DAR: Akram Aziz akamatwa, afikishwa Mahakama ya Kisutu. Ana makosa 75!

DAR: Akram Aziz akamatwa, afikishwa Mahakama ya Kisutu. Ana makosa 75!

Watu hawajui kutofautisha uwindaji na ujangili. Hawaelewi uwindaji ni biashara halali inayotambulika Serikalini.

Wanaaminishwa uwindaji ni ujangili.
Mitanzania ni mijitu ya hovyo sana, watu wanarithishwa chuki za kishamba.

Kenya wamesitisha utalii wa uwindaji wanafanya utalii wa picha tu expedetion.

Kenya mirungi ni halali bangi ni kosa, Canada wamehalalisha matumizi ya bangi unaruhusiwa kulima nyumbani kwako kwa matumizi binadamu.

Kamwe huwezi kuwa tajili kwa kumchukia tajilo, yajili akichukia ni maafa kwa nchi majobles watajaa kila kona.
 
Mitanzania ni mijitu ya hovyo sana, watu wanarithishwa chuki za kishamba.

Kenya wamesitisha utalii wa uwindaji wanafanya utalii wa picha tu expedetion.

Kenya mirungi ni halali bangi ni kosa, Canada wamehalalisha matumizi ya bangi unaruhusiwa kulima nyumbani kwako kwa matumizi binadamu.

Kamwe huwezi kuwa tajili kwa kumchukia tajilo, yajili akichukia ni maafa kwa nchi majobles watajaa kila kona.

Kwa sasa kama ulikorofishana na Mkuu DPP anakuletea kesi ya uhujumu uchumi na count sheets kibao ambao hazina nyuma wala mbele ili ulale ndani. Kwa sababu tuna uwezo mdogo wa kuhoji tunashangilia tu.

DPP hajakamilisha uchunguzi lakini ana mashtaka zaidi ya 70. Ushamba na ulimbukeni. Hizi chuki zitazaa visasi.

Kwa sasa inabidi iwekwe list ya watu wote walioshtakiwa kwa uhujumu uchumi ikionyesha ni muda gani mpaka sasa wamekaa mahabusu na kesi zao zipo katika stage gani maana ni kuumiza watu kisa unahisi tu unaibiwa au una chuki na mtu.
 
Duh, maskini kazi yetu kushangilia kila tajiri anaponyanyaswa, lakini hamkumbuki maisha yetu yameshikwa na huyo tajiri. Tumashangilia ujinga, uonevu na kila aina ya dhulma inayofanyika kwa matajiri. Iko siku nyuma huu mchezo siri iliyojificha itafunuliwa!!
Sifurahishiwi na Huu uonevu lakini naomba ukumbuke hata maskini wanaweza kuwa matajiri. Kuwa watu nawafahamu miaka ya nyuma walikuwa mafukara lakini miaka ya karibuni hata mimi siongei kitu.
 
Mitanzania ni mijitu ya hovyo sana, watu wanarithishwa chuki za kishamba.

Kenya wamesitisha utalii wa uwindaji wanafanya utalii wa picha tu expedetion.

Kenya mirungi ni halali bangi ni kosa, Canada wamehalalisha matumizi ya bangi unaruhusiwa kulima nyumbani kwako kwa matumizi binadamu.

Kamwe huwezi kuwa tajili kwa kumchukia tajilo, yajili akichukia ni maafa kwa nchi majobles watajaa kila kona.
Kwani kuna MTU kamchukia tajiri..?

....hebu acha kujipendekeza kwa matajiri na wewe.
 
We unalipa kodi sh ngapi?

MSHAHARA WANGU UNAKATWA KODI KILA MWEZI AU WEWE KADA WA CCM HAUFANYI KAZI NINI, HAYA MKUU MZEE WA BUKU 7 BILA MAKATO HONGERA. WENZAKO HUU MWAKA WA TATU UNAENDA WANNE HAKUNA NYONGEZA YA MSHAHARA NA MAKATO YAPO PALEPALE
 
Serikali Ya Viwanda Ina Vidole Vingi Sana Vya Kutumbulia Majipu Yaliyo Iva Hata Ikiwa Ccm
 
Mbona mlivomweka ndani Yusuf Manji mlisema amekamatwa na Mihuri ya Jeshi, Sare za jeshi na vitambaa vya sare za jeshi??? Yalikua mashtaka ya kweli haya??? Na kama ya kweli yameishia wapi mbona hajafungwa???? Au ulikua uonevu???

Mkuu ,hili la Manji ni Mfano mzuri sana baasi tu Wapiga Vigelegele wa CCM wamevaa Miwani ya Mbao.
 
Naichukia hao Wahindi toka enzi za EPA na Richmond. Siwezi geuka kuwa mtetezi wao hata siku moja.
Utahitaji pia kumchukia Mkapa aliyeasisi skandali ya EPA. Kwa maneno mengine usibague kwa misingi ya kabila katika kuchukia ufisadi. Uchukie ufisadi lakini usichukie mtu kwa misingi ya kabila lake.
 
Waambie hao wenye kampuni na wanasheria wke kuwa ule wakati wa kuchezea mali za watanzania kwa kuwa unajua kucheza na sheria za nchi umekwisha! mtatoa matamko sana.
Jamaa KWENYE uzi kuna sehem amesema huzo pembe anamiliki kihalali sijajua uhalali ni up
 
Back
Top Bottom