inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Mbolea na plastic vinatoka kwenye mafuta ulamaaNilisomaa ili andiko sehemu il kinachonichanganyaa ni kwamba kitakuwaa pia kinazaalisha mboleaa n plastik kivip? japo mwaka jana alifunguaa kkiwandaa kikubwa cha mbolea je ni iki iki au malighafi zitakazo baki kwenye usafishaji wa mafuta zitatumika kutengeneza mbolea?