi nikapigie kura chama ambacho;

Wabunge wao na Madiwani rahisi kununulika kwa mujibu wa wao,nitaamini vp walobaki hawanunuliki? Cha ajabu hata wale waloaminika Kama wanamadiliko Kama kina Nassari, Lijuakali, Selasini, Katambi

Mwanachi aliyevuja jasho kusimama vituoni huku akigombana na kuwekeana bifu na familia/marafiki kisa mabadiliko 2015, kisha mkaanza unga juhuudi kisa mna Uhuru wa kuhama chama muda wowote,eti Leo umtoe akakupigie kura!

Ninyi ni wabinafsi sana na hamna msaada wowote kwa wanachi huku mmekua na majibu mabovu tukiwafata Kama wawakilishi wetu kutaka misaada mbali mbali na mkitujibu nyinyi hamuhusiki tuwafate serikali (Kubenea na Bonifasi Jacob tuliwaambia na wanajua jinsi kina mama na wamachinga wakati wanawafata mpaka makwao Jimbo la Ubungo huku wakiwachenga na kujinunulia magari huku wakifaidi ubunge/umeya.

Hamuonekani majimboni huku mkijificha katika mwavuli wa marufuku ya kisiasa/mikutano mkashindwa hata kukaa vikao na Sisi wanachi wenu.

Miaka5 mnakimbizana kuanzisha miradi yenu na familia zenu kwa fedha/mikopo ya ubunge mkasahu uwakilishi wenu, Ubunge ni sehemu ya ajira zenu za kujinufaishi na kujilimbikizia mali na msiseme mnatupigania,wengine wakianzisha mahoteli,majumba makubwa na kututambia suti za gharama toka Italy na Ulaya?

Mnapiga kelele kua shule ni mbovu na kukaa kimya hamchukui hatua yoyote hata kuzisaidiq binafsi kwa kua watoto wenu hawasomi huko, tena kwa jeuri mnapeleka watoto wenu na mnatutambia wao kusoma international school.

Laiti mngewaleta kayumba school bila Shaka spirit ya mabadiliko ya hizo school ingekua kubwa maana mnge feel machungu yake. Niinyi hamjui lolote afu mnataka kujidai kutusemea,mnasema msichokijua.

Nyinyi mlikatisha tamaa sana wapiga kura wa 2015, wameshindwa kurudi tena kupanga mistari kuwapigia kura nyinyi ni wasaliti wakubwa wa nchi hii.

Mna Ndimi mbili na imekua desturi yenu na hamna anayewaamini tena;

Mlimuita na kutuaminisha Lowasa fisadi tena ni wale mafisadi papa katika viwanja vya mwembe yanga,akaja kua mgombea urais wa Chadema. Wanachi tukavunga

Mlituaminisha sumaye Ni fisadi na zero brain, badae mkambeba Tena na uenyekiti juu

Mlituaminisha Lazaro nyarandu aliruhusu Twiga,Simba na chuo kupanda ndege,badae mkambeba na ilibaki kidogo kua mgombea wenu wa urais

Mlituaminisha Wabunge/Madiwani wenu hi wapambanaji na ni watu sahihi, ghafla wakaunga juhudi.

Mkamfukuza zito kabwe na Kitila mkumbo kisa ni wasaliti

Mkamsaliti Dr. Slaa na kumuita Dr. Mihogo

Mkampa ukatibu mkuu Dr. Mashinji Leo yupo CCM, Mkampa uenyekiti vijana(Bavicha)Patrobasi Katambi na leo ni mwana CCM kindakindaki tena alikula mpaka ukuu wa wilaya na nyodo juu.

Mkatuaminisha Nasari anaonewa kuvuliwa ubunge na kupaza sauti, leo yupo CCM,

Mwita waitara naye akaunga juhudi.

Madiwani kila kona tulowapigia kura na ghafla wakaunga juhudi,nani awaamini walobaki au walotaka uwakilishi na kupigiwa kura 2020?

Ruzuku ya chama haieleweki matumiz yake na wakihoji watu mnawafukuza na kuwaita wasaliti.

Mnajiuliza kilichotokea jana

In short hamuaminiki na ni wasaliti nyinyi, waacheni wananchi waendelee na shida zao, wakichoka watanena kwa lugha zao, na si kutumia shida zao kama mtaji wa kisiasa wa Sacco's yenu hii.

