Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,295
- 10,928
Hayo ni maneno ya kuwapooza team dictator na Ile gang. Ila matendo ndiyo kama hivi. Mpaka CC utaons mambo huko. Tusubiri matokeo. Nina imani kubwa na mama. Tumpe muda Mkuu.Kishasema yeye na dhalimu ni kitu kimoja hivyo tusitegemee lolote la maana na Kikwete alitamka hadharani kwamba ccm kuna mafisi.