lautery frank
Member
- Oct 12, 2018
- 8
- 3
Me kitu ambacho huwa nashindwa kuelewa ni pale tu tunapojuzwa alfa lkn omega hatuambiwi kuwa imeaMriwa vp
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu na maovu yanayofanyika kwenye box la kura ili ccm ishinde tutakuona ukikemea pia?
Nadhani ni katika harakati zinazoendelea nchini dhidi ya nyie mliofanikiwa kimaisha kwamba ni wakati wenu sasa muishi kama mashetani!
BILA MKWEPA KODI KUNYOOSHWA YOTE YATABAKI NGONJERA TU WATU WENYE UPEO KAMA MIMI HATUWEZI KUWA UPANDE WAKE NA DOUBLE STANDARD ZA WAZI KABISA
HICHO KIBALI CHA KUUA TEMBO ALIPEWA NA MAMLAKA ZA PAKISTAN AU ZA TANZANIA?Aliyefanikiwa kwa kuuwa tembo wa tanzania?
Kama hivi ndivyo vigezo unavyotumia kufikia hitimisho unahitaji msaada wa kisaikolojia!Hapa ndipo huwa nakuwa upande wa JPM wa kuwanyoosha mafisadi
Daaaa!!,ulimaanisha nini mkuu?,danga cheee![emoji106][emoji23]Daaaa!!
Nchi hii hakuna wakosoaji,kuna wazodoaji tu,mkosoaji huwa na mpango mbadala,hawa wanaomba mchana kutwa serikali ishindwe ni wakosoaji hao?Ni Tanzania pekee ambapo Mtu baada ya Kuikosoa Serikali anaaonekana anayo hatia, Sioni ajabu ata MAKONDA siku atakapoanza kumkosoa Baba yake atapelekwa kisutu na kupewa kesi ya vyeti Fake..
Akili Za kuambiwa changanya Na zako by Jakaya Mrisho KikweteMbona kuna taarifa kuwa kila kitu alichokutwa nacho kina vibali halali vya serikali!
These guys can never been clean,sijui tatizo ni nini.Dini au kabila?Mimi simuamini ponjoro yeyote.Kwa wana JF,
Natambua kuwa kuna threads 2 humu; ila taarifa ni kuwa Akram Aziz ambaye ni mdogo wa Mbunge wa zamani wa Igunga, Ndg. Rostam Aziz, ni kweli alikamatwa na Vyombo vya Dola na mchana huu amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu.
View attachment 917003
Kwa kuanzia, ana makosa takribani 75 ambayo anahusishwa nayo. Kuna utakatishaji fedha/uhujumu uchumi na kukutwa na nyara za serikali pia katika makosa hayo.
View attachment 917001
View attachment 917002
Kwa Taarifa za awali, Soma => Akram Aziz adaiwa kukamatwa na nyara za Serikali... - JamiiForums
===========
Mfanyabiashara Akram Azizi amefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashtaka 75 ya uhujumu uchumi, ikiwamo kukutwa na nyara za Serikali, silaha, risasi na utakatishaji wa fedha Dola za Marekani 9,018.
Mshtakiwa anakabiliwa na mashtaka 70 ya kukutwa na silaha, mawili ya kukutwa na risasi, mawili ya kukutwa na nyaraka na moja la utakatishaji wa fedha.
Mshtakiwa huyo amesomewa mashtaka hayo na mawakili wa Serikali wakuu, Paul Kadushi na Faraja Nchimbi mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Augustine Rwizile.
Baada ya kusomewa mashtaka hayo, mshtakiwa huyo hakuruhusiwa kuongea chochote kwa sababu mahakama hiyo ya Kisutu haina mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo hadi Mahakama Kuu.
Hata hivyo, kwa mujibu wa sheria shtaka la utakatishaji fedha halina dhamana. Mshtakiwa ameenda rumande katika gereza la Segerea.
Upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika, kesi hiyo imeahirishwa hadi Novemba 12, 2018.
Nimecheka balaa, konyagi ya buku.Naona rostam aziz family wameguswa.....
Mangi Hebu nipimie konyagi cha buku nistuke kdg.....
Ova
Hujawahi Ona konyagi ya kupimwaNimecheka balaa, konyagi ya buku.
Mimi nachukia waafrika wavivu na ma-sadistNaichukia hao Wahindi toka enzi za EPA na Richmond. Siwezi geuka kuwa mtetezi wao hata siku moja.