Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Umechafua tena
JPM Ni Kama Maji
Usipoyanywa Basi utachambia Au walau kuogea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JPM Ni Kama Maji
Usipoyanywa Basi utachambia Au walau kuogea
Watanzania tuamke!!! Mazingira haya yametengenezwa tu, kama taarifa ya mwanzo ilivyosema kua "askari wamemkamata akiwa na vibali sahihi, ila wakaamua kuondoka navyo vibali vyote original na kukataa kuacha copy ofisini kwake". Hapa kama kawaida, serekali inatuhamisha toka maswala fulani kutupeleka kwengine. Tumeshafanywa kama watoto wa chekechea sasa!!!
Watanzania lini tutapata akili jamani ya kuchanganua mambo na ukweli????? Tulishuhudia YUSUF MANJI alikamatwa na akafikishwa mahakamani kwa kukutwa na NYARA ZA SEREKALI, MIHURI YA JESHI, VITAMBAA VYA SARE ZA JESHI. Case iliishia wapi?????? Nani anaehoji mpaka sasa kuhusu hio tuhuma zake au case alizoshitakiwa nazo?????? Kama kweli angeachiwa huru????
Inasikitisha sana kuona mtu akitetea uonevu unaofanywa na askari kwa raia, na uongo tunaopewa raia na serekali yetu, kama huu na iliopita.
Na inasikitisha zaidi kuona wafanya biashara wakubwa wakionewa mpaka kufikia hatua wanafunga biashara zao na watanzania wenzetu kibao wanakosa ajira.
Yule Rostam ambae jina lake limefutwa kwny orodha ya Mafisadi papa toka chama kile?
We unalipa kodi sh ngapi?BILA MKWEPA KODI KUNYOOSHWA YOTE YATABAKI NGONJERA TU WATU WENYE UPEO KAMA MIMI HATUWEZI KUWA UPANDE WAKE NA DOUBLE STANDARD ZA WAZI KABISA
sijasema asiadhibiwe, nimesema hivi "HUWEZI FANIKIWA KWA KUMCHUKIA YULE AMBAYE AMEKWISHA FANIKIWA" hii ni baada ya kuona uvccm wengi mmekuwa mkishangilia pale mnaposikia mtu fulani mwenye pesa anatuhuma. hata mahakama haijamtia mtu hatian nyie mnapiiga vigelegeleUmeandika mavi kabisa,kwahiyo mtu aliyefanikiwa hata akifanya makosa asiadhibiwe.
Mbona mlivomweka ndani Yusuf Manji mlisema amekamatwa na Mihuri ya Jeshi, Sare za jeshi na vitambaa vya sare za jeshi??? Yalikua mashtaka ya kweli haya??? Na kama ya kweli yameishia wapi mbona hajafungwa???? Au ulikua uonevu???Kwahio unamtetea mtuhumiwa wa ujangili?
Si uachie mahakama iamue kama ni jangili au sio jangili?
Mtu ana makossa 75 wamtetea kweli, unayafahamu hayo makosa?
Mbona mlivomweka ndani Yusuf Manji mlisema amekamatwa na Mihuri ya Jeshi, Sare za jeshi na vitambaa vya sare za jeshi??? Yalikua mashtaka ya kweli haya??? Na kama ya kweli yameishia wapi mbona hajafungwa???? Au ulikua uonevu???
Kweli akili zako ndogo, eti mimi na wewe hatuwezi kujua aliefanikiwa? Kweli unafikilia kutumia nini? Hauwezi kupata chakula, kwa kumchukia aliekula!!Mimi na wewe hatuwezi mjuwa aliyefanikiwa, ni kujidanganya tu machoni na moyoni
So kweli kabisa. Wengi wanaotaka tuamini wamefanikiwa hawasemi wametumia njia gani kupata hayo mafanikio.Nadhani ni katika harakati zinazoendelea nchini dhidi ya nyie mliofanikiwa kimaisha kwamba ni wakati wenu sasa muishi kama mashetani!
Dhulma gani amefanyiwa huyo tajiri?Duh, maskini kazi yetu kushangilia kila tajiri anaponyanyaswa, lakini hamkumbuki maisha yetu yameshikwa na huyo tajiri. Tumashangilia ujinga, uonevu na kila aina ya dhulma inayofanyika kwa matajiri. Iko siku nyuma huu mchezo siri iliyojificha itafunuliwa!!