DAR: Adaiwa kumuua mlinzi wake Pugu, baba yake naye auliwa

DAR: Adaiwa kumuua mlinzi wake Pugu, baba yake naye auliwa

Huko Pugu, Dar es Salaam, kuna tajiri na mganga wa kienyeji, inasemekana amemuua mlinzi wake kwa tuhuma za wizi. Na tajiri huo na mganga wa kienyeji ,ametokomea kusikojulikana. Na wananchi wenye hasira, wamemuua kwa kumpiga mawe, baba wa muuaji huyo.

=======================

Mkazi mmoja wa Pugu Kigogo Freshi, jijini Dar Es Salam anayejulikana kwa jina la Taza Nonywa anasakwa na polisi kwa tuhuma za kumuua kwa kumtenganisha kichwa na kiwiliwili mlinzi wake wa nyumbani ambaye pia alikuwa akilinda eneo la biashara.

Kufuatia tukio hilo, wananchi wa eneo hilo wamelipa kisasi kwa kumshambulia na kumuua baba wa mtuhumiwa alipojaribu kukabiliana nao kumtetea mwanae, kisha waliharibu mali na nyumba ya mtuhumiwa. Chanzo cha shambulio hilo bado hakijakulikana.

Chanzo: AzamTv

View attachment 2971045
Safi sana,hao wananchi mashujaa
 
Sasa baba wa muuaji anakosa Gani?
Kosa lake hapo ni kutumia hisia kufanya maamuzi badala ya kutumia akili. Hapo kweli alikuwa anataka kumtetea kijana ake angemwambia atokomee na yeye apotee eneo la tukio. Maana uwezi bishana na wananchi wenye asila kali wengne ni wagonjwa wa akili.

Japo kujichukulia hatua mkononi sio jambo jema
 
Huko Pugu, Dar es Salaam, kuna tajiri na mganga wa kienyeji, inasemekana amemuua mlinzi wake kwa tuhuma za wizi. Na tajiri huo na mganga wa kienyeji ,ametokomea kusikojulikana. Na wananchi wenye hasira, wamemuua kwa kumpiga mawe, baba wa muuaji huyo.

=======================

Mkazi mmoja wa Pugu Kigogo Freshi, jijini Dar Es Salam anayejulikana kwa jina la Taza Nonywa anasakwa na polisi kwa tuhuma za kumuua kwa kumtenganisha kichwa na kiwiliwili mlinzi wake wa nyumbani ambaye pia alikuwa akilinda eneo la biashara.

Kufuatia tukio hilo, wananchi wa eneo hilo wamelipa kisasi kwa kumshambulia na kumuua baba wa mtuhumiwa alipojaribu kukabiliana nao kumtetea mwanae, kisha waliharibu mali na nyumba ya mtuhumiwa. Chanzo cha shambulio hilo bado hakijakulikana.

Chanzo: AzamTv

View attachment 2971045
Tupeni ufafanuzi,huyu tunasikia ni tajiri na mganga wa kienyeji.
 
Kosa lake hapo ni kutumia hisia kufanya maamuzi badala ya kutumia akili. Hapo kweli alikuwa anataka kumtetea kijana ake angemwambia atokomee na yeye apotee eneo la tukio. Maana uwezi bishana na wananchi wenye asila kali wengne ni wagonjwa wa akili.

Japo kujichukulia hatua mkononi sio jambo jema
Hawa wananchi wanaoitwa wenye hasira wananifikirishaga sana,wananifanya niamini tunaishi na mashetani au roho za kishetani zenye kiu ya damu .Unakuta mtu hata hajui nn kinaendelea ila akiona mtu anapigwa nae anaambukizwa hasira anaendeleza kupiga.Watu wanapiga mtu mpaka anamwaga dam lakini wanaendelea mpaka anatoka uhai kwa ishu isiyokuhusu hata kidogo,kitu ambacho ungepiga simu police tu,waafrica bado tunaishi porini kwa kweli.
 
Huko Pugu, Dar es Salaam, kuna tajiri na mganga wa kienyeji, inasemekana amemuua mlinzi wake kwa tuhuma za wizi. Na tajiri huo na mganga wa kienyeji ,ametokomea kusikojulikana. Na wananchi wenye hasira, wamemuua kwa kumpiga mawe, baba wa muuaji huyo.

=======================

Mkazi mmoja wa Pugu Kigogo Freshi, jijini Dar Es Salam anayejulikana kwa jina la Taza Nonywa anasakwa na polisi kwa tuhuma za kumuua kwa kumtenganisha kichwa na kiwiliwili mlinzi wake wa nyumbani ambaye pia alikuwa akilinda eneo la biashara.

Kufuatia tukio hilo, wananchi wa eneo hilo wamelipa kisasi kwa kumshambulia na kumuua baba wa mtuhumiwa alipojaribu kukabiliana nao kumtetea mwanae, kisha waliharibu mali na nyumba ya mtuhumiwa. Chanzo cha shambulio hilo bado hakijakulikana.

Chanzo: AzamTv

View attachment 2971045
"You Gonna reap just what you saw"

Luckdube 1994

Kila mtu asikilize hii nyimbo. Inaishi
 
Back
Top Bottom