Dangote afungua kiwanda kikubwa Afrika cha kusafisha mafuta

Dangote afungua kiwanda kikubwa Afrika cha kusafisha mafuta

Dangote kafungua kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta.

Kiwanda hicho kitakuwa na uwezo wa kusafisha mapipa 600,000 kwa siku (600K BPD)

Kiwanda hicho kitakuwa kikubwa kuliko vyote Afrika.

Kiwanda hicho kitakuwa ni kiwanda kikubwa cha Single Line Duniani.

Kiwanda hicho kitatoa zaidi ya Tani 900,000 za Plastic kwa Mwaka PPE

Kiwanda hicho kitatosheleza matumizi ya mafuta ya Nigeria na bado mengine yatabaki kwa ajili ya kuuza nje

Kiwanda hicho kitategemea kupata malighafi kutoka Nigeria, Marekani na nchi zingine

Kiwanda hicho kinaweza ongezwa ukubwa hadi kufikia mapipa milioni 1 kwa siku.

Dangote alijenga Bandari binafsi ili kufanikisha zoezi hilo.

Matenki 177 yamejengwa ambayo yataweza tunza mafuta lita Bilioni 4.7

Kitakuwa kiwanda kikubwa cha mbolea Afrika nzima.

Gharama zilizotumika ni Tzs 50 Trilioni
Mungu ni mwema
 
Dangote kafungua kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta.

Kiwanda hicho kitakuwa na uwezo wa kusafisha mapipa 600,000 kwa siku (600K BPD)

Kiwanda hicho kitakuwa kikubwa kuliko vyote Afrika.

Kiwanda hicho kitakuwa ni kiwanda kikubwa cha Single Line Duniani.

Kiwanda hicho kitatoa zaidi ya Tani 900,000 za Plastic kwa Mwaka PPE

Kiwanda hicho kitatosheleza matumizi ya mafuta ya Nigeria na bado mengine yatabaki kwa ajili ya kuuza nje

Kiwanda hicho kitategemea kupata malighafi kutoka Nigeria, Marekani na nchi zingine

Kiwanda hicho kinaweza ongezwa ukubwa hadi kufikia mapipa milioni 1 kwa siku.

Dangote alijenga Bandari binafsi ili kufanikisha zoezi hilo.

Matenki 177 yamejengwa ambayo yataweza tunza mafuta lita Bilioni 4.7

Kitakuwa kiwanda kikubwa cha mbolea Afrika nzima.

Gharama zilizotumika ni Tzs 50 Trilioni
Hii taarifa ni uongo Mkubwa tena sana.

Gharama za Mradi iwe Tsh 50 trillioni sawa na $ 22 Bilion za Marekani wakati utajili wote wa Dangote ni $ 13 Bilioni? Huu ni uongo
 
Hii taarifa ni uongo Mkubwa tena sana.

Gharama za Mradi iwe Tsh 50 trillioni sawa na $ 22 Bilion za Marekani wakati utajili wote wa Dangote ni $ 13 Bilioni? Huu ni uongo
Hiyo ni 13b ni netwoth , yaan total assets less total liabilities
 
Dangote kafungua kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta.

Kiwanda hicho kitakuwa na uwezo wa kusafisha mapipa 600,000 kwa siku (600K BPD)

Kiwanda hicho kitakuwa kikubwa kuliko vyote Afrika.

Kiwanda hicho kitakuwa ni kiwanda kikubwa cha Single Line Duniani.

Kiwanda hicho kitatoa zaidi ya Tani 900,000 za Plastic kwa Mwaka PPE

Kiwanda hicho kitatosheleza matumizi ya mafuta ya Nigeria na bado mengine yatabaki kwa ajili ya kuuza nje

Kiwanda hicho kitategemea kupata malighafi kutoka Nigeria, Marekani na nchi zingine

Kiwanda hicho kinaweza ongezwa ukubwa hadi kufikia mapipa milioni 1 kwa siku.

Dangote alijenga Bandari binafsi ili kufanikisha zoezi hilo.

Matenki 177 yamejengwa ambayo yataweza tunza mafuta lita Bilioni 4.7

Kitakuwa kiwanda kikubwa cha mbolea Afrika nzima.

Gharama zilizotumika ni Tzs 50 Trilioni
Huyu naye kanjanja tuu Mzee wa magumashi. Tangu adanganye watanzania kuwa kiwanda chake Cha dangote cement kingetuuzia saruji mfuko mmoja Tshs. 3,000 na saruji yake ingesambaa Tanzania nzima Sina hamu naye. Aliahidinangetumia mkaa wa mawe kutoka bongo lakini Cha ajabu akawa anamfuata bongo. Mwongozo mkubwa huyu
 
Dangote kafungua kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta.

Kiwanda hicho kitakuwa na uwezo wa kusafisha mapipa 600,000 kwa siku (600K BPD)

Kiwanda hicho kitakuwa kikubwa kuliko vyote Afrika.

Kiwanda hicho kitakuwa ni kiwanda kikubwa cha Single Line Duniani.

