DAR: Akram Aziz akamatwa, afikishwa Mahakama ya Kisutu. Ana makosa 75!

DAR: Akram Aziz akamatwa, afikishwa Mahakama ya Kisutu. Ana makosa 75!

Watanzania Tumenyimwa elimu ya vitu vingi sana. Na ndio maana tumekuwa wapayukaji tu na washangiliaji kwa kila kinachotokea bila kujua uhalisia wake. Hiyo elimu inayohusu uwimdaji hatujui kitu. Tumekuwa wasemaji wa tusiyoyajua. Ni vyema ukipata jambo jipya kujifunza kwanza kabla ya kuropoka. Tuliropoka sana hapa pale Manji alipokamatwa kwa kutuhumiwa kukutwa na Nguo za jeshi kontena zima na mihuri. Bila kujiuliza hivi inawezekana vipi raia amiliki mihuri ya jeshi na kontena la Sare za jeshi? Ila kwa kuwa hatujiongezi na kutafakari kinakotokana na kunyimwa elimu tukatoa hukumu dhidi yake inayotokana na chuki leo hii Manji anaendelea kula bata sisi tunaendelea kusota.

Ni kweli usemayo.
 
Watanzania Tumenyimwa elimu ya vitu vingi sana. Na ndio maana tumekuwa wapayukaji tu na washangiliaji kwa kila kinachotokea bila kujua uhalisia wake. Hiyo elimu inayohusu uwimdaji hatujui kitu. Tumekuwa wasemaji wa tusiyoyajua. Ni vyema ukipata jambo jipya kujifunza kwanza kabla ya kuropoka. Tuliropoka sana hapa pale Manji alipokamatwa kwa kutuhumiwa kukutwa na Nguo za jeshi kontena zima na mihuri. Bila kujiuliza hivi inawezekana vipi raia amiliki mihuri ya jeshi na kontena la Sare za jeshi? Ila kwa kuwa hatujiongezi na kutafakari kinakotokana na kunyimwa elimu tukatoa hukumu dhidi yake inayotokana na chuki leo hii Manji anaendelea kula bata sisi tunaendelea kusota.
Magazeti ya UK enzi za Kikwete, yaliwahi wataja Kinana,Mr Elephant na Rostam kuhusika na ujangili. Hakuna kinachoshangaza kumuona mdogo wake Rostam kwenye list ya watuhumiwa wa Ujangili.
Vitalu vya uwindaji hutolewa na vina limitation zake, Kibaya zaidi ndivyo vimekuwa vikitumika vibaya kufanya magendo ya pembe za ndovu na biashara ya kusafirisha wanyama.
Zitto kabwe aliwahi ongelea hili kwa undani Bungeni
 
Ni kweli siwapendi, walituibia vya kutosha Tanzania na adhabu pekee walipata ni kuachia Ubunge na kujivua nyadhifa zao kwenye chama chake.
Mtaani huku vijana wanaiba kuku na chakula tunawapiga mawe hadi kufa.[/

Mkuu hivi unahisi upo sahihi?
Kama kweli wapo smart wafanye kweli,wa deal na wezi wote mafisadi wote ambao sina shaka pale LUMUMBA hatabaki mtu,labda vidagaa tu.mpka jiwe
 
Kaka hata kile alichokifanya Amber Rutty, wanafanya watu wengi sana.
Kosa kubwa alilofanya yeye ni kuonekana anafanya na kukamatwa, na hilo hilo ndo litamfunga kwa miaka 30.
Lumumba palijaa wezi, na kwa kiasi kikubwa wengi wameondolewa pale awamu hii.
 
Watanzania tuamke!!! Mazingira haya yametengenezwa tu, kama taarifa ya mwanzo ilivyosema kua "askari wamemkamata akiwa na vibali sahihi, ila wakaamua kuondoka navyo vibali vyote original na kukataa kuacha copy ofisini kwake". Hapa kama kawaida, serekali inatuhamisha toka maswala fulani kutupeleka kwengine. Tumeshafanywa kama watoto wa chekechea sasa!!!

Watanzania lini tutapata akili jamani ya kuchanganua mambo na ukweli????? Tulishuhudia YUSUF MANJI alikamatwa na akafikishwa mahakamani kwa kukutwa na NYARA ZA SEREKALI, MIHURI YA JESHI, VITAMBAA VYA SARE ZA JESHI. Case iliishia wapi?????? Nani anaehoji mpaka sasa kuhusu hio tuhuma zake au case alizoshitakiwa nazo?????? Kama kweli angeachiwa huru????

