Uwe unasoma vizuri hoja jadiliwa usinengue. Unaposema hatutarudia makosa kuwapa wazanibat uongozi wa juu wa nchi wakati wao ni sehemu ya muungano unaonekana kama mpuuzi hivi! Kwamba zanzibar hakuna madini ni ujuha na upuuzi ukiokithir!
Mbona mukiambiwa tubadili Katiba mnasema wananchi hawali katiba? Sasa haya sindiyo matokeo ya katiba mnayoipenda? Kwani SSH au MWINYI Walijisimika?
Acheni kuleta hoja za kinafki kisa mpo nje ya ulaji hapo lumumba
Mnajidai kutetea maslahi ya watanzania leo? Mbona mlitumia mpaka fedha za walipa kodi kununua wabunge wa upinzani?