heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Kwani anaondoka nayo apewe tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maandishi yapo sahihiHeka milion 6? si mikoa miwili kabisa au typ error
Nani kanyimwa umilikiMtanzania marufuku kumiliki ekari 100
Ila mzungu anamiliki mpaka Watanzania na wanyama pia waliomo kwenye hifadhi
Sasa tuna tofauti gani na hao panzi
dah kama ni hivyo hatarMaandishi yapo sahihi
aliyewaondoa wamasai ngorongoroWeuh!
Pia ni mmiliki halali wa pori la akiba la MWIBA.
Wanaojua kuhusu huyu jamaa watupe details anafanya biashara gani na ardhi kubwa kiasi hicho?
View attachment 2610500
Wapi imeandikwa hivyo?Mtanzania marufuku kumiliki ekari 100
Ila mzungu anamiliki mpaka Watanzania na wanyama pia waliomo kwenye hifadhi
Sasa tuna tofauti gani na hao panzi
huna tofauti na panzi mkuuMtanzania marufuku kumiliki ekari 100
Ila mzungu anamiliki mpaka Watanzania na wanyama pia waliomo kwenye hifadhi
Sasa tuna tofauti gani na hao panzi
Lukuvi alikuwa analisema hili kila kukicha alipokuwa waziri wa ardhiNani kanyimwa umiliki
we jamaa ni mpuuzi sana, unawaza ulipo huwazi future, huwazi kizazi chako unawazia tumbo lako tu, damn !ungekua karibu ungenitambuaTulia baba
Mipori iko ekari na ekari na haileti tija yoyote. Ni heri mtu atoe bilions zisaidie kwenye elimu na afya.
Mpaka leo Tanzania kuna vijiji ukiomba ardhi unapewa mapana tu marefu utajipimia mwenyewe bure kabisa.
Broo mwaka jana kijiji kimoja Liwale walimpa hekari 4 upana, urefu atajua yeye mwenyewe.
Hizi Mwiba game reserves, lodges and tented camps zipo tangu wakati wa Mwinyi au Mkapa km sijakosea. So tuache kumwangushia zigo MamaMama kafungua nchi, wamasai tafteni kwa kwenda 🤣🤣🤣
Na wewe unaabudu mzunguhuna tofauti na panzi mkuu
aliyekutwa na ngozi ndiye mla nyamaHizi Mwiba game reserves, lodges and tented camps zipo tangu wakati wa Mwinyi au Mkapa km sijakosea. So tuache kumwangushia zigo Mama
Kwahiyo ukiwaza future ndio uache hayo mapori yawe unproductive? Kuna game reserves, Camps and lodges kibao huko Serengeti watu wanaenda kula maisha kila leo kwa dollar 1000-5000 per head per night!. Ni mimi na wewe ambao hatujazishika chapaa ndio unashtuka kusikia watu wanamiliki acres of lands in Serengeti wilderness. FYI hizo game reserves and tented camps zipo toka wakati wa Mkapa so acheni uchuro wa kumrushia Mama matopewe jamaa ni mpuuzi sana, unawaza ulipo huwazi future, huwazi kizazi chako unawazia tumbo lako tu, damn !ungekua karibu ungenitambua
huna akiliKwahiyo ukiwa za future ndio uache hayo mapori ya kuwa unproductive? Kuna game reserves, Camps and lodges kibao huko Serengeti watu wanaenda kula maisha kila leo kwa dollar 1000-5000 per head per night!. Ni mimi na wewe ambao hatujazishika chapaa ndio unashtuka kusikia watu wanamiliki acres of lands in Serengeti wilderness. FYI hizo game reserves and tented camps zipo toka wakati wa Mkapa so acheni uchuro wa kumrushia Mama matope
Hata wew unaweza kumiliki camp Serengeti mkuu. Kuna wazawa kibao wana camps huko mbugani wengine kwa kushirikiana na wazungu na wageni. Usichokijua ni kuwa utalii unaingizia nchi pesa nyingi kuliko madini na sekta nyinginezo. Utalii ni zaidi ya dhahabu na almasialiyekutwa na ngozi ndiye mla nyama
Huwezi kuelewa kwa sababu una chuki na husda on top of having a very small atrophied corpus callosumhuna akili
sawaHuwezi kuelewa kwa sababu una chuki na husda on top of having a very small atrophied corpus callosum