Kama barua husika ni halali basi hakuna kilichokosewa kwa sababu ni mwanasheria wa Danube!! Hata wewe ukiwa na issue ya kisheria na Danube wala si kwamba uta-deal na wamiliki wa Danube moja kwa moja bali uta-deal na mwanasheria wao!Mbona imeandikwa na mwanasheria sio Danube au
So utaambatana naye mahakamani huyo mbongo mwenzio?Unamponda mbongo mwenzio unafagilia mganda.. huu unaitwa uzwazwa
Duh! Hii nchi ina changamoto nyingi sana! Wewe unapaswa kuhojiwa polisi juu ya ufahamu wako!Mbona imeandikwa na mwanasheria sio Danube au
Tatizo sio promo ya bure,pengine mkataba au makubaliano ya tangazo husika yameelekeza kwamba litatangazwa asilimia mia moja na muhusika na si vinginevyoSjawahi ona mwanamke mswahili kama hako kadada
Hii vita itakuwa na msukumo nyuma yake, sidhani kama kuna mfanyabiashara anayechukia promo ya bure...
Siku alipolipost wali like ujue...Tatizo sio promo ya bure,pengine mkataba au makubaliano ya tangazo husika yameelekeza kwamba litatangazwa asilimia mia moja na muhusika na si vinginevyo
Kama sio hivyo pia nahisi kuna vifungu vya makuabliano kati ya danube na zari/mondi vinavyomfunga celebrity mwingine kulitumia tangazo kwa personal issues
Hata hivyo lengo la hamissa halikua kutangaza bidhaa za danube bali lilikua kumchokonoa zari kwa hiyo ame misuse tangazo la watu kwa personal interest, na hata kama angekua na lengo la kuipa promo danube, ni lazima kuna hatua za kufuata ili kupata permission
I stand to be corrected
You said it all,kuna watu huku sijui huwa hawafikirii kwanza,sasa kweli mt anakulazimisha kumpenda huyo hamisa kisa mbongo wakati kichwani hamnazoSo utaambatana naye mahakamani huyo mbongo mwenzio?
BTW ukiniwekea Kenyatta na Magufuli kwenye chungu kimoja, nitachagua Kenyatta!
Yawezekana,lakini bado wapo sahihi katika uwanaj wa sheria,mtu hawezi kutumia jina la biashara yako tu kwa maslahi binafsi, na isitoshe hatimiliki ya hilo tangazo ni ya kwao, hamissa alitakiwa kutumia akili japo kidogoSiku alipolipost wali like ujue...
Ni kweli alitumia tangazo kwa personal interest, tena kumpigia vijembe ambassador wa Danube, angetozwa na faini kabisa , ha ha ha wakate ile elf 70Tatizo sio promo ya bure,pengine mkataba au makubaliano ya tangazo husika yameelekeza kwamba litatangazwa asilimia mia moja na muhusika na si vinginevyo
Kama sio hivyo pia nahisi kuna vifungu vya makuabliano kati ya danube na zari/mondi vinavyomfunga celebrity mwingine kulitumia tangazo kwa personal issues
Hata hivyo lengo la hamissa halikua kutangaza bidhaa za danube bali lilikua kumchokonoa zari kwa hiyo ame misuse tangazo la watu kwa personal interest, na hata kama angekua na lengo la kuipa promo danube, ni lazima kuna hatua za kufuata ili kupata permission
I stand to be corrected
Tatizo hamissa hajitambui jamani,she cant live her life,anataka mashindano na uswahili mwingi, ningekua mimi ningekaa kimya mpaka watu waanze kutafuta nipo wapi,she needs to move on atafute cha kufanya alee watoto, hawezi na hataweza kushindana na zari hata kama mondi angemuacha zari amuoe hamissa, bado hamisa hawezi kushindana na zariNi kweli alitumia tangazo kwa personal interest, tena kumpigia vijembe ambassador wa Danube, angetozwa na faini kabisa , ha ha ha wakate ile elf 70
Na walimshukuru kwa kupost.Siku alipolipost wali like ujue...
Umesema sawa,Lengo la huyu binti ilikuwa kumchokonoa Zari na hata kama gsm walilike mwanzoni walidhani amefanya in good faith kuwapromote.As a result baada ya Zari kuja kufungua duka la Danube Mliman city team zikaibuka kudai lilikuwa deal la Hamisa na Zari amempokonya.Kitu bacho kilifanya Danube waanze kutukanwa na watu kuanza kuhamasisha wateja waboycott bidhaa za Danube.Tatizo sio promo ya bure,pengine mkataba au makubaliano ya tangazo husika yameelekeza kwamba litatangazwa asilimia mia moja na muhusika na si vinginevyo
Kama sio hivyo pia nahisi kuna vifungu vya makuabliano kati ya danube na zari/mondi vinavyomfunga celebrity mwingine kulitumia tangazo kwa personal issues
Hata hivyo lengo la hamissa halikua kutangaza bidhaa za danube bali lilikua kumchokonoa zari kwa hiyo ame misuse tangazo la watu kwa personal interest, na hata kama angekua na lengo la kuipa promo danube, ni lazima kuna hatua za kufuata ili kupata permission
I stand to be corrected
Hivi unajua fani ya Lowassa ni sanaa na maigizo ?!Hivi unajuwa kwamba Lipumba ni Profesa?
Mashindano yenyewe yapi jameni labda kutumia filters, wakati anaburuzana na baby dady mahakamani for elf 70 mwenzie yupo mbali...Tatizo hamissa hajitambui jamani,she cant live her life,anataka mashindano na uswahili mwingi, ningekua mimi ningekaa kimya mpaka watu waanze kutafuta nipo wapi,she needs to move on atafute cha kufanya alee watoto, hawezi na hataweza kushindana na zari hata kama mondi angemuacha zari amuoe hamissa, bado hamisa hawezi kushindana na zari
Unavutana nae nini !?So utaambatana naye mahakamani huyo mbongo mwenzio?
BTW ukiniwekea Kenyatta na Magufuli kwenye chungu kimoja, nitachagua Kenyatta!
Bora Mungu akunyime urembo akupe akili.
Danube home wamuandikia hamisa mobetto barua afute video ya tangazo lao kabla hajachukuliwa hatua Kali za kisheria kutokana na dhumuni lake la kujipatia maslahi binafsi na kutaka kuichafua kampuni