Damu ya usaliti kwa wananchi itaendelea kuwatafuna mpaka mwisho.
We mwenyewe unajua kuwa ni ujambazi tu umetumika.

Ila hongera
 
Tunasubiri kawe na arusha mjini ili sisi CCM tumalize kazi.
 
Tulishasema sana humu Chadema ikipata hata viti vitano vya wabunge basiwashukuru sana.
 
Kweli kabisa. Damu yenyewe hii hapa:

1603963717279.png


Ni wazi Wala Bila Shaka kwa Sasa CHADEMA na ndugu zake wamepata matunda ya usaliti wao kwa wananchi.

Msimtafute mchawi hali ya kua mmejiroga wenyewe kwa matendo yenu kwa wananchi na Wala msiangalie mlipoangukia,rudini Sasa muangalie mlipo jikwaa.

Wanachi wengi wamekata tamaa na nyinyi kiasi kwamba hawakua tayari kujisumbua kwenda kituoni kupiga kura.Hivi nikapigie kura chama ambacho;

Wabunge wao na Madiwani rahisi kununulika kwa mujibu wa wao,nitaamini vp walobaki hawanunuliki? Cha ajabu hata wale waloaminika Kama wanamadiliko Kama kina Nassari, Lijuakali, Selasini, Katambi

Mwanachi aliyevuja jasho kusimama vituoni huku akigombana na kuwekeana bifu na familia/marafiki kisa mabadiliko 2015, kisha mkaanza unga juhuudi kisa mna Uhuru wa kuhama chama muda wowote,eti Leo umtoe akakupigie kura!

Ninyi ni wabinafsi sana na hamna msaada wowote kwa wanachi huku mmekua na majibu mabovu tukiwafata Kama wawakilishi wetu kutaka misaada mbali mbali na mkitujibu nyinyi hamuhusiki tuwafate serikali (Kubenea na Bonifasi Jacob tuliwaambia na wanajua jinsi kina mama na wamachinga wakati wanawafata mpaka makwao Jimbo la Ubungo huku wakiwachenga na kujinunulia magari huku wakifaidi ubunge/umeya.

Hamuonekani majimboni huku mkijificha katika mwavuli wa marufuku ya kisiasa/mikutano mkashindwa hata kukaa vikao na Sisi wanachi wenu.

Miaka5 mnakimbizana kuanzisha miradi yenu na familia zenu kwa fedha/mikopo ya ubunge mkasahu uwakilishi wenu, Ubunge ni sehemu ya ajira zenu za kujinufaishi na kujilimbikizia mali na msiseme mnatupigania,wengine wakianzisha mahoteli,majumba makubwa na kututambia suti za gharama toka Italy na Ulaya?

Mnapiga kelele kua shule ni mbovu na kukaa kimya hamchukui hatua yoyote hata kuzisaidiq binafsi kwa kua watoto wenu hawasomi huko, tena kwa jeuri mnapeleka watoto wenu na mnatutambia wao kusoma international school.

Laiti mngewaleta kayumba school bila Shaka spirit ya mabadiliko ya hizo school ingekua kubwa maana mnge feel machungu yake. Niinyi hamjui lolote afu mnataka kujidai kutusemea,mnasema msichokijua.

Nyinyi mlikatisha tamaa sana wapiga kura wa 2015, wameshindwa kurudi tena kupanga mistari kuwapigia kura nyinyi ni wasaliti wakubwa wa nchi hii.

Mna Ndimi mbili na imekua desturi yenu na hamna anayewaamini tena;

Mlimuita na kutuaminisha Lowasa fisadi tena ni wale mafisadi papa katika viwanja vya mwembe yanga,akaja kua mgombea urais wa Chadema. Wanachi tukavunga

Mlituaminisha sumaye Ni fisadi na zero brain, badae mkambeba Tena na uenyekiti juu

Mlituaminisha Lazaro nyarandu aliruhusu Twiga,Simba na chuo kupanda ndege,badae mkambeba na ilibaki kidogo kua mgombea wenu wa urais

Mlituaminisha Wabunge/Madiwani wenu hi wapambanaji na ni watu sahihi, ghafla wakaunga juhudi.

Mkamfukuza zito kabwe na Kitila mkumbo kisa ni wasaliti

Mkamsaliti Dr. Slaa na kumuita Dr. Mihogo

Mkampa ukatibu mkuu Dr. Mashinji Leo yupo CCM, Mkampa uenyekiti vijana(Bavicha)Patrobasi Katambi na leo ni mwana CCM kindakindaki tena alikula mpaka ukuu wa wilaya na nyodo juu.

