Daniel Chongolo: Tume huru ya Uchaguzi haileti chakula

Daniel Chongolo: Tume huru ya Uchaguzi haileti chakula

Katibu mkuu wa CCM hataki Tume Huru ya Uchaguzi kwa sababu haileti chakula! Hivyo anataka kuendelea na tume iliyopo ili CCM iendelee kubaki madarakani kwa sababu anadai Tume Huru ya Uchaguzi ni ya wanasiasa kuwekwa madarakani...
Ujinga huu kuwa katika vyombo vya juu vya uongozi wa chama "kilichoteka" whitehouse, kinafikirisha sana hatima ya taifa. This man is an idiot sana. Nani alikuambia maisha ya watu yako pegged kwenye mkate?

This is foolishness. Kama hajui uhusiano wa siasa safi na ustawi wa maisha ya binadamu, anyamaze. We need more than his level of understanding.

Doomed brains zinajimilkisha uongozi , na kwa kutumia viwango vyake duni vya uelewa zinaweka barriers katika maendeleo ya watu.
 
Ujinga huu kuwa katika vyombo vya juu vya uongozi wa chama "kilichoteka" whitehouse, kinafikirisha sana hatima ya taifa. This man is an idiot sana. Nani alikuambia maisha ya watu yako pegged kwenye mkate?...
Viongozi wa CCM wanadhani nchi hii ni mali yao!
 
Katibu mkuu wa CCM hataki Tume Huru ya Uchaguzi kwa sababu haileti chakula! Hivyo anataka kuendelea na tume iliyopo ili CCM iendelee kubaki madarakani kwa sababu anadai Tume Huru ya Uchaguzi ni ya wanasiasa kuwekwa madarakani...
Mtu akiwa CCM sijui kwanini akili zinaisha
 
Hata mkoloni alileta chakula. Eti madai ya katiba ni ya wanasiasa sio ya wananchi! Hao wanasiasa ni foreigners! Nyerere alikuwa Nani, Bibi Titi, Kawawa, Thabiti Kombo, Mtemvu, Kambona, Sykes, Mkwawa, Kinjikitile, kutaja wachache. Kama unasubiri mabango ya unaowaita wananchi ndio utambue madai utakuwa umechelewa sana. Mwl Nyerere aliishauri CCM ikubali mageuzi wakati bado inapendwa kuliko kusubiri mashinikizo ambayo huwa yanaambatana na mambo mengine ambayo sio mazuri. Sikio la kufa halisikii dawa.
 
Katibu mkuu wa CCM hataki Tume Huru ya Uchaguzi kwa sababu haileti chakula! Hivyo anataka kuendelea na tume iliyopo ili CCM iendelee kubaki madarakani kwa sababu anadai Tume Huru ya Uchaguzi ni ya wanasiasa kuwekwa madarakani.

Kwa akili hizi za viongozi wa CCM bado tuna safari ndefu kupata viongozi watakaochaguliwa na wananchi.


View attachment 1889286
Hii ni sawa na kusema hataki uchaguzi. Maana ni sawa na kusema timu mbili za mpira ziwe na mchezo (kama vile Yanga na Simba) kisha timu mojawapo iseme haitaki mchezo u hezeshwe na refa asiyependelea upande wowote. VIOJA HIVI VINAPATIKANA TANZANIA TU.
 
Katibu mkuu wa CCM hataki Tume Huru ya Uchaguzi kwa sababu haileti chakula! Hivyo anataka kuendelea na tume iliyopo ili CCM iendelee kubaki madarakani kwa sababu anadai Tume Huru ya Uchaguzi ni ya wanasiasa kuwekwa madarakani.

Kwa akili hizi za viongozi wa CCM bado tuna safari ndefu kupata viongozi watakaochaguliwa na wananchi.


View attachment 1889286
A bogus CCM Sec. Gen. to have been there!
 
Katibu mkuu wa CCM hataki Tume Huru ya Uchaguzi kwa sababu haileti chakula! Hivyo anataka kuendelea na tume iliyopo ili CCM iendelee kubaki madarakani kwa sababu anadai Tume Huru ya Uchaguzi ni ya wanasiasa kuwekwa madarakani.

