Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana viwanda vingapj nchi ngapi ili leo atafute sympathy. Utetezi wako ni kipenda roho ....Uwekezaji mkubwa lakini walishindwa kuforecast running costs na kinachotokea ni kutafuta public sympathy ili wapewe favor
Ndio kazi iliyobaki kwa vijana wa Ufipa street.Porojo za hapa na pale.
Hushangai sukari ya Brazil ni rahisi kuliko ya Kilombero?Mleta mada uwe unafikiri vyema!!
Sasa kama ulivyoandika hapo "can't transport coal from songea to expensive and very far" ina maana kusafirisha makaa kutoka nje na kutoka songea wapi mbali na panapohitaji gharama zaidi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe usiseme hivyo. Kumbuka sukari ya nje inasafirishwa maelfu ya kilometa ni rahisi kuliko ya Kilombero. Tanzania ni zaidi ya uijuavyo.Kuagiza makaa ya mawe toka songea ni gharama kubwa lakini kuagiza toka afrika ya kusini ni gharama nafuu!!!! Uongo mwingine hata shetani hajawahi kuufanya! Na aondoke! Hatukuanza maisha baada ya Nangote kuja Tanzania na maisha hayatakoma baada ya Dangote kuondoka Tanzania!
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo umeongea pointunaposema makaa ya mawe yanatoka nje nakuwa sikuelewi na pia watu wa kule songea watakushangaa maana kila siku asubuhi wanapishana na mamia ya malori ya dangote yakisomba makaa kupeleka kiwandani.
Vile vile nilichokisikia mimi ni malipo madogo sana kwa madereva wa hayo malori tofauti na mishahara mikubwa wanayolipwa raia wa kigeni
Alipoongopa ni hapa mkuu .."Kwa sasa kiwanda hicho kinatumia genereta na makaa kidogo ya mawe yaliyoagizwa kutoka nje ambayo nayo yanaelekea kuisha".....wakati malori yanapita hapa yamesheheni mkaa wa mawe kutokea Songea. Mtu anayeishi masasi ataniunga mkono kwa hili, kesho ntawapigia picha nikitoka kijijini kusalimiaHajasema kafunga. Hujamuelewa mtoa mada nafikiri
Sidhani kama hawaku-forecast. Tatizo ni sera mpya ya nchi ambayo Rais huamua kila jambo ikiwa na kukulazimisha uchukue wapi raw materials au inputs nyingine. Biashara ni ushindani. Kwa nini umlazimishe mwenye kiwanda atumie makaa ya mawe toka Songea wakati ni aghali kushinda yanayotoka SA? Dhamira ni njema lakini approach ni mbovu.Uwekezaji mkubwa lakini walishindwa kuforecast running costs na kinachotokea ni kutafuta public sympathy ili wapewe favor
Kuwa na viwanda vingi siyo hoja. Unaweza ukawa na wake wanne lakini siyo kwamba kila ukienda kwa mkeo kulingana na ratiba uliyojiwekea basi performance itakuwa ileile, la hasha haiwezi kuwa sawa.Ana viwanda vingapj nchi ngapi ili leo atafute sympathy. Utetezi wako ni kipenda roho ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Is Dangote Cement company listed in DSE? If so; unaweza kutuonyesha kwa number kuporomoka huko kwa hisa zao baada ya jamaa kuandika maneno hayo? Msema UkweliHivi huwa mnapata faida gani mnapoleta uongo wa aina hii
Unajificha kwenye neno tetesi ili kueneza uongo.
Unafaa kupigwa ban ya mwaka kwa sababu unafanya hisa za dangote zishuke kwenye soko la hisa kwa sababu ya kueneza uongo.
NimekuelewaWalisha focus sana kwny Cost Tatizo tumeingiza Mambo ya Ujamaa kwa kuwachagulia wapi wakanunue Nishati!
Style ya Uchumi wa Kijamaa ulligharimu sana Nchi wakati wa Nyerere na JPM analazimisha kurudia hilo kosa
Ni sawa na ile ya kulazimisha kila anaetaka kusafirisha Mahindi Basi asafirishe unga kutokna na kukariri kwetu kuwa Matumizi ya Mahindi ni kukorogea Uji na kusongea ugali pekee!
labda unajinyea wewe mkuuKazi tu huku nchi inajinyea imesimama!
Shit!
Ok, kazi tu!
Ndio kazi iliyobaki kwa vijana wa Ufipa street.
Vijana wa Ufipa ni wa kuogopwa kama ukoma.Hi
Hivi kati ya mpiga porojo na majungu, nani wa kuogopwa kama ukoma?