Inasikitisha sana kuona mtu akitetea uonevu unaofanywa na askari kwa raia, na uongo tunaopewa raia na serekali yetu, kama huu na iliopita.

Na inasikitisha zaidi kuona wafanya biashara wakubwa wakionewa mpaka kufikia hatua wanafunga biashara zao na watanzania wenzetu kibao wanakosa ajira.
Hii nguvu uliyotumia ungetumia kuwatetea mafukara wanaoiba kuku ili waondoe njaa mwishowe wanapigwa mvua za maisha kweli tungefika mbali.
 
Wewe kama unaamini Magufuri ni Rais atakayeleta maendeleo kwa 'wananchi' basi endelea kuota.
Ukija amka uta nitag.
 
Vipi kuhusu kinana na meli yake inayobeba meno ya tembo nae mtamfikisha lini kisutu?
Akifikishwa mtaongea tu kumtetea

Nyie ni watetezi wa mafisadi tokea lowasa aingie chadema ule uzalendo na chuki dhidi ya mafisadi ilipaa na Slaa yaani saivi kila fisadi atakaeguswa akae akijua ana 3000% support kutoka chadema

Eti ndio kumpinga JPM
 
Tena taarifa inasema wamemnyanganya original docs zote wakazingagania kuondoka nazo! Wanasheia wake wanasema kuna ill intention juu ya drama hii!
Utetezi wa uovu ndio ilani ya chadema
Ni rahisi kwenu kuamini hivyo kuliko kuamini kwamba ana hatia tena mtu mwenyewe alishawahi kukamatwa red-handed na unga lakini bado mnamtetea.

Lowasa alishawaloga
 
Wabongo bwana, watu mmeshataifishiwa 1.5 Tilioni hiyo hamjui kama hela, sijui mnajua nia aina ya utawala au demokrasia? Watu wanawachanganya kwa sinema za kutungwa, ili kuwapumbaza akili na kuwaaminisha kuwa ile milioni 50 kwa kila kijiji anayo Akram!!
Huyu bwana ninasikia alitekwa akiwa in US$
 
Ukishaona utakatishaji na uhujumu uchumi kwenye listi ya kesi mara nyingi kunaviashiria vya kukomoana,sababu mtuhumiwa atasota ndani mpaka kesi iishe na kesi zenyewe zinatumia miaka kumalizika.Hivi ni mwalifu gani mwenyekujielewa anaweza kukaa na vizibiti ndani mwake?.
Kwa hiyo hii ndio mara ya kwanza duniani mhalifu kukamatwa na vidhibiti?

Kuna watu mna akili finyu nyumbu
 
Utetezi wa uovu ndio ilani ya chadema
Ni rahisi kwenu kuamini hivyo kuliko kuamini kwamba ana hatia tena mtu mwenyewe alishawahi kukamatwa red-handed na unga lakini bado mnamtetea.

Lowasa alishawaloga
Rostam alipokuwa mfadhili mkuu wa chama.na “King maker” wanyama wetu wengi itakuwa waliumia
 
Rostam alipokuwa mfadhili mkuu wa chama.na “King maker” wanyama wetu wengi itakuwa waliumia
Mnayo huko kwenu ndio maana mnayatetea hapa
EqHGg5zgzV137MBD1E6NtGlC1HWKldM-kwu1Uwf483VyWT0QacseNkMP75yyFv3zTzaA1HkCecZVk5wMDq8QvzN5lM6J1rW_4PToUiL1DK197A5srj5vqypVyuLwUairZVvbUzYWuQ=w333-h441-nc
 
Awamu hii watu wanashinda lumande tu kwa kesi za uchochezi,utakatishaji fedha,kuhujumu uchumi nk ila sijawahi kusikia yupi kafungwa au mahakama iko busy sana?
 
Ni Tanzania pekee ambapo Mtu baada ya Kuikosoa Serikali anaaonekana anayo hatia, Sioni ajabu ata MAKONDA siku atakapoanza kumkosoa Baba yake atapelekwa kisutu na kupewa kesi ya vyeti Fake..

Kosa la Kufoji, Kuiba na kutumia bila ridhaa ya Mhusika.
 
Kuna kitu serikali inataka kutoka kwenye hii familia, wakisha kirudisha ndio mambo yatakua sawa. Mimi ninawasiwasi hii inahusiana na swala la Vodacom.
Mo alipotea tukaambiwa alitekwa wakati wenye za ndani wanasema amerudisha ardhi iliyo kuwa inatakiwa irudi serikalini.
 
Let the long hand of the Government do its job, more will come into light soon.
 
Back
Top Bottom