Pre GE2025 Dar: Abdul Nondo atekwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Pre GE2025 Dar: Abdul Nondo atekwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mimi nafiri government ingetoa tamko kua km mazingira yanautata na kunawatu wanaweza zuia wafanye kinachowezekana,wananchi wanahofia kufanya maamuzi kwakua hawana backup ila km kuna utata wananchi wanaruhusiwa kuingilia kati,sehemu km stand ya mbezi wapo watu wengi wanaoweza zuia but wanahofia usalama wao pia
Endeleen kuhofia hivyo hivyo
 

Mwanasiasa Abdull Nondo wa Chama Cha ACT Wazalendo amechukuliwa asubuhi ya Leo na wati waliomvamia akiwa kituo Cha basi Mbezi.

Katika purukushani hiyo wahusika walidondosha pingu na sasa hatma yake haijulikani mpaka wakati huu

====

UPDATE

JamiiForums imewasiliana na Naibu Katibu wa Habari na Uenezi wa ACT Wazalendo Shangwe Ayo ambapo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, akieleza Nondo alikuwa ametokea Kigoma baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa kumalizika, ambapo wakati anashuka kwenye basi Stendi ya Magufuli watu wasiyojulikana watatu walimfuata kukawa na purukushani Nondo akijitahidi kujinasua lakini walifanikiwa kumchukua na kuangusha pingu walizokuwa wameenda nazo pamoja na begi alilokuwanalo Nondo

Matukio mengine ya utekaji kuwahi kufanyika nchini haya hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Shangwe ameeleza pia gari lililomteka Nondo ni Land Cruiser nyeupe yenye namba za usajili T 249 EMV. Taarifa za awali walizitoa kwa mashuhuda ambao walikuwa wanamfagamu Nondo, baada ya kufungua begi lake kulikuwa na note book ambayo nayo ilithibisha kumilikiwa na Abdul Nondo

Pia shuhuda aliyekuwa eneo la tukio amesema gari hilo lililokuja kumteka Abdul Nondo lilikuwa na watu 4, wawili wakiwa na bunduki na wawili wakiwa mikono mitupu, watu walipoenda kuangalia kuna nini na kujaribu kuhoji waliwanyooshea bastola na hivyo watu kubaki wanaangalia tukio hilo likitokea na Abdul Nondo akawa ametekwa! Katika purukushani hizo kwa maelezo ya shuhuda mbali na pingu na bengi la Nondo, ilianguka pia inadaiwa simu ya moja ya watekaji ambavyo vyote vilikabidhiwa kwa Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Magufuli.
Kwahiyo mtu anatekwa stendi na nyie mnaangakia tu? Hivi hata kama wana bastola mkamrukia huyo mmoja mwenye bastola si wengine watakimbia, au?
 
Hivi utaratibu wa kumkamata mtuhumiwa si uko wazi Kwa mujibu wa Sheria?

Huyo Nondo ni Katibu wa Chama, ina maana ana address yake kwamba anaishi wapi

Mnafika Kwa mjumbe wa nyumba 10 kwenye Mtaa anaoishi kisha mnaenda kumchukua.

Hiyo kumvizia stendi na kumkamata kama jambazi inazua taharuki kwamba huenda ni Wasiojulikana

Hebu Viongozi wa hayo makundi sijui ni Usalama ama Polisi Idara ya Usalama, warudie kusoma miongozo ya kazi zao.

Najua mnatekeleza majukumu yenu, lakini fuateni Sheria na taratibu za kazi zenu
Bahati mbaya sana wanatekeleza maagizo kutoka juu na sio kwa mujibu wa sheria.

Inasikitisha sana nchi imekuwa ya namna hii, wenye madaraka wanayatumia kwa namna isiyo sawa.
 

Mwanasiasa Abdull Nondo wa Chama Cha ACT Wazalendo amechukuliwa asubuhi ya Leo na wati waliomvamia akiwa kituo Cha basi Mbezi.