Mkatuaminisha Nasari anaonewa kuvuliwa ubunge na kupaza sauti, leo yupo CCM,

Mwita waitara naye akaunga juhudi.

Madiwani kila kona tulowapigia kura na ghafla wakaunga juhudi,nani awaamini walobaki au walotaka uwakilishi na kupigiwa kura 2020?

Ruzuku ya chama haieleweki matumiz yake na wakihoji watu mnawafukuza na kuwaita wasaliti.

Mnajiuliza kilichotokea jana

In short hamuaminiki na ni wasaliti nyinyi, waacheni wananchi waendelee na shida zao, wakichoka watanena kwa lugha zao, na si kutumia shida zao kama mtaji wa kisiasa wa Sacco's yenu hii.

Damu ya usaliti kwa wananchi itaendelea kuwatafuna mpaka mwisho.
 
Ni wazi Wala Bila Shaka kwa Sasa CHADEMA na ndugu zake wamepata matunda ya usaliti wao kwa wananchi.

Msimtafute mchawi hali ya kua mmejiroga wenyewe kwa matendo yenu kwa wananchi na Wala msiangalie mlipoangukia,rudini Sasa muangalie mlipo jikwaa.

Wanachi wengi wamekata tamaa na nyinyi kiasi kwamba hawakua tayari kujisumbua kwenda kituoni kupiga kura.Hivi nikapigie kura chama ambacho;

Wabunge wao na Madiwani rahisi kununulika kwa mujibu wa wao,nitaamini vp walobaki hawanunuliki? Cha ajabu hata wale waloaminika Kama wanamadiliko Kama kina Nassari, Lijuakali, Selasini, Katambi

Mwanachi aliyevuja jasho kusimama vituoni huku akigombana na kuwekeana bifu na familia/marafiki kisa mabadiliko 2015, kisha mkaanza unga juhuudi kisa mna Uhuru wa kuhama chama muda wowote,eti Leo umtoe akakupigie kura!

Ninyi ni wabinafsi sana na hamna msaada wowote kwa wanachi huku mmekua na majibu mabovu tukiwafata Kama wawakilishi wetu kutaka misaada mbali mbali na mkitujibu nyinyi hamuhusiki tuwafate serikali (Kubenea na Bonifasi Jacob tuliwaambia na wanajua jinsi kina mama na wamachinga wakati wanawafata mpaka makwao Jimbo la Ubungo huku wakiwachenga na kujinunulia magari huku wakifaidi ubunge/umeya.

Hamuonekani majimboni huku mkijificha katika mwavuli wa marufuku ya kisiasa/mikutano mkashindwa hata kukaa vikao na Sisi wanachi wenu.

Miaka5 mnakimbizana kuanzisha miradi yenu na familia zenu kwa fedha/mikopo ya ubunge mkasahu uwakilishi wenu, Ubunge ni sehemu ya ajira zenu za kujinufaishi na kujilimbikizia mali na msiseme mnatupigania,wengine wakianzisha mahoteli,majumba makubwa na kututambia suti za gharama toka Italy na Ulaya?

Mnapiga kelele kua shule ni mbovu na kukaa kimya hamchukui hatua yoyote hata kuzisaidiq binafsi kwa kua watoto wenu hawasomi huko, tena kwa jeuri mnapeleka watoto wenu na mnatutambia wao kusoma international school.

Laiti mngewaleta kayumba school bila Shaka spirit ya mabadiliko ya hizo school ingekua kubwa maana mnge feel machungu yake. Niinyi hamjui lolote afu mnataka kujidai kutusemea,mnasema msichokijua.

Nyinyi mlikatisha tamaa sana wapiga kura wa 2015, wameshindwa kurudi tena kupanga mistari kuwapigia kura nyinyi ni wasaliti wakubwa wa nchi hii.

Mna Ndimi mbili na imekua desturi yenu na hamna anayewaamini tena;

Mlimuita na kutuaminisha Lowasa fisadi tena ni wale mafisadi papa katika viwanja vya mwembe yanga,akaja kua mgombea urais wa Chadema. Wanachi tukavunga

Mlituaminisha sumaye Ni fisadi na zero brain, badae mkambeba Tena na uenyekiti juu

Mlituaminisha Lazaro nyarandu aliruhusu Twiga,Simba na chuo kupanda ndege,badae mkambeba na ilibaki kidogo kua mgombea wenu wa urais

Mlituaminisha Wabunge/Madiwani wenu hi wapambanaji na ni watu sahihi, ghafla wakaunga juhudi.

