Daniel Kijo: Nilikuwa nina rafiki yangu chuo alijenga Apartments kwa Boom la chuo!

Daniel Kijo: Nilikuwa nina rafiki yangu chuo alijenga Apartments kwa Boom la chuo!

Leak

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
52,916
Reaction score
43,505
IMG_0847.jpg


Mtangazaji maarufu hapa nchini Daniel kijo amesema kuwa boom la chuo likitumika vizuri linaweza leta mafanikio makubwa sana tena sana kwa wanafunzi tofauti na watu wanavyo fikiri!

Amesema yeye alipokuwa chuo alikuwa anatumia hela ya boom kula bata na kununua TV lakini kuna rafiki yake wakaribu ambaye yeye alikuwa ana jibana sana baada ya muda alikwenda kuwaonesha Apartments alizojenga kwa hela ya boom!

Angalizo!

Je wanachuo kwanini mlishindwa kujenga aprtments kama rafiki yake Daniel Kijo?

Ni kweli hela ya boom inaweza jenga apartments hata kijinini kabisa?
 
Ntawezaje kujenga wakati mimi mkopo hawajanipa kwa 100%??

Ada ni milioni 1,400,000 sasa wenyewe wanakulipia 400,500 nyingine utajijuaa huko so Boom likitoka nafaulishiaa sasa hapo utajengaje ?

Labda kwa wanaesoma afya huko
 
View attachment 2180867

Mtangazaji maarufu hapa nchini Daniel kijo amesema kuwa boom la chuo likitumika vizuri linaweza leta mafanikio makubwa sana tena sana kwa wanafunzi tofauti na watu wanavyo fikiri!

Amesema yeye alipokuwa chuo alikuwa anatumia hela ya boom kula bata na kununua TV lakini kuna rafiki yake wakaribu ambaye yeye alikuwa ana jibana sana baada ya muda alikwenda kuwaonesha Apartments alizojenga kwa hela ya boom!

Angalizo!

Je wanachuo kwanini mlishindwa kujenga aprtments kama rafiki yake Daniel Kijo?

Ni kweli hela ya boom inaweza jenga apartments hata kijinini kabisa?
Wakati nasoma boom lilikuwa 5000 kwa siku.

Hata wangekuwa wnahesabu kuwa tunasoma siku zote kwa mwaka wanatupa pesa ya siku 363 kwa miaka 3 nliokaa chuo ni 5,475,000. Labda awe alizifanyia biashara zikazaana ila kwa hiyo pesa hawezi jenga apartment.

Tuambiane ukweli jamani tuache kuwa ma inspiration speaker wanaotia chumvi
 
Wakati nasoma boom lilikuwa 5000 kwa siku. Hata wangekuwa wnahesabu kuwa tunasoma siku zote kwa mwaka wanatupa pesa ya siku 363 kwa miaka 3 nliokaa chuo ni 5,475,000. Labda awe alizifanyia biashara zikazaana ila kwa hiyo pesa hawezi jenga apartment.
Tuambiane ukweli jamani tuache kuwa ma inspiration speaker wanaotia chumvi
kwani tofali moja Tsh ngapi ?

Boom inajenga kabisa,nimesoma pia chuo wadada na wana wanatumia mi simu ya bei na kununua ma vitu ya ajabu ajabu tu kwa boom

so inawezekana kabisa kwa baadhi ya watu kujenga kwa pesa ya boom hasa wale wanaotoka familia za kipato cha kati.unakuta hategemei hilo boom kuishi
 
kwani tofali moja Tsh ngapi ? Boom inajenga kabisa,nimesoma pia chuo wadada na wana wanatumia mi simu ya bei na kununua ma vitu ya ajabu ajabu tu kwa boom
so inawezekana kabisa kwa baadhi ya watu kujenga kwa pesa ya boom hasa wale wanaotoka familia za kipato cha kati.unakuta hategemei hilo boom kuishi
Ukajenga apartment?

Labda kama unaongelea mbavu za mbwa lakini sio apartmemt ambayo inaisha na unamkaribisha mtu kabisa.


Nakwambia mimi miaka yote mitatu tungekuwa tunalipwa kwa siku zote 363 kwa mwaka kwa miaka miatatu ni 5,475,000. H
 
Ukajenga apartment? Labda kama unaongelea mbavu za mbwa lakini sio apartmemt ambayo inaisha na unamkaribisha mtu kabisa.
Nakwambia mimi miaka yote mitatu tungekuwa tunalipwa kwa siku zote 363 kwa mwaka kwa moaka miatatu no 5,475,000. H
Mkuu,kibongo bongo apartment haina kitu ndani,nimeelewa hoja yako na upo sahihi ila jamaa kazungumzia apartment za kibongo ambazo hakuna kitu ndani

Ni sawa na misemo ya full ac au full documents kwenye matangazo ya magari😂 sasa full documents huwa wanamaanisha nini ?

Ni misemo tu ya kitanzania
 
mkuu,kibongo bongo apartment haina kitu ndani,nimeelewa hoja yako na upo sahihi ila jamaa kazungumzia apartment za kibongo ambazo hakuna kitu ndani
ni sawa na misemo ya full ac au full documents kwenye matangazo ya magari😂 sasa full documents huwa wanamaanisha nini ? ni misemo tu ya kitanzania
Full ac ndo uwa najiuliza kwani kuna gari zama hizi hazina ac 🤣🤣
 
Mmmh...!!! Nyieee kwa Boom gan atoe mchanganuo kwanza na hiy apartment ya alitumia shs ngap kujenga

Maybe kama alikua ana 100% kwao walikua wakishua hapo fresh

Ila Kama boom Hilo Hilo ulipie ada, Kodi, uvae, ule, bad familia inaangalia hapo hapo huwez fanya chochote naomba nikazie huwezi fanya chochote
 
Mmmh...!!! Nyieee kwa Boom gan atoe mchanganuo kwanza na hiy apartment ya alitumia shs ngap kujenga maybe Kam alikua ana 100% kwao walikua wakishua hapo fresh Ila Kam boom Hilo Hilo ulipie ada, Kodi, uvae, ule, bad familia inaangalia hapo hapo huwez fanya chochote naomba nikazie huwezi fanya chochote
Yaani huyu Daniel Kijo muongo sana.

Sema sijamsikia siku nyingi labda ndo "came back" aliyochagua.
 
Back
Top Bottom