Danny De Vito na watoto wake

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Wakongwe mtakua mnamkumbuka Danny De Vito katika sinema mashuhuri alizocheza ilikuwa The Twins ambapo pacha wake alikuwa Arnold Schwarzenegger. Danny ni mtundu na mchekeshaji sana akiwa kwenye sinema.



Lucy, Grace na Jake ni watoto wa Danny De Vito mwenye tabasamu la kupendeza. Mana yao Hawa watoto ni Rhea Perlman ambae walishaachana na Danny.



Danny na binti yake mkubwa Lucy



Danny akiwana Lucy kwanye Emmy Awards
 
Hata kwenye movie ya Matilda huyu mzee alicheza....
 
Yule binti wa pili kutoka kulia kwenye picha iliyoko hapo juu anaonekana kuwa ana vichekesho kama vya baba yake
Mwangalie De Vito pia kwenye movie hii hapa chini utacheka mpaka utachoka. Alikuwa kwenye dili zito la ku-smuggle rare diamond. Utacheka mno.


 
Huyu jamaa ni zaidi ya kituko
Aliwahi kuhojiwa safari yake kwenda Hollywood ilikuwaje, alieleza. Baada ya kukosa credits za kuendelea na elimu ya juu, familia ilimuuliza anataka ajifunze ufundi gani? Akiwaambia anataka kuwa kinyozi.

Dada yake mkubwa ambae kwenye familia ndiye alikua anazo anazo, alimshauri ni kheri ajifunze kazi hiyo Hollywood ili awe anawanyoa mastaa. Dada alimtafutia connections na kulipa gharama.

Akiwa saloon mastaa walikwenda kunyoa, alikua anawachekesha mpaka wanatoa machozi. Wao ndiyo walimpigia chapuo apate mistari ya kuchekesha kwenye sinema.
 
Watu wafupi halafu wawe wanene huwa na vituko sana. Ila ukute wafupi wembamba wao wanajifanya ni watata sana.
 
Watu wafupi halafu wawe wanene huwa na vituko sana. Ila ukute wafupi wembamba wao wanajifanya ni watata sana.
Hapa Bongo mimi huwa nikimuona Kingwendu hata kama hajaongea chochote, huwa nakaribia kuzimia kwa kicheko. Yaani ule muonekano wake tu unanitosha kabisa hata kabla ya nyongeza ya kitu kingine chochote kile
 
Uko amerika/ulaya sijui kuna nini aisee
Kila wazo baadaye linageuka pesa kwa asilimia kubwa
Kibongo bongo mtu akishaambiwa awe kinyozi ndo ntolee iyo utasugua mapunye kwenye visogo vya watu mpaka πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Uko amerika/ulaya sijui kuna nini aisee
Kila wazo baadaye linageuka pesa kwa asilimia kubwa
Kibongo bongo mtu akishaambiwa awe kinyozi ndo ntolee iyo utasugua mapunye kwenye visogo vya watu mpaka [emoji3][emoji3][emoji3]

Speaking of mapunye na utango-tango.![emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…