Dancing ingelipa kiasi hiki basi Moze Iyobo na Angel Nyigu wangekuwa mabilionea

Manager wake ni Issa Mpemba, ambaye biashara yake inafahamika vizuri tu. Time will tell.
 
Kama kweli kuna wafatiliaji wa hayo yanayoharibu vijana wetu, wangefanyia kazi haya unayoyasema. Manager wake anajihusisha na mambo haya, na anajulikana. Kwa hiyo hapa kuna kuuza na kutakatisha fedha mchana kweupee.
 
Nilijua akili zako ndio maana , unaamini katika mambo hayapo wakati kazi zinaonekana .
Kazi gani zinaonekana? Show ya maana aliyowahi kuifanya ni ile ya simba day tu.
Zilizobaki zote hazifiki hata m1 kwa show, mtu anaimba kwenye kabaa kadogo huko katavi unategemea apate sh ngapi? Ukiacha nyumba umeona gari alizoonyesha kuwa anamiliki? Huyo ni msanii kwenye jumba la sanaa tu.
 
Anafanya kazi hakuna pesa ya bure , anapambana kweli .
 
Anafanya kazi hakuna pesa ya bure , anapambana kweli .
Jamaa anafanya kazi hakuna ubishi ila mafanikio yange hayalingani na kazi yake, uzuri kazi yake sio ya siri ni hadharani kwahiyo inaonekana.
Nyumba + yale magari nakataa kuwa yameletwa na muziki pekee
 
Dullah Makabila.
 
Mtoa mada ana kitu asikilizwe...huwez kuruka ruka tu kweny show ...hueleweki unachoimba....ni kutaja taja tu majina ya watu afu uwe na ukwasi wa hivo...aitha kuna project haramu anapush au kashajizisajili kwa wale mawakala wa P didy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…