Huyu anakijua sana chama.na chama kiko damuni toka zamani.kumbe ccm wanawajua walio wa kwaoDANIEL CHONGOLO APENDEKEZWA KUWA KATIBU MKUU CCM
Mwenyekiti wa CCM Taifa, Samia Suluhu Hassan amempendekeza Ndg. Daniel Chongolo kuwa Katibu Mkuu wa Chama hicho
Kwa sasa, Chongolo ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mkoani Dar.