Danny Lyanga ni nani?
1. Kazaliwa 28/07/1991 (miaka 24) jijini Arusha
2. Baada ya kucheza soka kwa kiwango cha juu kabisa mitaani, msimu wa 2010/2011 akiwa na miaka 19 tu, alitua timu ya Arusha FC na kuingia moja kwa moja 1st eleven, ambapo rekodi yake ya kutupia magoli ni ile ile kama ya Mavugo.. Mechi moja, Goli moja au zaidi.
3. Kutokana na kuonesha kiwango bora msimu uliofuata alitua Coastal Union, ambapo alicheza misimu miwili. Msimu wake wa mwisho alitupia goli 7, na goli la mwisho kufunga lilikua katika uwanja wa Mkwakwani dhidi ya timu yako (Azam FC) na gemu iliisha 1-1.. Na siku hiyo Yanga wakatangaza ubingwa wakiwa na mechi mbili mkononi.
4. Msimu uliofuata, alijiunga DC Motema Pembe.. na hii ni baada ya kuzipiga chini
Simba, Ndala na
Azam.
5. Msimu uliopita, mkataba wake umeisha.. Hivyo anatua Simba SC akiwa huru.
KARIBU SANA SIMBA SC.. Danny Lyanga.
Waione
Amavubi barafuyamoto na
Masuke