DAR: Adaiwa kumuua mlinzi wake Pugu, baba yake naye auliwa

DAR: Adaiwa kumuua mlinzi wake Pugu, baba yake naye auliwa

HAO WANANCHI NI MASHUJAA,
MAAMUZI SAHIHI WAKATI SAHIHI.

TAJIRI ALIJICHUKULIA SHERIA MKONONI.
MASHUJAA WAKAJICHUKULIA SHERIA MKONONI.

SASA MGANGA KAZI UNAYO YA KUFUFUA BABAKO, KUWAFUNGA MDOMO MASHUJAA
 
HAO WANANCHI NI MASHUJAA,
MAAMUZI SAHIHI WAKATI SAHIHI.

TAJIRI ALIJICHUKULIA SHERIA MKONONI.
MASHUJAA WAKAJICHUKULIA SHERIA MKONONI.

SASA MGANGA KAZI UNAYO YA KUFUFUA BABAKO, KUWAFUNGA MDOMO MASHUJAA
Atamfufua vipi?Angemfufua aliyemuua kwanza.
 
kafala la mlinzi limekataliwa,kafala limeondoka na damu ya mshua.
 
Haya bwana Tanywa Nonya sijui uliibiwa kiasi gani au mali ya thamani gani... Ila huku kwetu Tanzaumia mali za umma zinapigwa mabilioni kwa matrilioni sisi Akina Omari Nyamkeke na John Lushiko hatujawahi hata kupiga mtu Kofi...

"Tanya Nonywa" dah kulimeza hili Jina mpaka u summerize ukalipigie msuli prepo tena usiku usio na kelele. Tata mwita
 
Kuna watu wenye roho ya kishetani, unauwa mtu kama inzi! Damu ya huyo mtu imtafute mahali popote alipo.
 





















Raia wana hasira

Alafu tajiri hutaki kulipa mtu mshahara wake hawa mamilionea wa mtandaoni fks sana

Ova
Nimeifatilia hiki kisa kwa muda sasa, yalipo nyuma ni mengi nahisi serikali yatakiwa kufanya uchunguzi.

Kulikuwa na beef kati ya huyo jamaa na Manyau nyau,ndo wakachezeana michezo. Huyo Manyau nyau anaonekana kuhusu kwa asilimia nyingi sanaaaa,kama ifuatavyo.

1. Hao mashuhuda, na waandishi wa habari wa hizi online media walikuwa wakiongea ktk gari ya Dr manyau wakijisahau kuwa bado wapo Live ktk tiktok na Media zingine. Sauti za nyuma ziki sadifu kuwa mchezo mzima Manyau nyau anaujua.

2. Kupangwa kwa mashuhudua na kujigamba kuwa nimemnyoosha adui yangu. Kuna watu walipangwa kama mwanamke mmoja akihojiwa na hao waandish wa habari za online, alikuw ni demu wa huyo manyau nyau. ( the guy hayuko smart anaacha trace nyingi za uovu wake.

3. Vitisho kwa wale watu wote wanaojaribu ku cover hii story. Kuna jamaa anajiita Dr. William Ni Dr , alikuwa anafany ku expose uganga feki wa manyau nyau, so akanza kuifatiilia na hii ishu pia.

4. Manyau akisikika mara nyingi kukiri utapeli na unasibu na wale waliokuw wanasem wamuua dingi wa yule mshkaj,btw mkataba wa kulipwa huyo mlinzi ulikuja kuletwa proving hiyo kitu ni uongo.







 
Back
Top Bottom