Dar: Ajaribu kuwakimbia polisi lakini aishia kukamatwa

Dar: Ajaribu kuwakimbia polisi lakini aishia kukamatwa

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733

Hii imetokea mtaa wa Lumumba, haifahamiki kulikuwa na nini?

Jamaa walikuwa wamekunjana kama ugomvi katikati ya kundi la watu.

Hamadiii, difenda ya polisi yawasili na askari kuanza kupiga risasi hewani.

Jamaa mmoja (mwanaume wa dar ) anakamatwa na kuanza kula makofi kisha anapakiwa kwenye gari la polisi.

Basi akaruka upande wa pili na kuanza kukimbia, kutokana na maaskari kushika bunduki wakashindwa kumkimbiza.

Basi akatokea askari mmoja nyuma kabisa tena akiww amevaa uniform (kachomekea) akamkimbiza jamaa na kumdaka kirahisi.

Najua huko alipo huyo jamaa kwasasa atataja mpaka jina la utotoni la mzee mpili.🤣🤣.

My take:
Wanaume wa Dar, fanyeni mazoezi acheni kufakamia chips.
 
E518EA5E-E18A-4650-8710-E33EE7DC1736.jpeg

BC980CA6-FC50-48F1-B346-04E611D990CB.jpeg

8C1CBDE3-55E2-4B15-AA5E-CFB92B6CCD10.jpeg

C0F3327A-9611-4BB4-997D-72AFDBF89695.jpeg

0FBDBB4C-09E1-446B-B2E7-1DEC62B4F8A6.jpeg

Picha za tukio. Video ipo twitter kwa Martin Masanja Masese au Maulid Kitenge
 
Ila siku hizi hamna kabisa wanaume Tanzania tumebakia wachache sana. Wakurya licha ya ubabe wao wakiwa mara wakija Dar wanauza mayai. Siyo dhambi kwa mwanaume kuuza mayai ama kukaanga chipsi bali hizo siyo kazi za wanaume.
 
Sasa huyu mvuta bangi nae ni habari hii
 
Hii imetokea mtaa wa Lumumba, haifahamiki kulikuwa na nini?

Jamaa walikuwa wamekunjana kama ugomvi katikati ya kundi la watu.

Hamadiii, difenda ya polisi yawasili na askari kuanza kupiga risasi hewani.

Jamaa mmoja (mwanaume wa dar ) anakamatwa na kuanza kula makofi kisha anapakiwa kwenye gari la polisi.

Basi akaruka upande wa pili na kuanza kukimbia, kutokana na maaskari kushika bunduki wakashindwa kumkimbiza.

Basi akatokea askari mmoja nyuma kabisa tena akiww amevaa uniform (kachomekea) akamkimbiza jamaa na kumdaka kirahisi.

Najua huko alipo huyo jamaa kwasasa atataja mpaka jina la utotoni la mzee mpili.🤣🤣.

My take:
Wanaume wa Dar, fanyeni mazoezi acheni kufakamia chips.
Hawa siku hizi wanaitwa wanaume jina au vigarasa kutokana na kutokamilika kwao
 
Hii imetokea mtaa wa Lumumba, haifahamiki kulikuwa na nini?

Jamaa walikuwa wamekunjana kama ugomvi katikati ya kundi la watu.

Hamadiii, difenda ya polisi yawasili na askari kuanza kupiga risasi hewani.

Jamaa mmoja (mwanaume wa dar ) anakamatwa na kuanza kula makofi kisha anapakiwa kwenye gari la polisi.

Basi akaruka upande wa pili na kuanza kukimbia, kutokana na maaskari kushika bunduki wakashindwa kumkimbiza.

Basi akatokea askari mmoja nyuma kabisa tena akiww amevaa uniform (kachomekea) akamkimbiza jamaa na kumdaka kirahisi.

Najua huko alipo huyo jamaa kwasasa atataja mpaka jina la utotoni la mzee mpili.🤣🤣.

My take:
Wanaume wa Dar, fanyeni mazoezi acheni kufakamia chips.

We mwanaume wa wapi umeshuhudia yote haya ukiwa tandahimba? Ukishapita Kibaha wewe ni mwanaume wa dar
 
Ila siku hizi hamna kabisa wanaume Tanzania tumebakia wachache sana. Wakurya licha ya ubabe wao wakiwa mara wakija Dar wanauza mayai. Siyo dhambi kwa mwanaume kuuza mayai ama kukaanga chipsi bali hizo siyo kazi za wanaume.

ni sawa ubabe wa wamasai wanauwa simba kwa mkono, wakija dar wanawasuka nywele wakina mama
 
Ila siku hizi hamna kabisa wanaume Tanzania tumebakia wachache sana. Wakurya licha ya ubabe wao wakiwa mara wakija Dar wanauza mayai. Siyo dhambi kwa mwanaume kuuza mayai ama kukaanga chipsi bali hizo siyo kazi za wanaume.
Hivi mwanamke anaweza beba mayai tray kumi kwenye baiskeli, kwanini kuuza mayai sio kazi ya mwanaume, kazi za mwanaume ni zipi? Acha dharau mura.
 
ila kitendo cha kupakiwa kwnye difenda na mwamba kushukia upande wa pili mbele ya askari wenye silaha ni ujasiri.

[emoji23][emoji23] kama una kitambi na hufanyi mazoezi lazima udakwe


ndo mana nawashauri watu kuwa walau kufanya mazoezi mara 2 kwa wiki
 
Police hawaruhusiwi kupiga raia, naona middle class wanaona ni sawa kitendo cha raia kupigwa na police, na elewa suspect anapokimbia kutoka kwenye crime scene sio tishio, ni wajibu wa police kumkamata kwa njia nyingine sio kumpiga risasi
 
Back
Top Bottom