DAR: Akram Aziz akamatwa, afikishwa Mahakama ya Kisutu. Ana makosa 75!

Me kitu ambacho huwa nashindwa kuelewa ni pale tu tunapojuzwa alfa lkn omega hatuambiwi kuwa imeaMriwa vp
 
Mkuu na maovu yanayofanyika kwenye box la kura ili ccm ishinde tutakuona ukikemea pia?

Kaka Tindo , maovu ni maovu tu tusisite kukemea ili tuwe na taifa la wawajibikaji, sichukii mtu wala chama Fulani ,lakini tafiti ndani na nje ya nchi zote zinaonyesha kuwa rushwa ni chanzo kinacho angamiza mataifa mengi ya Africa,rasilimali zilizopo Africa zinatumika isivyo halali ,kama mtu amepatikana anaweza jaribu kuzuia hili hata kwa asilimia chache bila kujali itikadi zetu kwa nini nisiinge mkono,mimi sikubaliani na ovu lolote bila kujali limefanywa na nani au na chama kipi, hivyo serikali ifanye kazi yake na kama mtu anaona hajatendewa kuna upande mwingine wa kutafuta haki.
 
Tulianza na Mohammed Enterprises, sasa Rostam Aziz. Sijui baadae nani. Ila sijui kama akina Kazibure watakuwemo kwani hawa ni wazalendo halisi huwa wanachota vijisenti tu alafu na ubunge juu na uenyekiti mjengoni.
 
Shida hapa sio kufanikiwa! Shaka inakuja paleee..... umefanikiwafanikiwaje!!.
Nadhani ni katika harakati zinazoendelea nchini dhidi ya nyie mliofanikiwa kimaisha kwamba ni wakati wenu sasa muishi kama mashetani!
 
Huyu ndie yule wa madawa ya kulevya yaliyokamatwa kabuku. kesi yake iliisha kwa 'mishemishe' awamu ya 4! pambaf! misi kuba hii!
 
Ni Tanzania pekee ambapo Mtu baada ya Kuikosoa Serikali anaaonekana anayo hatia, Sioni ajabu ata MAKONDA siku atakapoanza kumkosoa Baba yake atapelekwa kisutu na kupewa kesi ya vyeti Fake..
Nchi hii hakuna wakosoaji,kuna wazodoaji tu,mkosoaji huwa na mpango mbadala,hawa wanaomba mchana kutwa serikali ishindwe ni wakosoaji hao?
 
These guys can never been clean,sijui tatizo ni nini.Dini au kabila?Mimi simuamini ponjoro yeyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…