DAR: Akram Aziz akamatwa, afikishwa Mahakama ya Kisutu. Ana makosa 75!

DAR: Akram Aziz akamatwa, afikishwa Mahakama ya Kisutu. Ana makosa 75!


Usishangae..

Hawa ndo wahujumu uchumi wakubwa ambao wana say kwenye serikali yoyote ile.

Pengine hata serikali ya upinzani ingeingia madarakan raisi wake angeitwa na kuambiwa atulize mpira.i

Hao ndo humfadhili na humuita raisi aingiae madarakani,wakamkalisha chini na kumwambia atulize mpira awaache wao waendelee na shughuli zao.

Raisi JPM amekataa jambo hilo (na amelisema mara nyingi) na wakaanza kufanya vurugu za chinichini huku wakilalama bishara zao zinayumba.

Hawa ndo miaka ya nyuma walikuwa askari wakitumwa kuwakamata wanawekwa kati na kukabidhiwa bahasha ndefu za khaki, kisha wanatuliza mpira.

Hawa ndo walikuwa wakiikwepa sheria ya uhujumu uchumi na kuonekana haipo kiasi cha watu wengi kusahau sheria ipo na kwamba ipo "live" na yafanya kazi.

Yasadikiwa kuwa hawa hutumia vibaya vibali vyao vya uwindaji kwa kuua tembo wadogo na wanyama wadodgowadogo badala ya kutafuta aina za wanyama wakubwa ambao wanaruhusiwa kwenye vibali vyao.

Je wafahamu athari za kuua Wanyama wadogowadogo kwenye mbuga zetu na mapori?

Msiwatete majangalili maana hata William mwanamfalme wa Uingereza, alipokuja Tanzania mapema mwezi huu aliulizia jitihada za serikali zimefikia wapi za kudhibiti ujangaili nchini.

Hivyo tuiamini serikali, tuiache ifanye kazi zake kuwashughulikia majangili na wahujumu uchumi kwa umakini bila kutetereka na mwisho tutachambua mchele ni upi na pumba ni zipi.
 
Watanzania tuamke!!! Mazingira haya yametengenezwa tu, kama taarifa ya mwanzo ilivyosema kua "askari wamemkamata akiwa na vibali sahihi, ila wakaamua kuondoka navyo vibali vyote original na kukataa kuacha copy ofisini kwake". Hapa kama kawaida, serekali inatuhamisha toka maswala fulani kutupeleka kwengine. Tumeshafanywa kama watoto wa chekechea sasa!!!

Watanzania lini tutapata akili jamani ya kuchanganua mambo na ukweli????? Tulishuhudia YUSUF MANJI alikamatwa na akafikishwa mahakamani kwa kukutwa na NYARA ZA SEREKALI, MIHURI YA JESHI, VITAMBAA VYA SARE ZA JESHI. Case iliishia wapi?????? Nani anaehoji mpaka sasa kuhusu hio tuhuma zake au case alizoshitakiwa nazo?????? Kama kweli angeachiwa huru????

Inasikitisha sana kuona mtu akitetea uonevu unaofanywa na askari kwa raia, na uongo tunaopewa raia na serekali yetu, kama huu na iliopita.

Na inasikitisha zaidi kuona wafanya biashara wakubwa wakionewa mpaka kufikia hatua wanafunga biashara zao na watanzania wenzetu kibao wanakosa ajira.
We unaumwa mshipa wewe umetumwa kuwa wakala wa ibilisi na ulaaniwe
 
Usishangae..

Hawa ndo wahujumu uchumi wakubwa ambao wana say kwenye serikali yoyote ile.

Pengine hata serikali ya upinzani ingeingia madarakan raisi wake angeitwa na kuambiwa atulize mpira.i

Hao ndo humfadhili na humuita raisi aingiae madarakani,wakamkalisha chini na kumwambia atulize mpira awaache wao waendelee na shughuli zao.

Raisi JPM amekataa jambo hilo na wakaanza kufanya vurugu za chinichini huku wakilalama bishara zao zinayumba.

Hawa ndo miaka ya nyuma walikuwa askari wakitumwa kuwakamata wanawekwa kati na kukabidhiwa bahasha ndefu za khaki, kisha wanatuliza mpira.

Hawa ndo walikuwa wakiikwepa sheria ya uhujumu uchumi na kuonekana haipo kiasi cha watu wengi kumsahau sheria ipo na kwamba ipo "live" na yafanya kazi.

Inasadikiwa kuwa hawa hutumia vibaya vibali vyao vya uwindaji kwa kuua tembo wadogo na wanyama wadodgowadogo badala ya kutafuta aina za wanyama wakubwa ambao wanaruhusiwa kwenye vibali vyao.

Je wafahamu athari za kuua Wanyama wadogowadogo kwenye mbuga zetu na mapori?

Msiwatete majangalili maana hata William mwanamfalme wa Uingereza, alipokuja Tanzania mapema mwezi huu aliulizia jitihada za serikali zimefikia wapi za kudhibiti ujangaili nchini.

Hivyo tuiamini serikali, tuiache ifanye kazi zake kuwashughulikia majangili na wahujumu uchumi kwa umakini bila kutetereka na mwisho tutachambua mchele ni upi na pumba ni zipi.


Kaka unadhani ninabisha basi, nasema jicho hilo hilo lonalowaona lisiwe na double standard maana hapo ndio siku zote nimekuwa nikipiga kelele. Mfano kalisinga Seth yuko ndani kwa hela za Escrow, lakini chain ya kutoa hela nyingi vile inafahimika utaratibu wake. Wako wapi wengine wa kwenye mfumo?
 