Mkamfukuza zito kabwe na Kitila mkumbo kisa ni wasaliti

Mkamsaliti Dr. Slaa na kumuita Dr. Mihogo

Mkampa ukatibu mkuu Dr. Mashinji Leo yupo CCM, Mkampa uenyekiti vijana(Bavicha)Patrobasi Katambi na leo ni mwana CCM kindakindaki tena alikula mpaka ukuu wa wilaya na nyodo juu.

Mkatuaminisha Nasari anaonewa kuvuliwa ubunge na kupaza sauti, leo yupo CCM,

Mwita waitara naye akaunga juhudi.

Madiwani kila kona tulowapigia kura na ghafla wakaunga juhudi,nani awaamini walobaki au walotaka uwakilishi na kupigiwa kura 2020?

Ruzuku ya chama haieleweki matumiz yake na wakihoji watu mnawafukuza na kuwaita wasaliti.

Mnajiuliza kilichotokea jana

In short hamuaminiki na ni wasaliti nyinyi, waacheni wananchi waendelee na shida zao, wakichoka watanena kwa lugha zao, na si kutumia shida zao kama mtaji wa kisiasa wa Sacco's yenu hii.

Damu ya usaliti kwa wananchi itaendelea kuwatafuna mpaka mwisho.
Rudisheni bunge live sasa maana mmebaki pekee yenu
 
Haya mnayo yaona leo ni matokeo ya mtu mmoja Mbowe ya kumleta Lowasa Ukawa,hili lilikuwa bonge la kosa ambalo kwa mtu makini kabisa kwa kosa lile alitakiwa ajihudhuru, ila Mbowe anadunda, untouchable, ukimkosoa humu watu wanakushambulia.
images (23).jpeg


Nilikiwa mwanasiasa kindakindaki wa CHADEMA chuo kuanzia 2009,ila baada ya Lowasa kuingia nilikaa pembeni,nikabezwa,nikapondwa baada ya UKAWA kupata viti vyingi bungeni,ila baada ya wabunge kuanza kurudi CCM ,kuna watu niliwaambia 2020 hali itakuwa mbaya sana na leo tuna yaona.

CHADEMA mlivyo mleta Lowasa UKAWA na kujiamini kwamba mpo imara,kumbe mliacha nyumba yenu mliyokuwa mnaijenga kidogo kidogo kwenye mwamba na kwenda kujenga kwenye mchanga kisa tu kuna urahisi.Sasa angalieni leo mnayo yapata ni haki yenu hamjaibiwa hata kura moja.

CHADEMA mkitaka kusimama tena mnabidi muanze upya mfumue chama chote na mkijenge CHAMA kupitia vijana wenu na watu wenu mlio waandaa nyinyi na si kunyakua wanasiasa kutoka CCM na mnatakiwa kiwaamini watu wenu
 
Ni wazi Wala Bila Shaka kwa Sasa CHADEMA na ndugu zake wamepata matunda ya usaliti wao kwa wananchi.

Msimtafute mchawi hali ya kua mmejiroga wenyewe kwa matendo yenu kwa wananchi na Wala msiangalie mlipoangukia,rudini Sasa muangalie mlipo jikwaa.

Wanachi wengi wamekata tamaa na nyinyi kiasi kwamba hawakua tayari kujisumbua kwenda kituoni kupiga kura.Hivi nikapigie kura chama ambacho;

Wabunge wao na Madiwani rahisi kununulika kwa mujibu wa wao,nitaamini vp walobaki hawanunuliki? Cha ajabu hata wale waloaminika Kama wanamadiliko Kama kina Nassari, Lijuakali, Selasini, Katambi

Mwanachi aliyevuja jasho kusimama vituoni huku akigombana na kuwekeana bifu na familia/marafiki kisa mabadiliko 2015, kisha mkaanza unga juhuudi kisa mna Uhuru wa kuhama chama muda wowote,eti Leo umtoe akakupigie kura!