Kiwanda hicho kitatoa zaidi ya Tani 900,000 za Plastic kwa Mwaka PPE

Kiwanda hicho kitatosheleza matumizi ya mafuta ya Nigeria na bado mengine yatabaki kwa ajili ya kuuza nje

Kiwanda hicho kitategemea kupata malighafi kutoka Nigeria, Marekani na nchi zingine

Kiwanda hicho kinaweza ongezwa ukubwa hadi kufikia mapipa milioni 1 kwa siku.

Dangote alijenga Bandari binafsi ili kufanikisha zoezi hilo.

Matenki 177 yamejengwa ambayo yataweza tunza mafuta lita Bilioni 4.7

Kitakuwa kiwanda kikubwa cha mbolea Afrika nzima.

Gharama zilizotumika ni Tzs 50 Trilioni
Wapi kimefunguliwa?
 
Hii gharama ni kwenye sarafu gani US dollar, Tshs au Naira ya Nigeria?
Baadhi ya Mitanzania bana!

Screenshot_20230522-174433_Edge.jpg
 
Hii taarifa ni uongo Mkubwa tena sana.

Gharama za Mradi iwe Tsh 50 trillioni sawa na $ 22 Bilion za Marekani wakati utajili wote wa Dangote ni $ 13 Bilioni? Huu ni uongo
Huna akili
 
Sasa bepari kama huyu si anaweza kuweka serikali yote mikononi mwake? Tena ana uwezo wa kuweka mgombea wake wa kuja kulinda maslahi yake
Nyie ndiyo chawa wa vitajiri vyenye mitaji midogo waliojificha kwenye siasa na kubania wawekezaji ili kulinda vihela vyao vya madafu. Haya ni mawazo mgando yenye umasikini ndani yake.
Nyie ndo wenye mawazo ya kwamba Kila tajiri ni mwizi hamtaki challenge za matajiri ila mnataka chalenji za masikini walala hoi ili muwaite wanyonge usikute nyie ndo mabaki ya mwenda zake
 
Ndo refinery kubwa Single Train duniani.

Dangote Kasema ina uwezo wa 650KBPD

NNCP inamiliki 20% ya Refinery
 
Huyu naye kanjanja tuu Mzee wa magumashi. Tangu adanganye watanzania kuwa kiwanda chake Cha dangote cement kingetuuzia saruji mfuko mmoja Tshs. 3,000 na saruji yake ingesambaa Tanzania nzima Sina hamu naye. Aliahidinangetumia mkaa wa mawe kutoka bongo lakini Cha ajabu akawa anamfuata bongo. Mwongozo mkubwa huyu
Nawew acha uzuzu ya cement mfuko afu tatu kwel
 
Dangote kafungua kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta.

Kiwanda hicho kitakuwa na uwezo wa kusafisha mapipa 600,000 kwa siku (600K BPD)

Kiwanda hicho kitakuwa kikubwa kuliko vyote Afrika.

Kiwanda hicho kitakuwa ni kiwanda kikubwa cha Single Line Duniani.

Kiwanda hicho kitatoa zaidi ya Tani 900,000 za Plastic kwa Mwaka PPE

Kiwanda hicho kitatosheleza matumizi ya mafuta ya Nigeria na bado mengine yatabaki kwa ajili ya kuuza nje

Kiwanda hicho kitategemea kupata malighafi kutoka Nigeria, Marekani na nchi zingine

Kiwanda hicho kinaweza ongezwa ukubwa hadi kufikia mapipa milioni 1 kwa siku.

Dangote alijenga Bandari binafsi ili kufanikisha zoezi hilo.

Matenki 177 yamejengwa ambayo yataweza tunza mafuta lita Bilioni 4.7

Kitakuwa kiwanda kikubwa cha mbolea Afrika nzima.

Gharama zilizotumika ni Tzs 50 Trilioni
Duh! Kila line ni punch line[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Huyo jamaa tungeishi nae vizuri tungemfaidi sana!

Tukisha rekebisha yale maswala yetu ya k/koo tukambembeleze aje amulikemulike tena humu
 
Adhibitiwe na Jeshi iwapo akisumbua chap tu usalama unadeal naye.

Nchi inatakiwa iruhusu watu kama hawa na iwalinde. Hapa TZ tungekuwa naye akatujengea mitambo ya madini na gesi humu ndani maana serikali biashara haiwezi.
Hajawahi kwenda kinyume na serikali yoyote ya Nigeria...toka babu na babu wanafanya kazi na serikali wamepewa pasi nyingi sana hao jamaa.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Huyu naye kanjanja tuu Mzee wa magumashi. Tangu adanganye watanzania kuwa kiwanda chake Cha dangote cement kingetuuzia saruji mfuko mmoja Tshs. 3,000 na saruji yake ingesambaa Tanzania nzima Sina hamu naye. Aliahidinangetumia mkaa wa mawe kutoka bongo lakini Cha ajabu akawa anamfuata bongo. Mwongozo mkubwa huyu
Gharama alizosema alikuwa sahihi lkn kodi ambazo inchi yako imeweka ndio shida ilipoanzia.
 
Back
Top Bottom