Kaka unadhani ninabisha basi, nasema jicho hilo hilo lonalowaona lisiwe na double standard maana hapo ndio siku zote nimekuwa nikipiga kelele. Mfano kalisinga Seth yuko ndani kwa hela za Escrow, lakini chain ya kutoa hela nyingi vile inafahimika utaratibu wake. Wako wapi wengine wa kwenye mfumo?

Wapo utawasikia, mmoja baada ya mwingine.

Ila mara nyingi wanasiasa nao ni wajanja na wanafahamu namna ya kucheza na mfumo kwa kuwatumia hawa.

Ndo maana ni vigumu kumkamata mtu kama Chenge ambae huwezi kufanya tracing ya fedha zimeingia kwa jina lake halisi na pengine fedha zipo kwenye visiwa fulani huko nje.

Hiyo inahitaji akili zingine za ziada.

Lakini safari hii mfumo umebadilka kabisa.

Endelea kusikilizia.
 
Hukumu ýake itakuwa ni kifungo miaka 3 au kulipa faini milioni 200. Tz ni sèhemu salama kwa wapiga dili
 
Hukumu ýake itakuwa ni kifungo miaka 3 au kulipa faini milioni 200. Tz ni sèhemu salama kwa wapiga dili

Baada ya miaka kadhaa, kwani tuhuma za uhujumu uchumi humfanya mtuhumiwa akae ndani si chini ya miaka 3 huku upelelezi ukiendelea.

Kumbuka, sheria ya uhujumu uchumi haina dhamana.
 
Hivyo tuiamini serikali, tuiache ifanye kazi zake kuwashughulikia majangili na wahujumu uchumi kwa umakini bila kutetereka na mwisho tutachambua mchele ni upi na pumba ni zipi.

Umemalizia vyema, acha tusubiri
 
Hawa akina Givindi bado tu wapo Tanzania hawajashtuka tu mpaka wafilisike ndio wajue wakati wao umekwisha.

Walikua miaka yote wanavaa mashati ya kijani kule upanga na kupigia kampeni Chama dume wakijua ndio itakua milele.
Daaah. Upanga na Kisutu hakunaga bendera ya rangi nyingine zaidi ya zaidi ya kijani.
Walijua ndio salama yao.
Waache waisome namba wakati mwingine ili wajue kuwa Sabodo hakuwa mjinga kusaidia ukuaji wa Demokrasia.

Tunachoomba tu wasionewe ,watendewe haki kama binadamu tulioishi nao siku nyingi Tangu karne ya 19 na kufanya nao biashara tangu karne ya 12 .

Baada ya Sarakasi zote hizi itabidi tuiombe Tume ya maadili ichunguze mali za wakuu wa vitengo mbalimbali vinavyofuatilia hao wanaoitwa wahujumu uchumi mana inaonekana kuna biashara ya rushwa kubwa zaidi inaendelea hapo na madau makubwa toka kwa hao akina Govindi.
 
Hata haujui kinachoendelea...hizi ni chuki za kijinga kabisa.....unganisha dots za akina musiba na upuuzi huu...sasa swali kidogo tuu hata kama mtu ni muwindaji haram ndio anawinda na mabunduki 55???

Sasa kama yeye ni mhifadhi mkuu wa kila kitu pamoja na hizo silaha, sisi tutafahamu vipi?
 
Ni ndugu was Rostam..I believe
Ina maana umemsahau? Haaahaaa...hawa watu hawakomi kutaka kuichezea na kuiangamiza Tanzania ili tu dunia itambue wako kwenye list ya matajiri wakubwa duniani.

JPM kwa hili anahitaji sana support yetu. Leo ujangili...kesho wanaamua bei za kununulia mazao kwa wakulima bila huruma wala kujari athari zake...hawa ndio tunasema wasiguswe eti wameajiri watanzania wengi? wamewaajiri wapi? Wanawalipaje?

Kama kweli ndio wanavyoendelea kujenga himaya zao, hakuna namna...acha zianguke tu...tutajenga nyingine
 
Ni kweli siwapendi, walituibia vya kutosha Tanzania na adhabu pekee walipata ni kuachia Ubunge na kujivua nyadhifa zao kwenye chama chake.
Mtaani huku vijana wanaiba kuku na chakula tunawapiga mawe hadi kufa.
Fanyakazi bandugu otherwise kila atakae kuzidi kiuwezo utapiga kelele kakuibia, akuibie wakati haujawahi kumiliki hata ndara.
 
Watanzania Tumenyimwa elimu ya vitu vingi sana. Na ndio maana tumekuwa wapayukaji tu na washangiliaji kwa kila kinachotokea bila kujua uhalisia wake. Hiyo elimu inayohusu uwimdaji hatujui kitu. Tumekuwa wasemaji wa tusiyoyajua. Ni vyema ukipata jambo jipya kujifunza kwanza kabla ya kuropoka. Tuliropoka sana hapa pale Manji alipokamatwa kwa kutuhumiwa kukutwa na Nguo za jeshi kontena zima na mihuri. Bila kujiuliza hivi inawezekana vipi raia amiliki mihuri ya jeshi na kontena la Sare za jeshi? Ila kwa kuwa hatujiongezi na kutafakari kinakotokana na kunyimwa elimu tukatoa hukumu dhidi yake inayotokana na chuki leo hii Manji anaendelea kula bata sisi tunaendelea kusota.
 
Back
Top Bottom