Ninyi ni wabinafsi sana na hamna msaada wowote kwa wanachi huku mmekua na majibu mabovu tukiwafata Kama wawakilishi wetu kutaka misaada mbali mbali na mkitujibu nyinyi hamuhusiki tuwafate serikali (Kubenea na Bonifasi Jacob tuliwaambia na wanajua jinsi kina mama na wamachinga wakati wanawafata mpaka makwao Jimbo la Ubungo huku wakiwachenga na kujinunulia magari huku wakifaidi ubunge/umeya.

Hamuonekani majimboni huku mkijificha katika mwavuli wa marufuku ya kisiasa/mikutano mkashindwa hata kukaa vikao na Sisi wanachi wenu.

Miaka5 mnakimbizana kuanzisha miradi yenu na familia zenu kwa fedha/mikopo ya ubunge mkasahu uwakilishi wenu, Ubunge ni sehemu ya ajira zenu za kujinufaishi na kujilimbikizia mali na msiseme mnatupigania,wengine wakianzisha mahoteli,majumba makubwa na kututambia suti za gharama toka Italy na Ulaya?

Mnapiga kelele kua shule ni mbovu na kukaa kimya hamchukui hatua yoyote hata kuzisaidiq binafsi kwa kua watoto wenu hawasomi huko, tena kwa jeuri mnapeleka watoto wenu na mnatutambia wao kusoma international school.

Laiti mngewaleta kayumba school bila Shaka spirit ya mabadiliko ya hizo school ingekua kubwa maana mnge feel machungu yake. Niinyi hamjui lolote afu mnataka kujidai kutusemea,mnasema msichokijua.

Nyinyi mlikatisha tamaa sana wapiga kura wa 2015, wameshindwa kurudi tena kupanga mistari kuwapigia kura nyinyi ni wasaliti wakubwa wa nchi hii.

Mna Ndimi mbili na imekua desturi yenu na hamna anayewaamini tena;

Mlimuita na kutuaminisha Lowasa fisadi tena ni wale mafisadi papa katika viwanja vya mwembe yanga,akaja kua mgombea urais wa Chadema. Wanachi tukavunga

Mlituaminisha sumaye Ni fisadi na zero brain, badae mkambeba Tena na uenyekiti juu

Mlituaminisha Lazaro nyarandu aliruhusu Twiga,Simba na chuo kupanda ndege,badae mkambeba na ilibaki kidogo kua mgombea wenu wa urais

Mlituaminisha Wabunge/Madiwani wenu hi wapambanaji na ni watu sahihi, ghafla wakaunga juhudi.

Mkamfukuza zito kabwe na Kitila mkumbo kisa ni wasaliti

Mkamsaliti Dr. Slaa na kumuita Dr. Mihogo

Mkampa ukatibu mkuu Dr. Mashinji Leo yupo CCM, Mkampa uenyekiti vijana(Bavicha)Patrobasi Katambi na leo ni mwana CCM kindakindaki tena alikula mpaka ukuu wa wilaya na nyodo juu.

Mkatuaminisha Nasari anaonewa kuvuliwa ubunge na kupaza sauti, leo yupo CCM,

Mwita waitara naye akaunga juhudi.

Madiwani kila kona tulowapigia kura na ghafla wakaunga juhudi,nani awaamini walobaki au walotaka uwakilishi na kupigiwa kura 2020?

Ruzuku ya chama haieleweki matumiz yake na wakihoji watu mnawafukuza na kuwaita wasaliti.

Mnajiuliza kilichotokea jana

In short hamuaminiki na ni wasaliti nyinyi, waacheni wananchi waendelee na shida zao, wakichoka watanena kwa lugha zao, na si kutumia shida zao kama mtaji wa kisiasa wa Sacco's yenu hii.

Damu ya usaliti kwa wananchi itaendelea kuwatafuna mpaka mwisho.
Umeandika kwa uchungu sana najisikia kulia barikiwa sana mkuuu
 
MALIPO YA DHULUMA NI LAANA NA KIFO

LAANA YA MUNGU IWAPATE WOTE WALIOSHINDA KWA DHULMA NA WIZI

BARAKA ZA MUNGU ZIAMBATANE NA WALIOSHINDA KIHALALI NA WALIO TAYARI KUWATUMIKIA WANANCHI
 
Msaliti sio mtu mzuri
Usinikumbushee Mama D maana naweza tapika tenaa etii

Ahhahahahahahahah ngoja asaivi atulie na mkewe walee watoto
 
Sasa lichama linasupport ushoga unategemea nini, imradi wapinge tu
 
Miaka5 mnakimbizana kuanzisha miradi yenu na familia zenu kwa fedha/mikopo ya ubunge mkasahu uwakilishi wenu, Ubunge ni sehemu ya ajira zenu za kujinufaishi na kujilimbikizia mali na msiseme mnatupigania,wengine wakianzisha mahoteli,majumba makubwa na kututambia suti za gharama toka Italy na Ulaya?

