Dan Friedkin mmiliki wa AS Roma anamiliki ardhi kubwa Tanzania, mamlaka zimchunguze

Dan Friedkin mmiliki wa AS Roma anamiliki ardhi kubwa Tanzania, mamlaka zimchunguze

Hawa wanaweza kuwa ndio wale wafadhili wa Royol tour ambao tulifichwa , sasa wanapewa mapande ya aridhi, na wana binasifisha, fikiria Mzungu ana binasifisha Aridhi ya Umma.View attachment 2610183
Believe me, watanzania walio wengi (hasa wasio wa asili ya asia na europe) tunakabiliwa na ushamba wa kiwango cha juu katika mambo mengi duniani hususan namna ya kutumia fursa za kiuchumi zilizopo duniani na kujiletea kipato na utajiri. Matokeo yake tutaendelea kuwa chawa wa akina Mo, GSM, Bakhresa, Manji etc. Mbaya zaidi hali hii ipo pia hata kwa waliosoma hata kama kwa kiwango cha PhD.

Watanzania wanatoka kwenye maeneo yenye kila aina ya fursa, ila wataziacha na kwenda kuwa walinzi mjini. Akija foreigner, akiziona hizo fursa na kuzitumia huanza kulalamika wanaibiwa! Ukiuliza humu wangapi wana acre 49 zinazotolewa bure na Kijiji popote, wengi wao hata habari hawana. Akitokea investor/foreigner akitumia sheria zetu na kuchukua ardhi na kufanya uzalishaji, watakuja mitandaoni kulalamika.

Peaple, fursa za kidunia hasa rasilimali hazina mipaka kama mnavyodhani. Hata wewe ukiwa na akili na hela ukihitaji ardhi hata 50,000 acres ndani ya US unaweza kuzipata. Hakuna nchi isiyo na sheria za matumizi ya ardhi katika uwekezaji. Ndio maana unaona makampuni makubwa yanachimba madini na oil kila kona ya Dunia, yanalima, kufuga nk. Watanzania tujenge utamaduni wa kutumia fursa zinazotuzunguka kwa umakini. Sio kweli kwamba maadam rasilimali zipo Tanzania basi zitatumika na watanzania pekee.

Korea hana coltan, unataka smartphone azitengeneze vipi kama hajaenda Congo kuchukua coltan?

Rasilimali zilizopo duniani ni za wenye akili na maarifa tu regardless ziko katika nchi gani na wao wanatoka nchi gani.

Hicho kipeperushi hakina taarifa zozote za maana ku justify ulichoandika. Hao watu wanatumia sheria zenu hizo.
 
sasa wanapewa mapande ya aridhi, na wana binasifisha, fikiria Mzungu ana binasifisha Aridhi ya Umma.


Jun 19, 2014, 10:04am EDT
This article is more than 8 years old.

This story appears in the June 29, 2014 issue of ForbesLife.

Mwiba Lodge Luxury: Outstanding In Africa​

The last leg of your journey to Mwiba Lodge, a new tented camp in a luxurious league of its own, is a 40-minute flight that lifts you over Tanzania’s Serengeti Plain until the Great Rift Valley opens on to a sky-high plateau like something out of Conan Doyle’s The Lost World. The Northern Air charter plane from the international gateway city of Arusha lands on a grassy strip dramatically close to the plateau’s edge, where a waiting Land Cruiser whisks you off to the lodge.
1683230641667.png


The local staff greets you, with warm hand towels and Champagne, on a platform in the middle of the bush. There seems to be, at first glance, no there there. Mwiba Lodge, it turns out, is all around you, scattered among the massive boulders and vegetation, connected by wooden walkways and perched on an escarpment overlooking a river gorge–all surrounded by a 125,000-acre private wildlife reserve.....

Read more : source : Mwiba Lodge Luxury: Outstanding In Africa
 
Hawa wanaweza kuwa ndio wale wafadhili wa Royol tour ambao tulifichwa , sasa wanapewa mapande ya aridhi, na wana binasifisha, fikiria Mzungu ana binasifisha Aridhi ya Umma.View attachment 2610183
Ndio akibinafsisha anawwka pesa mfuko halafu mkifuluza Anaenda kushtaki huko ulaya tunawalipa mabillion ya fedha .akija mtu kuvunja mkataba mara ooop tunawakimbiza wawekezaji
 
Believe me, watanzania walio wengi (hasa wasio wa asili ya asia na europe) tunakabiliwa na ushamba wa kiwango cha juu katika mambo mengi duniani hususan namna ya kutumia fursa za kiuchumi zilizopo duniani na kujiletea kipato na utajiri. Matokeo yake tutaendelea kuwa chawa wa akina Mo, GSM, Bakhresa, Manji etc. Mbaya zaidi hali hii ipo pia hata kwa waliosoma hata kama kwa kiwango cha PhD. Watanzania wanatoka kwenye maeneo yenye kila aina ya fursa, ila wataziacha na kwenda kuwa walinzi mjini. Akija foreigner, akiziona hizo fursa na kuzitumia huanza kulalamika wanaibiwa! Ukiuliza humu wangapi wana acre 49 zinazotolewa bure na Kijiji popote, wengi wao hata habari hawana. Akitokea investor/foreigner akitumia sheria zetu na kuchukua ardhi na kufanya uzalishaji, watakuja mitandaoni kulalamika.