Kwa akili hizi za viongozi wa CCM bado tuna safari ndefu kupata viongozi watakaochaguliwa na wananchi.


View attachment 1889286
Chakula tena unamaana hii ya sasa ni macnia ya biriani ulaya lo000 kweli mnamambo bac sawa
 
Ishiii ivi kumbe tuna viongozi wajinga kupindukia.


Yaan Kwamba Tume huru ya Uchaguzi, haiwaletei wao CHAKULA.

Kwamba hii tume iliyopo, inawajaziaa wao na familia zao vyakula.
Tunataka Katiba Mpya, hata mambo ya kutokuletewa chakula yametoka wapi tena?Sisi Watanzania hatutegemei chakula toka CCM wala Tume huru ya Uchaguzi.Tuanadai Katiba Mpya ili tujiamulie namna ya kupata viongozi,kuweka misingi ya uongozi bora na siasa safi ambazo kupitia CCM havieleweki kwa miaka yote tangia tupate Uhuru.
Hiki chama kina watu wa ajabu sana.Nauliza,kwa akili za Chongolo na Shaka tume hii ya Uchaguzi inaleta chakula?Tume Huru ya Uchaguzi inawanyima usingizi,hii chakavu inawanufaishaje?Mbona mnaing'ang'ania?
 
Katibu mkuu wa CCM hataki Tume Huru ya Uchaguzi kwa sababu haileti chakula! Hivyo anataka kuendelea na tume iliyopo ili CCM iendelee kubaki madarakani kwa sababu anadai Tume Huru ya Uchaguzi ni ya wanasiasa kuwekwa madarakani.

Kwa akili hizi za viongozi wa CCM bado tuna safari ndefu kupata viongozi watakaochaguliwa na wananchi.


View attachment 1889286
Wakina Nyerere hawakugombea uhuru kwa sababu watanganyika walikuwa na njaa. Waligombea ili watanganyika wawe na uwezo wa kuchagua viongozi na sera wanazozitaka. Na walipingwa na wengi tuu katika adhma hiyo, hasa wale waliokuwa wanashiba katika mfumo uliokuwepo. Pamoja na hayo, TANU waliruhusiwa kuzunguka nchi nzima ili kujenga hoja yao ya uhuru wa watanganyika.
Watu wanadai Tume huru ili waweze kuchagua viongozi na sera wanazozitaka. Aidha, wanataka uwezo wa kumwajibisha yule ambae wataona hawaridhishi kiutendaji. Wawe na uwezo wa kukiondoa chama ambacho kinashindwa kuleta maendeleo au mageuzi wanayoahidi wakati wakiomba kibali chao kuwaongoza na kukipa chama nyingine nafasi hiyo.

Amandla...
 
Katibu mkuu wa CCM hataki Tume Huru ya Uchaguzi kwa sababu haileti chakula! Hivyo anataka kuendelea na tume iliyopo ili CCM iendelee kubaki madarakani kwa sababu anadai Tume Huru ya Uchaguzi ni ya wanasiasa kuwekwa madarakani.

Kwa akili hizi za viongozi wa CCM bado tuna safari ndefu kupata viongozi watakaochaguliwa na wananchi.


View attachment 1889286
Kweli mkuu. Hawa viongozi ni "laughing stock".
 
Katibu mkuu wa CCM hataki Tume Huru ya Uchaguzi kwa sababu haileti chakula! Hivyo anataka kuendelea na tume iliyopo ili CCM iendelee kubaki madarakani kwa sababu anadai Tume Huru ya Uchaguzi ni ya wanasiasa kuwekwa madarakani.

Kwa akili hizi za viongozi wa CCM bado tuna safari ndefu kupata viongozi watakaochaguliwa na wananchi.


View attachment 1889286
Tunataka katiba mpya!!!! Hili ni takwa la wananchi ndiyo maana walijitokeza kwa wingi kutoa maoni yao!!! Nyie wanasiasa vipi!!!! Huyu kesha anza kulewa madaraka!!! Amuulize Bashiru!!!!
 
Back
Top Bottom