demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Kiungo mshambuliaji wa Simba, Dann Sserenkuma aliyesajiliwa kutoka Gor Mahia ya Kenya ameomba viongozi wa Simba kuvunja mkataba nae.
Dann bado hajarudi kutoka kwao, aliomba ruhusa kuwa ana matatizo ya kifamilia, alitakiwa awe amerudi toka wiki iliyopita lakini ametuma taarifa ya kutaka kuvunja mkataba.
Kanuni za simba zinaruhusu kufanyika mazungumzo ya uvunjaji mkataba, endapo Mchezaji hajaonyesha kiwango kizuri cha kusaidia timu.
Chanzo cha ndani kinaeleza baadhi ya sababu kuwa kichochezi kwa kuondoka kwa mchezaji huyo.
1. Kukaa Benchi muda mrefu bila kucheza.
2. Timu kutokuwa na muendelezo mzuri kwenye Ligi.
3. Pia Sserenkuma alieleza zaidi kuwa baadhi ya Viongozi wa Simba SC wanamlazimisha kutumia madawa ya ushirikina ( kwa mfano: ya kupata na kuogea) ili kuiwezesha simba ifanye vizuri katika mechi A ligi Kuu.
Danny Sserenkuma ameonekana akikerwa na imani ya Club ya simba katika masuala ya ushirikina.
Anasema kuna baadhi ya wachezaji wenzake wana mchawia kiwango chake ili waweze pata nafasi katika kikosi cha kwanza.
Dann bado hajarudi kutoka kwao, aliomba ruhusa kuwa ana matatizo ya kifamilia, alitakiwa awe amerudi toka wiki iliyopita lakini ametuma taarifa ya kutaka kuvunja mkataba.
Kanuni za simba zinaruhusu kufanyika mazungumzo ya uvunjaji mkataba, endapo Mchezaji hajaonyesha kiwango kizuri cha kusaidia timu.
Chanzo cha ndani kinaeleza baadhi ya sababu kuwa kichochezi kwa kuondoka kwa mchezaji huyo.
1. Kukaa Benchi muda mrefu bila kucheza.
2. Timu kutokuwa na muendelezo mzuri kwenye Ligi.
3. Pia Sserenkuma alieleza zaidi kuwa baadhi ya Viongozi wa Simba SC wanamlazimisha kutumia madawa ya ushirikina ( kwa mfano: ya kupata na kuogea) ili kuiwezesha simba ifanye vizuri katika mechi A ligi Kuu.
Danny Sserenkuma ameonekana akikerwa na imani ya Club ya simba katika masuala ya ushirikina.
Anasema kuna baadhi ya wachezaji wenzake wana mchawia kiwango chake ili waweze pata nafasi katika kikosi cha kwanza.