Danguro jipya laibuka Mbezi Mwisho, wapangaji wahamishwa kupisha biashara

Danguro jipya laibuka Mbezi Mwisho, wapangaji wahamishwa kupisha biashara

Wakuu

Kwa sasa hili jiji la Dar kila kona hali imeharibika, biashara ya ukahaba imekithiri kwelikweli mpaka kwenye maeneo ambayo hayakufikirika kama siku moja kunaweza kuwa na danguro

Madanguro yanaota kama uyoga kila siku na wenye mamlaka wamekaa kimya as if haya madanguro hayaonekani, hii ni kero kubwa kwa wakazi wa maeneo husika hasa katika makuzi na malezi ya watoto kwani madanguro hayo yanapatikana katika makazi ya watu

Kwa sasa kuna DANGURO kuuubwa limetengezwa maeneo ya Mbezi Mwisho, wananchi na wapangaji wa eneo lile walipewa notsi kuachia vyumba vyao kupisha biashara ya ukahaba

Kwa sasa danguro limekuwa kubwa mno, baa ya lubumbashi na Kwa GOD zimekuwa chachu ya ukahaba huu

Imagine lile eneo lote kati ya kwa god na lubumbashi, zile nyumba za kati zote ni madanguro
Eneo lile saa 1 jioni tu makahaba yamejaa wala hayaogopi kitu

Serkali na jeshi la polisi tunaomba danguro hili lisambaratishwe
Kwasababu wateja mpo.

Wanaume mmezidi sana.
 
Serikali ikishaingilia utawalisha? Infect acha watu waishi kama wanavyoona inafaa.
Kila mtu akiishi anavyoona inafaa then maelewano na amani itatokea wapi?
Wewe ni kenge, au unakataa?
KENGE MMOJA.

Kama umekasirika na kupanic baada ya mimi kukuita kenge basi huo ndio umuhimu wa kuishi kwa ustaarabu na makubaliano na ndio maana kuna sheria za nchi ambazo hutakiwi kuzivunja au utaadhibiwa.
Otherwise usinilaumu mimi kukuita kenge sababu naishi vile ninavyoona inafaa hata nikiwa kero na chukizo kwako.

Adios.
 
Wakuu

Kwa sasa hili jiji la Dar kila kona hali imeharibika, biashara ya ukahaba imekithiri kwelikweli mpaka kwenye maeneo ambayo hayakufikirika kama siku moja kunaweza kuwa na danguro

Madanguro yanaota kama uyoga kila siku na wenye mamlaka wamekaa kimya as if haya madanguro hayaonekani, hii ni kero kubwa kwa wakazi wa maeneo husika hasa katika makuzi na malezi ya watoto kwani madanguro hayo yanapatikana katika makazi ya watu

Kwa sasa kuna DANGURO kuuubwa limetengezwa maeneo ya Mbezi Mwisho, wananchi na wapangaji wa eneo lile walipewa notsi kuachia vyumba vyao kupisha biashara ya ukahaba

Kwa sasa danguro limekuwa kubwa mno, baa ya lubumbashi na Kwa GOD zimekuwa chachu ya ukahaba huu

Imagine lile eneo lote kati ya kwa god na lubumbashi, zile nyumba za kati zote ni madanguro
Eneo lile saa 1 jioni tu makahaba yamejaa wala hayaogopi kitu

Serkali na jeshi la polisi tunaomba danguro hili lisambaratishwe
Asante kwa taarifa mkuu ubarikiwe sana[emoji120]
Vipi bei zao zinaanzia ngapi?
Ngoja weekend hii nikija Dar kuleta mzigo wa majeneza ntakuja pande hizo kuhakikisha kama ni kweli
 
Lipia Tangazo.Halafu sijui mnashida gani na hawa wakina dada.Kuwao hamtaki,Kuwahalalishia biashara walipe kodi hamtaki.Sasa sijui mnataka nini.Anyway Nafikiri kwa GOD na Lubumbashi kutabamba zaidi
 
Back
Top Bottom