Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,258
Kama kuna watu wazuri wa kumbukumbu wautunze uzi huu akilini mwao lakini amini usiamni straika ambaye hatajwi sana Danny Lyanga ndiye tishio zaidi kwenye safu mpya ya ushambulizi katika usajili wa msimu huu
nimemuangalia kwa makini anahitaji vitu vichache sana kuweza kucheza kwa kiwango cha juu na kuwika hatimaye kuwa tegemeo si tu kwa simba bali hata timu ya Taifa.
My best wishes goes with him!
nimemuangalia kwa makini anahitaji vitu vichache sana kuweza kucheza kwa kiwango cha juu na kuwika hatimaye kuwa tegemeo si tu kwa simba bali hata timu ya Taifa.
My best wishes goes with him!