Mnapiga kelele kua shule ni mbovu na kukaa kimya hamchukui hatua yoyote hata kuzisaidiq binafsi kwa kua watoto wenu hawasomi huko, tena kwa jeuri mnapeleka watoto wenu na mnatutambia wao kusoma international school.

Laiti mngewaleta kayumba school bila Shaka spirit ya mabadiliko ya hizo school ingekua kubwa maana mnge feel machungu yake. Niinyi hamjui lolote afu
Maneno makali sana.
mnataka kujidai kutusemea,mnasema msichokijua.
 
Ni wazi Wala Bila Shaka kwa Sasa CHADEMA na ndugu zake wamepata matunda ya usaliti wao kwa wananchi.

Msimtafute mchawi hali ya kua mmejiroga wenyewe kwa matendo yenu kwa wananchi na Wala msiangalie mlipoangukia,rudini Sasa muangalie mlipo jikwaa.

Wanachi wengi wamekata tamaa na nyinyi kiasi kwamba hawakua tayari kujisumbua kwenda kituoni kupiga kura.Hivi nikapigie kura chama ambacho;

Wabunge wao na Madiwani rahisi kununulika kwa mujibu wa wao,nitaamini vp walobaki hawanunuliki? Cha ajabu hata wale waloaminika Kama wanamadiliko Kama kina Nassari, Lijuakali, Selasini, Katambi

Mwanachi aliyevuja jasho kusimama vituoni huku akigombana na kuwekeana bifu na familia/marafiki kisa mabadiliko 2015, kisha mkaanza unga juhuudi kisa mna Uhuru wa kuhama chama muda wowote,eti Leo umtoe akakupigie kura!

Ninyi ni wabinafsi sana na hamna msaada wowote kwa wanachi huku mmekua na majibu mabovu tukiwafata Kama wawakilishi wetu kutaka misaada mbali mbali na mkitujibu nyinyi hamuhusiki tuwafate serikali (Kubenea na Bonifasi Jacob tuliwaambia na wanajua jinsi kina mama na wamachinga wakati wanawafata mpaka makwao Jimbo la Ubungo huku wakiwachenga na kujinunulia magari huku wakifaidi ubunge/umeya.

Hamuonekani majimboni huku mkijificha katika mwavuli wa marufuku ya kisiasa/mikutano mkashindwa hata kukaa vikao na Sisi wanachi wenu.

Miaka5 mnakimbizana kuanzisha miradi yenu na familia zenu kwa fedha/mikopo ya ubunge mkasahu uwakilishi wenu, Ubunge ni sehemu ya ajira zenu za kujinufaishi na kujilimbikizia mali na msiseme mnatupigania,wengine wakianzisha mahoteli,majumba makubwa na kututambia suti za gharama toka Italy na Ulaya?

Mnapiga kelele kua shule ni mbovu na kukaa kimya hamchukui hatua yoyote hata kuzisaidiq binafsi kwa kua watoto wenu hawasomi huko, tena kwa jeuri mnapeleka watoto wenu na mnatutambia wao kusoma international school.

Laiti mngewaleta kayumba school bila Shaka spirit ya mabadiliko ya hizo school ingekua kubwa maana mnge feel machungu yake. Niinyi hamjui lolote afu mnataka kujidai kutusemea,mnasema msichokijua.

Nyinyi mlikatisha tamaa sana wapiga kura wa 2015, wameshindwa kurudi tena kupanga mistari kuwapigia kura nyinyi ni wasaliti wakubwa wa nchi hii.

Mna Ndimi mbili na imekua desturi yenu na hamna anayewaamini tena;

Mlimuita na kutuaminisha Lowasa fisadi tena ni wale mafisadi papa katika viwanja vya mwembe yanga,akaja kua mgombea urais wa Chadema. Wanachi tukavunga

Mlituaminisha sumaye Ni fisadi na zero brain, badae mkambeba Tena na uenyekiti juu

Mlituaminisha Lazaro nyarandu aliruhusu Twiga,Simba na chuo kupanda ndege,badae mkambeba na ilibaki kidogo kua mgombea wenu wa urais

Mlituaminisha Wabunge/Madiwani wenu hi wapambanaji na ni watu sahihi, ghafla wakaunga juhudi.

