Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,856
- 2,417
Huna tofauti na mchawi ,Nasikia raha mno na ya ajabu Slaa anavyoteseka…. Leo nachinja jogoo langu bado Lissu!
roho mbaya inayolitesa bara la Africa kwa umaskini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna tofauti na mchawi ,Nasikia raha mno na ya ajabu Slaa anavyoteseka…. Leo nachinja jogoo langu bado Lissu!
Slaa alivyokua akiharibu vibaya kabisa heshima ya Mbowe mliona raha sio?? Natamani nimsokomezee kijinga cha moto mjaaluta yule!Huna tofauti na mchawi ,
roho mbaya inayolitesa bara la Africa kwa umaskini
Slaa ameipigania sana hii nchi. Kelele zake kuhusu bandari, misitu, Ngorongoro kuuzwa zilisaidia kupunguza kasi ya hawa wahuni kuuza nchi. Ndiyo maana anakomolewa na kuteswa sasa. Ndio sababu ya kuvuliwa ubalozi.Nasikia raha mno na ya ajabu Slaa anavyoteseka…. Leo nachinja jogoo langu bado Lissu!
We ulimtuma kwenda kuongea ule upuuzi kwenye online TvNchi ya kipumbavu sana. Halafu utakuta viongozi wanaofanya huu upumbavu leo wapo misikitini na kesho/keshokutwa wamejaa makanisani. Umbwa kabisa. Acha Trump atubane labda tutapata akili ya kuwang'oa.
Nayapala amalizane nae tu mshamba sana yuleNasikia raha mno na ya ajabu Slaa anavyoteseka…. Leo nachinja jogoo langu bado Lissu!
Amen.Nimeota malaika wa BWANA akiniambia hivi:
"Aliyeshauri Dr. Slaa avuke January 2025 akiwa ndani rumande, kinyume na haki, hatofika Feɓruary 2025 asema BWANA wa majeshi."
My take:
Huwa namwona Dr. Slaa kama msaliti, na simfagilii kivile yaani lakini sijui kwa nini malaika wa BWANA kaniambia hivi katika ndoto. Huwa nikiota hivi lazima itokee.
Mkiona Dr. Slaa hajaachiwa leo hii 31 Januari 2025, basi Februari 1, Saa sita na sekunde 1 usiku huu tunaamka na msiba mzito. "Aliyeshauri" na sijui ni nani wala sijui cheo chake. RIP in advance.
R.I.p in advance mkubwa asiyejulikana jinaNimeota malaika wa BWANA akiniambia hivi:
"Aliyeshauri Dr. Slaa avuke January 2025 akiwa ndani rumande, kinyume na haki, hatofika Feɓruary 2025 asema BWANA wa majeshi."
My take:
Huwa namwona Dr. Slaa kama msaliti, na simfagilii kivile yaani lakini sijui kwa nini malaika wa BWANA kaniambia hivi katika ndoto. Huwa nikiota hivi lazima itokee.
Mkiona Dr. Slaa hajaachiwa leo hii 31 Januari 2025, basi Februari 1, Saa sita na sekunde 1 usiku huu tunaamka na msiba mzito. "Aliyeshauri" na sijui ni nani wala sijui cheo chake. RIP in advance.
Mbona umepaniki sana?Huyu Dr Slaa huwa unamwona msaliti kwa namna gani..?
Amewahi kukusaliti ktk nini? Au kamsaliti nani ktk nini na kwa namna gani..?
Au ufahamu na mtazamo wako wa "kijinga" tu juu ya misimamo na masmuzi binafsi ya Dr Slaa kwako wewe ndio unauita usaliti...?
Angekuwa msaliti anayestahili kupata malipo na adhabu ya usaliti, huyo Mungu angewezaje kukuonesha maono ya ukombozi wake...?
Mmmmh.... tuwaombee heri viongozi wetuNimeota malaika wa BWANA akiniambia hivi:
"Aliyeshauri Dr. Slaa avuke January 2025 akiwa ndani rumande, kinyume na haki, hatofika Feɓruary 2025 asema BWANA wa majeshi."
My take:
Huwa namwona Dr. Slaa kama msaliti, na simfagilii kivile yaani lakini sijui kwa nini malaika wa BWANA kaniambia hivi katika ndoto. Huwa nikiota hivi lazima itokee.
Mkiona Dr. Slaa hajaachiwa leo hii 31 Januari 2025, basi Februari 1, Saa sita na sekunde 1 usiku huu tunaamka na msiba mzito. "Aliyeshauri" na sijui ni nani wala sijui cheo chake. RIP in advance.
Sijui..Mbona umepaniki sana?
Hujui usaliti wa Dr Slaa wewe? Au mahaba yamekuzidi