Dangote upo wapi? Vifaa vya ujenzi cement na nondo sikutegemea kama vitafika bei hii

Dangote upo wapi? Vifaa vya ujenzi cement na nondo sikutegemea kama vitafika bei hii

Cement ya Dangote ndio ilikuwa inasababisha bei iwe chini, ngoja aanze upya uzalishaji. Halafu 'KURIKONI' ndio nini?
 
Alishasema anataka kuona Watanzania wanaishi kama mashetani. Mafanikio yake kwenye hilo yanazidi kushamiri.
kwakweli naona hayo kwake nimoja ya mafanikio ..kuna mwana psychology mmoja Hivi niliwahi kumsikia akisema ""
kuna watpu wengine huwa wanatawaliwa na njaa ya kuona wenzao wanaumia na kupatwa na shida ..pindi anapoona hilo linakamilika basiii huwa ni mwenye. kujisikia kushiba ...
sasa ndiye huyu jamaa...ni zombie aisee
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kujenga ni anasa! Bei ya bati, misumari, ....imepaa anga za juu.
 
Tatizo serikali ya magufuli haijaweka mazingira mazur ya kiuwekezaji.

Hata kile kidogo alichoanzsha kikwete huyu msukuma wa chato kashindwa kusimamia
Tutajie ...mazingira mazuri matatu ya uwekezaji ambayo unaona yakiwekwa na Magufuli yataleta tija kwa Taifa
1.
2.
3.

Wanapita humu ni vema usiishie kuraumu na kupiga kelele bila kueleza mchango wako wa mawazo.
Kma misamaha ya kodi wanapewa .

Serikali inamfumo ambao ukiutazama unampendelea mwekezaji kuliko machinga

Mwekezaji anapata msamaha wa kodi kwa mtaji wake mkubwa
Machinga wa nchi hii anatozwa kodi siku ya kwanza anapotaka kuanza biashara yake...hapewi hata mwaka wa kujitizamia ....kama atapata Faida au la.
Leseni ya biashara
Pango la frem
Ukarabati
Umeme
Maji
Ulinzi
Usafi

Bado nyaraka nyingine ambazo kuzipata ni. Kazi kwelikweli.
 
Tutajie ...mazingira mazuri matatu ya uwekezaji ambayo unaona yakiwekwa na Magufuli yataleta tija kwa Taifa
1.
2.
3.

Wanapita humu ni vema usiishie kuraumu na kupiga kelele bila kueleza mchango wako wa mawazo.
Kma misamaha ya kodi wanapewa .

Serikali inamfumo ambao ukiutazama unampendelea mwekezaji kuliko machinga

Mwekezaji anapata msamaha wa kodi kwa mtaji wake mkubwa
Machinga wa nchi hii anatozwa kodi siku ya kwanza anapotaka kuanza biashara yake...hapewi hata mwaka wa kujitizamia ....kama atapata Faida au la.
Leseni ya biashara
Pango la frem
Ukarabati
Umeme
Maji
Ulinzi
Usafi

Bado nyaraka nyingine ambazo kuzipata ni. Kazi kwelikweli.
Kuna wataalamu waliosomeshwa kwa kodi za wananchi ili waweze kufanya hayo unayoyataka niyafanye.

Naamini wanataman kufanyia kaz elimu zao ila hawapewi hiyo nafasi.

Kwa kuwa ninaamini katika kuheshimu taaluma za watu sitasema wafanyaje. Ila ninaweza kusema wakatae kupelekeshwa na wanasiasa ambao wengi hawajui chochote kuhusu uwekezaji.
 
Back
Top Bottom