Dan Friedkin mmiliki wa AS Roma anamiliki ardhi kubwa Tanzania, mamlaka zimchunguze

Dan Friedkin mmiliki wa AS Roma anamiliki ardhi kubwa Tanzania, mamlaka zimchunguze

Hii Mwiba game reserve iko wapi? Halafu sidhani kama hii taarifa ni sahihi.

Game reserve huwa zinatolewa kwa kampuni za uwindaji kwa kukodishwa na siyo kumiliki.

Kwa mfano Selou game reserve kuna hunting block zaidi ya 10 na eneo lingine Magufuli skaamuru lifanywe National park na liondolewe kuwa game reserve.

Asiyekuwa maana ya game reserve ni kwamba ni vitalu vya uwindaji, mmiliki ni serikali hakuna mwenye uwezo wa kuuza hizo game reserve, ukishindwa unarudisha serikalini au serikali ikiamuwa inachukuwa au Rais ana mamlaka ya kutangaza kuwa National park na shughuri za uwindaji zinakoma rasmi.

Bado Nina mashaka na taarifa hii haiko sawa.
Game reserve sio "KITALU CHA UWINDAJI" ni PORI LA AKIBA ila ndani yake panaweza kuwa na vitalu kwaajili ya kuwinda.
 
Ni unafiki kuukata uraia pacha ilhali tunaruhusu mgeni kuja kumiliki ardhi ambayo tunajua kikatiba haruhusiwi
Na siku tutakapouacha huo unafiki wa kukataa uraia pacha Nina uhakika kuna sehemu nzuri nchi itafikia kimaendeleo
 
Umesahau kuwa hata shetani ana watetezi wake?

Tujue huyo mlami kazipatajrle zote hizo? Kwa nini amilikishwe na siyo kukodishwa?
Na wewe unaamini kwamba mtu kamilikishwa game reserve?

Msichokijuwa hilo lingekuwa linawezekana Rostam Aziz ndio angemiliki game reserve kubwa maana ana kampuni ya uwindaji inaitwa Miombo Safari ipo Masaki inasimamiwa na Mdogo wake na Mzungu mmoja anaitwa Michelle
 
Ni unafiki kuukata uraia pacha ilhali tunaruhusu mgeni kuja kumiliki ardhi ambayo tunajua kikatiba haruhusiwi
Na siku tutakapouacha huo unafiki wa kukataa uraia pacha Nina uhakika kuna sehemu nzuri nchi itafikia kimaendeleo
Usikubali kulishwa matakataka, usiamini kila unachosikia au kukisoma, Chuja.
 
Sheri ipi? Hawa wanakodishiwa kwa miaka 99, huyu amebakiza miaka kama 98 na hio aridhi, ndio maana na yeye ana kodisha au kubinasifisha tena kwa pesa ndefu kuliko alivyo kodishiwa yeye
hapa ebu tuwekane sawa neno kubinafsisha na kukodisha yako sawa au mm tu napata shida kuyaelewa.ufafanuzi japo kidogo.
 
Tatizo la wanasiasa mkuu, wanaiba hela sana halafu wanaogopa kufanya vitu vikubwa kwa sababu ya usimamizi

Na hawezi kuandikisha mtu kwa kuhofia kupigwa ingawa yeye mwenyewe kaziiba

Wapo waliokwapua hela na kuwekeza kwa matajiri wakubwa ila sio waswahili [emoji1]

Siku wakikubali diaspora wawekeze kama Wazawa nafikiri watu watakuja kuwekeza huko na mimi nikiwemo
Tatizo kubwa ni finance security nchi yetu haina muendelezo wa economic stability anything can happen at any time.
 
Amekodi ardhi tu miaka ikiisha anaachia ama anaendelea, na kama madini yapo haruhusiwi kuchimba.

Madini ya Tanzania yanatawaliwa na Sheria ya madini ya mwaka 2017.

Hata nyumbani kwako ambako unayo Title Deed, ukikuta dhahabu ni mali ya Serikali. Ila wakikuta bangi ni mali yako
Wakikuta Bangi ni Mali Yako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sheri ipi? Hawa wanakodishiwa kwa miaka 99, huyu amebakiza miaka kama 98 na hio aridhi, ndio maana na yeye ana kodisha au kubinasifisha tena kwa pesa ndefu kuliko alivyo kodishiwa yeye
Hakuna upunguani viongozi wa nchi hii wanafanya kama huu, unammilikisha mgeni ardhi umri wa kupata hadi vitukuu......huyo mgeni ana privileges zaidi ya wananchi wazawa ambao kumiliki hata ekari tano ni mtihani huku wengine kule loliondo wakifurushwa kimabavu kumpisha mgeni aliyepewa jina la mwekezaji.
 
shida n kwamba wenye nchi tuko tunakimbizana na mechi za mpira, mambo ya kuigiza tu bila kujua kuwa tunaliwa huku tuko kimya tubaki kuwa waoga wa nchi yetu yaani mambo mparaganyiko tu
Inasikitisha sana
 
Never again Rais wa Jamhuri atoke Zanzibar.

Hao hawana uzalendo kabisa.

Wanagawa mali za Tanganyika kama pipi.

Hawana madini Wala wanyama.

Tuwe makini nao.
Wewe ni nani iwe kauli yako juu ya watanzania sote tena kwa ukali na ulazima huo ?!!!!.


Acha upopoma na chuki za kihobobo mzee.......

Hwenda mjomba wako alimchukia Mh.Mzee Mwinyi na kuapa hivyo ulivyotuapia.....na leo yuko mzanzibari mwingine.....ni sawa na wale wanaotuapiza kuwa kanda ya ziwa haitotoa tena Rais.....ujinga mtupu.....

Tanzania ipo hata baada ya sisi kufa....

N.B TANGANYIKA ni mfu haifufuki

#SiempreJMT[emoji120]
 
Hakufuata utaratibu ?!!!

Tuache kupayuka hovyo......hata raia hawezi tu kujimilikisha/kumilikishwa ardhi kubwa kinyume na utaratibu.....akifuata utaratibu huwa hakuna KOSA.....

Nchi yetu iko makini mno katika mambo yahusuyo ardhi......

#SiempreJMT[emoji120]
 
Back
Top Bottom