Danguro jipya laibuka Mbezi Mwisho, wapangaji wahamishwa kupisha biashara

Danguro jipya laibuka Mbezi Mwisho, wapangaji wahamishwa kupisha biashara

Darwin Nunez

Member
Joined
Jun 12, 2022
Posts
90
Reaction score
212
Wakuu

Kwa sasa hili jiji la Dar kila kona hali imeharibika, biashara ya ukahaba imekithiri kwelikweli mpaka kwenye maeneo ambayo hayakufikirika kama siku moja kunaweza kuwa na danguro

Madanguro yanaota kama uyoga kila siku na wenye mamlaka wamekaa kimya as if haya madanguro hayaonekani, hii ni kero kubwa kwa wakazi wa maeneo husika hasa katika makuzi na malezi ya watoto kwani madanguro hayo yanapatikana katika makazi ya watu

Kwa sasa kuna DANGURO kuuubwa limetengezwa maeneo ya Mbezi Mwisho, wananchi na wapangaji wa eneo lile walipewa notsi kuachia vyumba vyao kupisha biashara ya ukahaba

Kwa sasa danguro limekuwa kubwa mno, baa ya Lubumbashi na Kwa GOD zimekuwa chachu ya ukahaba huu.

Imagine lile eneo lote kati ya kwa god na lubumbashi, zile nyumba za kati zote ni madanguro
Eneo lile saa 1 jioni tu makahaba yamejaa wala hayaogopi kitu

Serikali na Jeshi la polisi tunaomba danguro hili lisambaratishwe
 
Serikali ikishaingilia utawalisha? Infect acha watu waishi kama wanavyoona inafaa.
Obviously familia huna wewe ndio maana huwazi zaidi ya leo!

Unachokiona leo mf; Mbagala Bunju na Chamazi kuwepo makahaba ni zao la watoto waliokulia Sinza na Kinondoni za miaka hiyo zilizokuwa zikisifika kwa biashara hii chafu, siyo ajabu wazazi wa hao makahaba walikuwa na mawazo kama ya kwako walipoona watoto wa wenzao wakifanya haya.
 
Wakuu

Kwa sasa hili jiji la Dar kila kona hali imeharibika, biashara ya ukahaba imekithiri kwelikweli mpaka kwenye maeneo ambayo hayakufikirika kama siku moja kunaweza kuwa na danguro

Madanguro yanaota kama uyoga kila siku na wenye mamlaka wamekaa kimya as if haya madanguro hayaonekani, hii ni kero kubwa kwa wakazi wa maeneo husika hasa katika makuzi na malezi ya watoto kwani madanguro hayo yanapatikana katika makazi ya watu

Kwa sasa kuna DANGURO kuuubwa limetengezwa maeneo ya Mbezi Mwisho, wananchi na wapangaji wa eneo lile walipewa notsi kuachia vyumba vyao kupisha biashara ya ukahaba

Kwa sasa danguro limekuwa kubwa mno, baa ya lubumbashi na Kwa GOD zimekuwa chachu ya ukahaba huu

Imagine lile eneo lote kati ya kwa god na lubumbashi, zile nyumba za kati zote ni madanguro
Eneo lile saa 1 jioni tu makahaba yamejaa wala hayaogopi kitu

Serkali na jeshi la polisi tunaomba danguro hili lisambaratishwe
Mimi maoni yangu serikali ingeweza ndoa za muda mfupi kama siku 3 au week, mwezi, mwaka ili kupunguza wimbi kubwa la madanguro lakini hivi hivi ni ngumu na kwa sasa jiji la Dar es salaam kote pamechafuka akuna jipya naamini ndoa hizo zitapunguza ukahaba na ukienda guest bila cheti cha ndoa upesi room
 
Obviously familia huna wewe ndo maana huwazi zaidi ya leo!

Unachokiona leo mf;Mbagala Bunju na Chamazi kuwepo makahaba ni zao la watoto waliokulia Sinza na Kinondoni za miaka hiyo zilizokuwa zikisifika kwa biashara hii chafu,siyo ajabu wazazi wa hao makahaba walikuwa na mawazo kama ya kwako walipoona watoto wa wenzao wakifanya haya.
Ukahaba ni worldwide na sababu sio kuishi sinza au magomeni.

Ni biashara ambayo haitakuja kuisha labda yesu arudi.

Serikali ihalishe kuwe na maeneo special ili kuepuka kufanyika kwenye makazi ya watu. Huku kujifanya mnafata maadili ndo watu wanafanyia popote pale.
 
UFUNUO 2: 19-23

19 Nayajua matendo yako na upendo na imani na huduma na subira yako; tena kwamba matendo yako ya mwisho yamezidi yale ya kwanza.
20 Lakini nina neno juu yako, ya kwamba wamridhia yule mwanamke Yezebeli, yeye ajiitaye nabii na kuwafundisha watumishi wangu na kuwapoteza, ili wazini na kula vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu.
21 Nami nimempa muda ili atubu, wala hataki kuutubia uzinzi wake.
22 Tazama, nitamtupa juu ya kitanda, na hao wazinio pamoja naye, wapate dhiki kubwa wasipotubia matendo yake;
23 nami nitawaua watoto wake kwa mauti. Na makanisa yote watajua ya kuwa mimi ndiye achunguzaye viuno na mioyo. Nami nitampa kila mmoja wenu kwa kadiri ya matendo yake
 
Obviously familia huna wewe ndo maana huwazi zaidi ya leo!

Unachokiona leo mf;Mbagala Bunju na Chamazi kuwepo makahaba ni zao la watoto waliokulia Sinza na Kinondoni za miaka hiyo zilizokuwa zikisifika kwa biashara hii chafu,siyo ajabu wazazi wa hao makahaba walikuwa na mawazo kama ya kwako walipoona watoto wa wenzao wakifanya haya.
Watu wa Dar ni walalamishi sana....hasa mnaokaa uswahilini kama wewe. Achana na maisha ya watu...ukiona hapakufai hapo hama kulinda maadili ya familia yako,otherwise huna utakalo saidia zaidi ya porojo.
AU
Umetoka zako mkoani umefika dar,unawapelekea sheria zako za kitemi!!!! Mji mkubwa huo utakushinda.
 
Mimi maoni yangu serikali ingeweza ndoa za muda mfupi kama siku 3 au week, mwezi, mwaka ili kupunguza wimbi kubwa la madanguro lakini hivi hivi ni ngumu na kwa sasa jiji la Dar es salaam kote pamechafuka akuna jipya naamini ndoa hizo zitapunguza ukahaba na ukienda guest bila cheti cha ndoa upesi room
Yaani nyuchi za watu wewe ndo uzipangie? Ndoa haziwezi kupunguza ukahaba...wateja wakuu ni walio na ndoa zao
 
Kwa sasa danguro limekuwa kubwa mno, baa ya lubumbashi na Kwa GOD zimekuwa chachu ya ukahaba huu

Imagine lile eneo lote kati ya kwa god na lubumbashi, zile nyumba za kati zote ni madanguro
Eneo lile saa 1 jioni tu makahaba yamejaa wala hayaogopi kitu

Serkali na jeshi la polisi tunaomba danguro hili lisambaratishwe
Utashangaa wateja wakubwa watakuwa ni hao unaowakumbusha kutimiza majukumu yao
 
Back
Top Bottom