Akifuata haya atashinda lasivo itakua fedheha baada ya fedhehaDanube nao waache roho mbaya kha! Maagizo toka dash dash kazi kweli kweli!
Hamisa fanya ya kujiendeleza enough with this drama utajutia mbele ya safari. Jenga maisha yako na watoto wako kikubwa omba sana kwa Mungu wako juu ya ulinzi wa watoto wako kemea laana ya kukataliwa. Shinda roho ya majivuno jijenge kiroho na kiuchumi utakuwa mtu wa kucheka sanaaaa mbeleni ukigeuka nyuma na kuangalia ulikotoka. Mungu hawezi kukuacha. Jenga heshima kwa watoto wako mengine ni mpango wa Mungu. Be Happy Life is too short!
Wanafikiria kwa Viungo vingine badala ya ubongoPelekeni watoto wenu shule ndugu zangu!
Sema nchi hii nayo tofauti ya msomi na asiye msomi ni ndogo mno!
Ila wapelekeni tu at least wataelimika!
Thats all??? Faida ya hayo??Huyu dada baada ya kufanya uchunguzi nmegundua...
She's a THREAT
watu wengi maarufu wanamchukia kwa sababu kwanza kazaa na diamond nafasi ambayo wengi wanaitaka
kingine hamisa hakopeshi kwenye evidence...
ukimchokoza anamwaga mambo hadharani ..
Mtu anatangaza biashara bure kabisa,aibu!Wanafikiria kwa Viungo vingine badala ya ubongo
ha ha ha imebidi nicheke swali la kichocheziThats all??? Faida ya hayo??
Nimechekaaa...saa nyingine tofauti unaweza uikose kabisaPelekeni watoto wenu shule ndugu zangu!
Sema nchi hii nayo tofauti ya msomi na asiye msomi ni ndogo mno!
Ila wapelekeni tu at least wataelimika!
Baada ya hii kadhia naamini Mungu atamletea faraja!! Maana anatia huruma jamani ni full mikosi loh!! Ila pia hao mtu na mkewe nao wajiangalie sana Mungu husimama na viumbe dhaifuDanube nao waache roho mbaya kha! Maagizo toka dash dash kazi kweli kweli!
Hamisa fanya ya kujiendeleza enough with this drama utajutia mbele ya safari. Jenga maisha yako na watoto wako kikubwa omba sana kwa Mungu wako juu ya ulinzi wa watoto wako kemea laana ya kukataliwa. Shinda roho ya majivuno jijenge kiroho na kiuchumi utakuwa mtu wa kucheka sanaaaa mbeleni ukigeuka nyuma na kuangalia ulikotoka. Mungu hawezi kukuacha. Jenga heshima kwa watoto wako mengine ni mpango wa Mungu. Be Happy Life is too short!
Ni ujinga kwa mfanyabiashara kufanya walofanya......Hii vita itakuwa na msukumo nyuma yake, sidhani kama kuna mfanyabiashara anayechukia promo ya bure...
Nani ni mchepuko???Ha ha haaaaa
Safi sana
Hiyo michepuko inafikiri kila kitu inaweza kuingilia.. nilijua hili litakuja.. akili sifuri kisa alifikiri utajiri unaambukizwa kupitia ngono.. eeeeh
Tarehe 30 Inawadia ni kesho kutwa.
Mnitag sitaki kupitwa na udaku wa star mpenda kupaoaswa bila kujionea aibu. Aliniuzi sana kumpamba misa siku aliongea Clouds.. ila misa akisubiri kesi imembidi aende Nairobi kupimbishwa na visichana virafiki vyake alivyokugana navyo Insta.. wanamtumia kama gari bovu kupata pesa huku yeye anatumia mwili wake.. jingwa kubwa.
Eso no es de mi incumbenciaThats all??? Faida ya hayo??
Unamponda mbongo mwenzio unafagilia mganda.. huu unaitwa uzwazwaMichepuko mingine ni takataka kweli!
Kwanza sina uhakika kama barua ni legit na kama ni legit basi Danube wapo sahii kwa 100%!!Ni ujinga kwa mfanyabiashara kufanya walofanya......
Wao kama watafuta fursa wangecheza na bifu la kijinga na zari na hamisa.......
Sema ndio biti la fulani limechangia....