The Interpreter
Member
- Mar 14, 2019
- 87
- 60
Tena hujifanya mtu wa kusoma vitabu kila mwaka anasoma nusu ya Library sasa nadhani atakuwa na muda wa kutosha kusoma vitabu vyake[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha Zitto Anataka Kukuza Chama Chake Lakini Kitendo Cha Kuwafuata Fuata Fc Pingapinga Ndo Kinamuharibia Sana! Zitto Anabaki Kwenye Kundi La Panya Buku Anavuna Anachokipanda.