At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,533
- 3,595
Kwani ninibwaliwahi kupitishabhao wapinzani Bajeti zote walizipinga na kutoka njeee .....Yaani kinachoniuma mimi ni hii pesa ya UCHAGUZI imepotea buraaaaNashangaa wale wanaoshangalia upinzani kushindwa bila kujua kwamba uwepo wa wapinzan ndio uimara wa ccm na uwajibikaji wa serikali, sasa hivi bunge lote linaenda kuwa na wabunge wa ccm sasa unajiuliza hawa wataweza kui challenge serikali? Miaka mi5 ya maumivu makubwa kwa wananchi
Huyu aliambiwa siku nyingi harudi Bungeni ni kiburi chake tu ndio kimemponza. Wakati wake wa juu ulikuwa gari lake liliposukumwa pale Ubungo . Imekula kwake, wasaliti kama hawa hii ndio dawa yao.
Chatoo Mpooooooooooooooooo
Mwanza mpooooooooooooooo
Dar es salaam mpooooooooooooo
Arusha....mpooooooooooooooooo
Singida mpoooooooooooo
π€£ππ€£ππ€£ππ€£ππ€£π Tupoooooooooo
Kwenye kunipigiaaaa Kura Mpooooooooooooo
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Ebu Acha Ujinga wewe nani Akupigie Kura Kibarakaaaaa Hatupooooooooooooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chatoo Mpooooooooooooooooo
Mwanza mpooooooooooooooo
Dar es salaam mpooooooooooooo
Arusha....mpooooooooooooooooo
Singida mpoooooooooooo
[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23] Tupoooooooooo
Kwenye kunipigiaaaa Kura Mpooooooooooooo
[emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35] Ebu Acha Ujinga wewe nani Akupigie Kura Kibarakaaaaa Hatupooooooooooooo
Asante sana wana kigoma
Sasa tuone kuroga kwake kupooo[emoji23][emoji23][emoji23]Asante sana wana kigoma
Huyu si ndio alikua anazunguka duniani kukataza pesa ya elimu isiingie Tanzania
Mmemtendea haki kwa kweli
Wanasiasa vibaraka wa wazungu wajue hakuna mkubwa Tanzania kuliko watanzania wenyewe
Aende kwa mabwana zake wakampe ubunge. Wananchi tumemkataaSasa tuone kuroga kwake kupooo[emoji23][emoji23][emoji23]
Safi Sanaa Jamaa alitingisha sanaaa Enzi zake.A
Aende kwa mabwana zake wakampe ubunge. Wananchi tumemkataa
Hahahaa zama za mikwara zimepita hizi ni zake za KAZI TUUSafi Sanaa Jamaa alitingisha sanaaa Enzi zake.
Ila tutamiss Sana kwenye headlines za Magazeti kuhusu mikwara yakee
Tena hujifanya mtu wa kusoma vitabu kila mwaka anasoma nusu ya Library sasa nadhani atakuwa na muda wa kutosha kusoma vitabu vyake[emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaa zama za mikwara zimepita hizi ni zake za KAZI TUU
Vitabu vya kiingereza πππππTena hujifanya mtu wa kusoma vitabu kila mwaka anasoma nusu ya Library sasa nadhani atakuwa na muda wa kutosha kusoma vitabu vyake[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndioo asaivi sijui ruzuku itakuwa beigani ya ACT hahahhahaaa [emoji23][emoji23]Vitabu vya kiingereza [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Ndioo asaivi sijui ruzuku itakuwa beigani ya ACT hahahhahaaa [emoji23][emoji23]