Danguro jipya laibuka Mbezi Mwisho, wapangaji wahamishwa kupisha biashara

Bunju hakuna danguro mkuu
 
Itabid niende kwanza nikaconfirm kwa macho ktk hilo eneo, ntarud na mrejesho [emoji39]
 
Safi sana
 
Ni sahihi. Na serikali ndo wanatakiwa kuhalalisha km nchi nyingine na itawasaidia kukusanya kodi.
Bila kufanya hivyo ndo wanajifanyia popote watoto wanaona mwisho wa siku wanaiga.
Serikali ihalalishe ili ichukiwe na wananchi wake?. Unadhani serikali haisomi alama za nyakati?[emoji3]
 
Mnataka Dar nzima tuishi kilokole siyo?

Impact yake ni mbaya mno. Rahabu bibi yake Yesu hakuwa Muisraeli na alikuwa kahaba maluuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…