Damu ya usaliti wa CHADEMA imewamaliza 2020

Tena hujifanya mtu wa kusoma vitabu kila mwaka anasoma nusu ya Library sasa nadhani atakuwa na muda wa kutosha kusoma vitabu vyake[emoji23][emoji23][emoji23]

Hahahaha Zitto Anataka Kukuza Chama Chake Lakini Kitendo Cha Kuwafuata Fuata Fc Pingapinga Ndo Kinamuharibia Sana! Zitto Anabaki Kwenye Kundi La Panya Buku Anavuna Anachokipanda.
 
Mleta mada umenena sawia sema haiondoi ukweli kwamba kura zimeibwa pamoja na yote hayo.
 

Nakubaliana na wewe kuibomoa CCM lazima itokee from within. Wapinzani watafute namna ya kujipenyeza humo kama virus.
 
Ni Kaburu tu hata ukiwa mweusi kama chungu.
 
Maccm bila polisiccm na tume fake ni wepesi sana kinachohitajika ni katiba mpya na tume huru ya uchaguzi basi watapigwa chini tena anguko litakuwa kubwa sana. Hizi hadithi za ili kuweza kuibomoa ccm lazima iwe from within ni hadithi za Abunuwas.
Nakubaliana na wewe kuibomoa CCM lazima itokee from within. Wapinzani watafute namna ya kujipenyeza humo kama virus.
 
Ni mapungwani (mental retards) pekee ndiyo wanaweza kushangilia eti CCM wameshinda uchaguzi huu wa 2020.

We Utakuwa wa kwanza. Kwa hoja zipi hasa unadhani Lissu angeshinda. Ukiwa mjinga basi at least uwe logical.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…