Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
Taaz Genius ni noma saaana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana,hao wananchi mashujaaHuko Pugu, Dar es Salaam, kuna tajiri na mganga wa kienyeji, inasemekana amemuua mlinzi wake kwa tuhuma za wizi. Na tajiri huo na mganga wa kienyeji ,ametokomea kusikojulikana. Na wananchi wenye hasira, wamemuua kwa kumpiga mawe, baba wa muuaji huyo.
=======================
Mkazi mmoja wa Pugu Kigogo Freshi, jijini Dar Es Salam anayejulikana kwa jina la Taza Nonywa anasakwa na polisi kwa tuhuma za kumuua kwa kumtenganisha kichwa na kiwiliwili mlinzi wake wa nyumbani ambaye pia alikuwa akilinda eneo la biashara.
Kufuatia tukio hilo, wananchi wa eneo hilo wamelipa kisasi kwa kumshambulia na kumuua baba wa mtuhumiwa alipojaribu kukabiliana nao kumtetea mwanae, kisha waliharibu mali na nyumba ya mtuhumiwa. Chanzo cha shambulio hilo bado hakijakulikana.
Chanzo: AzamTv
View attachment 2971045
Soma tena,alikuwa anazuia wananchi wasimuue huyo aliyemchinja mlinziSasa baba wa muuaji anakosa Gani?
Huyo mzee kuuliwa sawasawaNilifatilia kwenye youtube baba mtu alikuwa anashirikiana na mtoto na pia hiyo siku alimkingia kifua yani kumtetea
Kosa lake hapo ni kutumia hisia kufanya maamuzi badala ya kutumia akili. Hapo kweli alikuwa anataka kumtetea kijana ake angemwambia atokomee na yeye apotee eneo la tukio. Maana uwezi bishana na wananchi wenye asila kali wengne ni wagonjwa wa akili.Sasa baba wa muuaji anakosa Gani?
Noma kivipi,?Hebu fafanuaTaaz Genius ni noma saaana
Tupeni ufafanuzi,huyu tunasikia ni tajiri na mganga wa kienyeji.Huko Pugu, Dar es Salaam, kuna tajiri na mganga wa kienyeji, inasemekana amemuua mlinzi wake kwa tuhuma za wizi. Na tajiri huo na mganga wa kienyeji ,ametokomea kusikojulikana. Na wananchi wenye hasira, wamemuua kwa kumpiga mawe, baba wa muuaji huyo.
=======================
Mkazi mmoja wa Pugu Kigogo Freshi, jijini Dar Es Salam anayejulikana kwa jina la Taza Nonywa anasakwa na polisi kwa tuhuma za kumuua kwa kumtenganisha kichwa na kiwiliwili mlinzi wake wa nyumbani ambaye pia alikuwa akilinda eneo la biashara.
Kufuatia tukio hilo, wananchi wa eneo hilo wamelipa kisasi kwa kumshambulia na kumuua baba wa mtuhumiwa alipojaribu kukabiliana nao kumtetea mwanae, kisha waliharibu mali na nyumba ya mtuhumiwa. Chanzo cha shambulio hilo bado hakijakulikana.
Chanzo: AzamTv
View attachment 2971045
Hata mi sikuelewa hiki kisaTupeni ufafanuzi,huyu tunasikia ni tajiri na mganga wa kienyeji.
Hawa wananchi wanaoitwa wenye hasira wananifikirishaga sana,wananifanya niamini tunaishi na mashetani au roho za kishetani zenye kiu ya damu .Unakuta mtu hata hajui nn kinaendelea ila akiona mtu anapigwa nae anaambukizwa hasira anaendeleza kupiga.Watu wanapiga mtu mpaka anamwaga dam lakini wanaendelea mpaka anatoka uhai kwa ishu isiyokuhusu hata kidogo,kitu ambacho ungepiga simu police tu,waafrica bado tunaishi porini kwa kweli.Kosa lake hapo ni kutumia hisia kufanya maamuzi badala ya kutumia akili. Hapo kweli alikuwa anataka kumtetea kijana ake angemwambia atokomee na yeye apotee eneo la tukio. Maana uwezi bishana na wananchi wenye asila kali wengne ni wagonjwa wa akili.
Japo kujichukulia hatua mkononi sio jambo jema
SadRaia wana hasira
Alafu tajiri hutaki kulipa mtu mshahara wake hawa mamilionea wa mtandaoni fks sana
Ova
"You Gonna reap just what you saw"Huko Pugu, Dar es Salaam, kuna tajiri na mganga wa kienyeji, inasemekana amemuua mlinzi wake kwa tuhuma za wizi. Na tajiri huo na mganga wa kienyeji ,ametokomea kusikojulikana. Na wananchi wenye hasira, wamemuua kwa kumpiga mawe, baba wa muuaji huyo.
=======================
Mkazi mmoja wa Pugu Kigogo Freshi, jijini Dar Es Salam anayejulikana kwa jina la Taza Nonywa anasakwa na polisi kwa tuhuma za kumuua kwa kumtenganisha kichwa na kiwiliwili mlinzi wake wa nyumbani ambaye pia alikuwa akilinda eneo la biashara.
Kufuatia tukio hilo, wananchi wa eneo hilo wamelipa kisasi kwa kumshambulia na kumuua baba wa mtuhumiwa alipojaribu kukabiliana nao kumtetea mwanae, kisha waliharibu mali na nyumba ya mtuhumiwa. Chanzo cha shambulio hilo bado hakijakulikana.
Chanzo: AzamTv
View attachment 2971045
KweliHuyu mganga noma. Katoa kafara ya mlinzi wake na baba yake mzazi ili ajiongezee nguvu katika fani yake.
Umeambiwa alikuwa anamtetea muuaji.Daa sasa ukute huyo baba hajui chochote kinachoendelea! Bora wangemtafuta mhusika tu kuliko kutoa hasira kwa asiyehusika.
MhhhUmeambiwa alikuwa anamtetea muuaji.
Anaitwa naniNdo huyo kijana nasikia mashuhuri tiktok
Anaitwa Masandawane Carasco PutinAnaitwa nani
Kumbe ndio huyu jamaa!?Taaz Genius ni noma saaana