Peaple, fursa za kidunia hasa rasilimali hazina mipaka kama mnavyodhani. Hata wewe ukiwa na akili na hela ukihitaji ardhi hata 50,000 acres ndani ya US unaweza kuzipata. Hakuna nchi isiyo na sheria za matumizi ya ardhi katika uwekezaji. Ndio maana unaona makampuni makubwa yanachimba madini na oil kila kona ya Dunia, yanalima, kufuga nk. Watanzania tujenge utamaduni wa kutumia fursa zinazotuzunguka kwa umakini. Sio kweli kwamba maadam rasilimali zipo Tanzania basi zitatumika na watanzania pekee.

Korea hana coltan, unataka smartphone azitengeneze vipi kama hajaenda Congo kuchukua coltan?

Rasilimali zilizopo duniani ni za wenye akili na maarifa tu regardless ziko katika nchi gani na wao wanatoka nchi gani.

Hicho kipeperushi hakina taarifa zozote za maana ku justify ulichoandika. Hao watu wanatumia sheria zenu hizo.
Watapita kama hawalioni hili andiko. Umeongea ukweli mtupu!
 
Jun 19, 2014,10:04am EDT
This article is more than 8 years old.
This story appears in the June 29, 2014 issue of ForbesLife.

Mwiba Lodge Luxury: Outstanding In Africa​

The last leg of your journey to Mwiba Lodge, a new tented camp in a luxurious league of its own, is a 40-minute flight that lifts you over Tanzania’s Serengeti Plain until the Great Rift Valley opens on to a sky-high plateau like something out of Conan Doyle’s The Lost World. The Northern Air charter plane from the international gateway city of Arusha lands on a grassy strip dramatically close to the plateau’s edge, where a waiting Land Cruiser whisks you off to the lodge.
View attachment 2610289

The local staff greets you, with warm hand towels and Champagne, on a platform in the middle of the bush. There seems to be, at first glance, no there there. Mwiba Lodge, it turns out, is all around you, scattered among the massive boulders and vegetation, connected by wooden walkways and perched on an escarpment overlooking a river gorge–all surrounded by a 125,000-acre private wildlife reserve.....

Read more : source : Mwiba Lodge Luxury: Outstanding In Africa
🤣🤣🤣🤣
Kuna wapotoshaji humu, acha kabisa. Akishakuwa hater tu basi kila kitu anakizungumza kwa uzidifu.
 
Never again Rais wa Jamhuri atoke Zanzibar.

Hao hawana uzalendo kabisa.

Wanagawa mali za Tanganyika kama pipi.

Hawana madini Wala wanyama.

Tuwe makini nao.
Umesema ukweli mchungu, huyu mama amepitisha mambo mengi ya muungano yanayopendelea Zanzibar ambayo watangulize wake waliona hayana tija, sasa anaigawa Tanganyika kwa waarabu na wazungu
 
Hawa wanaweza kuwa ndio wale wafadhili wa Royol tour ambao tulifichwa , sasa wanapewa mapande ya aridhi, na wana binasifisha, fikiria Mzungu ana binasifisha Aridhi ya Umma.View attachment 2610183
Ekari 25,000 na kakodisha Ekari milioni sita. Duh.

Ingekuwa vizuri kuwe na public register ya wamiliki ardhi wote wakubwa Tanzania.

Muhimu kujua wamenunua au kukodi kwa kiasi gani na nchi inafaidikaje na hizi dili.
 
Ni kweli Loliondo inamilikiwa na wageni kwa ajili ya uwekezaji kwa muda mrefu na inatokana na mapungufu ya sheria yetu kutoweka fixed term hivyo walitumia weakness ya sheria yetu wakamilikishwa kwa muda mrefu nasikia ni miaka 50 au zaidi sina uhakika na terms.
Sasa wewe ukoje? Mara sheria hairuhusu, mara Sheria ina weakness!! Huoni kwamba huo ndo msingi wa hoja ya mleta mada?
 
Ndio maana hua najiuliza hii Team ya Roma mbona ina page kubwa ya Roma Swahili pale Twitter kumbe issue inaanzia hapa sasa yuunganishe vidot.
 
Tulia baba
Mipori iko ekari na ekari na haileti tija yoyote. Ni heri mtu atoe bilions zisaidie kwenye elimu na afya.
Mpaka leo Tanzania kuna vijiji ukiomba ardhi unapewa mapana tu marefu utajipimia mwenyewe bure kabisa.
Broo mwaka jana kijiji kimoja Liwale walimpa hekari 4 upana, urefu atajua yeye mwenyewe.
 
Back
Top Bottom