Mkamfukuza zito kabwe na Kitila mkumbo kisa ni wasaliti

Mkamsaliti Dr. Slaa na kumuita Dr. Mihogo

Mkampa ukatibu mkuu Dr. Mashinji Leo yupo CCM, Mkampa uenyekiti vijana(Bavicha)Patrobasi Katambi na leo ni mwana CCM kindakindaki tena alikula mpaka ukuu wa wilaya na nyodo juu.

Mkatuaminisha Nasari anaonewa kuvuliwa ubunge na kupaza sauti, leo yupo CCM,

Mwita waitara naye akaunga juhudi.

Madiwani kila kona tulowapigia kura na ghafla wakaunga juhudi,nani awaamini walobaki au walotaka uwakilishi na kupigiwa kura 2020?

Ruzuku ya chama haieleweki matumiz yake na wakihoji watu mnawafukuza na kuwaita wasaliti.

Mnajiuliza kilichotokea jana

In short hamuaminiki na ni wasaliti nyinyi, waacheni wananchi waendelee na shida zao, wakichoka watanena kwa lugha zao, na si kutumia shida zao kama mtaji wa kisiasa wa Sacco's yenu hii.

Damu ya usaliti kwa wananchi itaendelea kuwatafuna mpaka mwisho.
Kichwa yako imejaa kamasi na usaa
 
Kama hujui yaliyofanyika utakuwa na uwezo mdogo sana
Visingizio hamkosi kama kawaida yenu.

Si mlisema mtalinda kura nini kimewashinda?

Haya sasa kama mmeibiwa kura mnangoja nini kuingia barabarani.
Si mlisema hamtakubali? Nini kimetokea?
Tukiwaambia mambo field ni tofauti hamtaki. Oneni aibu iliowapata sasa!

Kila siku tuliwaambia wapiga kura hawako mitandaoni. Eti oooh kwani ...

Sent using Jamii Forums mobile app by My phone

[/url] Eti nabakia Africa. [/url]
 
Nashangaa wale wanaoshangalia upinzani kushindwa bila kujua kwamba uwepo wa wapinzan ndio uimara wa ccm na uwajibikaji wa serikali, sasa hivi bunge lote linaenda kuwa na wabunge wa ccm sasa unajiuliza hawa wataweza kui challenge serikali? Miaka mi5 ya maumivu makubwa kwa wananchi
Tulishinda vita kubwabkubwa bila upinzani ujue!

1,tulimchapa IDI AMINI WA UGANDA
2.Tulimsambaratisha Acasia Goldmine
3.tumeikimbiza Corona,bila kuwepo nyie bungeni
NB .uwa tukiwa peke yetu akili uwa inatulia sana
Nasikia hata mahabara za utafiti uwa haziruhusu kelele
 
Wakati ule 2015 CCM wakipongezwa na wananchi kwa kukata jina la fisadi Lowasa kwenye nafasi ya urais, CHADEMA walijiharibia sana 2015 kumsimamisha Lowasa waliyemtuhumu kuwa fisadipapa kugombea urais.

Wananchi wamechagua kutokana walichokiona na kuamini, na wanachoamini ni kwamba kama chadema waliuza chama kwa Lowasa watashindwa kuuza nchi??

Siasa Imeejaa Unafiki. Lowasa Kwenda Chadema Ilikuwa Mbaya Ilikuwa Nzuri Pia. Ilikuwa Mbaya Sababu Waliwaza Watamsafisha Vipi Maana Alikuwa Na Mavi Mwili Mzima. Lakini Ilikuwa Nzuri Sababu Lowasa Alikuwa Na Nguvu Na Wakati Ule Watz Walipoteza Imani Yao Kwa Ccm Wakaona Bora Waende Na Fisadi Mamvi. Na ukweli Lowasa Alijaribu Kitu Ccm Wanajua Kama Leo Hii Ingekuwa Lowasa + Membe Upinzani Tungekuwa Tunajadili Mengine. Sasa Huyu Lissu Hana Rafiki Kuanzia Kwenye Vyombo Vya Usalama, Hana Marafiki Walioweka Mizizi Ndani Ya Ccm. Sasa Chadema Wanaanzaje Kushinda Urais Ni Ndoto Za Mchana Hazina Maana
 
Back
Top Bottom