Katika purukushani hiyo wahusika walidondosha pingu na sasa hatma yake haijulikani mpaka wakati huu

====

UPDATE

JamiiForums imewasiliana na Naibu Katibu wa Habari na Uenezi wa ACT Wazalendo Shangwe Ayo ambapo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, akieleza Nondo alikuwa ametokea Kigoma baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa kumalizika, ambapo wakati anashuka kwenye basi Stendi ya Magufuli watu wasiyojulikana watatu walimfuata kukawa na purukushani Nondo akijitahidi kujinasua lakini walifanikiwa kumchukua na kuangusha pingu walizokuwa wameenda nazo pamoja na begi alilokuwanalo Nondo

Matukio mengine ya utekaji kuwahi kufanyika nchini haya hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana

Shangwe ameeleza pia gari lililomteka Nondo ni Land Cruiser nyeupe yenye namba za usajili T 249 EMV. Taarifa za awali walizitoa kwa mashuhuda ambao walikuwa wanamfagamu Nondo, baada ya kufungua begi lake kulikuwa na note book ambayo nayo ilithibisha kumilikiwa na Abdul Nondo

Pia shuhuda aliyekuwa eneo la tukio amesema gari hilo lililokuja kumteka Abdul Nondo lilikuwa na watu 4, wawili wakiwa na bunduki na wawili wakiwa mikono mitupu, watu walipoenda kuangalia kuna nini na kujaribu kuhoji waliwanyooshea bastola na hivyo watu kubaki wanaangalia tukio hilo likitokea na Abdul Nondo akawa ametekwa! Katika purukushani hizo kwa maelezo ya shuhuda mbali na pingu na bengi la Nondo, ilianguka pia inadaiwa simu ya moja ya watekaji ambavyo vyote vilikabidhiwa kwa Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Magufuli.
Hizi ni Drama tu hamna lolote hapo. Abdul Nondo naye ni wa kutekwa? Acheni Drama.
 
Ccm wakiwa kazini wakishirikiana na policcm.
 
duh, utakuwa ni martyr wewe labda, what if they shot you dead? unajitolea kuingilia ugomvi usiokuhusu tena against “wasiojulikana” na haujui hata wanataka nini? yaani uko tayari kufa au kuumizwa kwa ajili ya mtu hata usiyemjua? labda huyo uliyejitolea kumtetea alikuwa criminal aliyekuwa anatafutwa mda mrefu, who knows?
Natamani angekuwa Mama yako ndo uje useme unachotaka

Nyinyi ndo unakuta vitoto vya chekechea vinataka kuvuka barabara unavipita tu bila kuvipa Msaada wa Kuvuka....ukiuguwa na kupasuliwa tumbo huyo Doctor ulimpaga kuwa ndugu yako...
 
IMG-20241201-WA0068.jpg
 
Humu coment nyingi ni za kulaumu, niwaambie kwenye Historia ya Dunia hainyoeshi kokote kule ambako mabadiliko yalitokea kupitia kulalamika.

Keybord woriour tuendelee kulaumu kama ilivyo jadi yetu.

Na pia niwatikie kulaumu kwema
Wewe pia umelaumu
 
Utakuta baada ya siku 2 abaokotwa ameharibika vibayaaaa.

Eee Mungu shusha mapigo yako kwa watesi hawa na wanaoagiza
 
Mimi namchukia sana jiwe.
1. Alimpiga Lisu risasi hadharani.
2. Ndiye mwanzilishi wa haya yote yanayoendelea ktk chaguzi.
3. Ndiye mwanzilishi wa vikundi vya kihalifu.
4. Ndiye mwanzilishi wa uporaji, mauaji na utekaji wa raia wake.
Yule ndo aliyeaminisha kwamba inawezekana kufanya umafia wowote ule na kila Rais wa ccm lazima atatumia playbook ya magufuli
Jamaa alikua shetani
 
Back
Top Bottom