DAR: Akram Aziz akamatwa, afikishwa Mahakama ya Kisutu. Ana makosa 75!

DAR: Akram Aziz akamatwa, afikishwa Mahakama ya Kisutu. Ana makosa 75!

Nchi hii hakuna wakosoaji,kuna wazodoaji tu,mkosoaji huwa na mpango mbadala,hawa wanaomba mchana kutwa serikali ishindwe ni wakosoaji hao?
Fuatilia alichoongea shivji Leo ubadili mtazamo wako
 
Kaka Tindo , maovu ni maovu tu tusisite kukemea ili tuwe na taifa la wawajibikaji, sichukii mtu wala chama Fulani ,lakini tafiti ndani na nje ya nchi zote zinaonyesha kuwa rushwa ni chanzo kinacho angamiza mataifa mengi ya Africa,rasilimali zilizopo Africa zinatumika isivyo halali ,kama mtu amepatikana anaweza jaribu kuzuia hili hata kwa asilimia chache bila kujali itikadi zetu kwa nini nisiinge mkono,mimi sikubaliani na ovu lolote bila kujali limefanywa na nani au na chama kipi, hivyo serikali ifanye kazi yake na kama mtu anaona hajatendewa kuna upande mwingine wa kutafuta haki.


Kaka mimi naona unamaliza wino tu kwa maelezo mengi. Nimesema nitakuona ukikemea mwenendo mwovu katika box la kura? Sasa naona umejizunguusha. Kwahiyo umeambiwa magu tu ndio anaweza kukemea wizi? Kwani yeye ni msafi wa kiwango hicho?
 
JINSI YA KUPATA $30 NO DEPOSIT BONUS YA TEMPLER.

[TAFADHALI SOMA TERMS AND CONDITIONS: ZIMEUNGANISHWA]



huenda ushatumia demo lakini uko na tatizo la mtaji... Au wengine tumeunguza akaunti, jinsi ya kuanza tena ni ngumu, hasa linapokuja suala la mtaji....



ANGALIZO:

Bonus hii ni kwa wateja wapya tu, kama ulishakuwa na akaunti ya Templer na ukaiwekea pesa, hautoweza kuipata, labda ufungue akaunt tofauti.



HATUA ZA KUFUATA:

1. Fungua akaunti mpya hapa:



https://secure.templerfx.com/login/sign_up/162585



2. Verify email, namba ya simu (ni bora iwe voda, kwa ajili ya kutoa faida na kuendesha akaunti) na utambulisho wako.



3. Nenda MENU > OPEN ACCOUNT > chagua LIVE UNIVERSALFX > ok



4. Nenda Menu > Bonus > chagua akaunti yako ya universalFX, WEKA REDEEM CODE:



NDB30JN42017



Then submit.



5. Utapokea $30 katika akaunti uliyoifungua, mara nyingi within an hour.



6. Kama huna MT4 ,download hapa:



MetaTrader 4 – Applications Android sur Google Play



Start Trading!!



Jisajili hapa upate bonus kirahisi



https://secure.templerfx.com/login/sign_up/162585



Ukihitaji msaada wowote, nicheck inbox

+255769095171
 
Leo hii jamaa zangu wamegeuza tena maneno. Kutoka mafisadi mpaka "waliofanikiwa".
 
Kaka mimi naona unamaliza wino tu kwa maelezo mengi. Nimesema nitakuona ukikemea mwenendo mwovu katika box la kura? Sasa naona umejizunguusha. Kwahiyo umeambiwa magu tu ndio anaweza kukemea wizi? Kwani yeye ni msafi wa kiwango hicho?

1. Maada ni kuzuia ujangili , suala liikija la mwenendo wa kura pia nitakemea.
2. Magu kwa kutumia Taasisi zilizopo (e.g Takururu/mahakama) na kwa usimamizi wa serikali yake anaweza kuzuia rushwa, kwa ufupi nakwenda vizuri.
 
Akifikishwa mtaongea tu kumtetea

Nyie ni watetezi wa mafisadi tokea lowasa aingie chadema ule uzalendo na chuki dhidi ya mafisadi ilipaa na Slaa yaani saivi kila fisadi atakaeguswa akae akijua ana 3000% support kutoka chadema

Eti ndio kumpinga JPM
Tatizo lenu majitu ya ccm mna ugua ugonjwa unaitwa chademaism yaani asitokee mtu akaukosoa utawala wa Jiwe ataitwa chadema.mnaiogopa sana chadema sijui kwanini.
 
Watanzania tuamke!!! Mazingira haya yametengenezwa tu, kama taarifa ya mwanzo ilivyosema kua "askari wamemkamata akiwa na vibali sahihi, ila wakaamua kuondoka navyo vibali vyote original na kukataa kuacha copy ofisini kwake". Hapa kama kawaida, serekali inatuhamisha toka maswala fulani kutupeleka kwengine. Tumeshafanywa kama watoto wa chekechea sasa!!!

Watanzania lini tutapata akili jamani ya kuchanganua mambo na ukweli????? Tulishuhudia YUSUF MANJI alikamatwa na akafikishwa mahakamani kwa kukutwa na NYARA ZA SEREKALI, MIHURI YA JESHI, VITAMBAA VYA SARE ZA JESHI. Case iliishia wapi?????? Nani anaehoji mpaka sasa kuhusu hio tuhuma zake au case alizoshitakiwa nazo?????? Kama kweli angeachiwa huru????

Inasikitisha sana kuona mtu akitetea uonevu unaofanywa na askari kwa raia, na uongo tunaopewa raia na serekali yetu, kama huu na iliopita.

Na inasikitisha zaidi kuona wafanya biashara wakubwa wakionewa mpaka kufikia hatua wanafunga biashara zao na watanzania wenzetu kibao wanakosa ajira.
Hili nalo neno
 
Wamemtandika Money Laundering, haina dhamana. Haka kamchezo kwenye ofisi ya DPP ndiyo wamekagundua. Wanakutandika unakaa maabusu miaka 3 ukisubiri uchunguzi uendeleee, huoni wakina Kitilya, Rugemalira na Seth ??
Je hao waote uliyewataja unaona wamesingiziwa au wanna stahili Hilo jina
 
Mimi namtaka Rostam Aziz mwenyewe akamatwe ana makosa mengi sana ya kifisadi. Jamaa kaichezea sana serikali ya awamu ya nne. Alikuwa anawanunua CCM na watendaji wa serikali kama njugu.
 
Naichukia hao Wahindi toka enzi za EPA na Richmond. Siwezi geuka kuwa mtetezi wao hata siku moja.

Hao ni watanzania wenye asili ya India...acha chuki. Hawa hawana tofauti na mafisadi wengine Wangoni, Wachaga, Wamakonde. Chukia vitendo vyao na sio rangi au asili yao. Acha ubaguzi, jielimishe. Utanzania sio rangi ya ngozi!
 
Hakuna Jiwe litasalia Juu ya jiwe lingine. Walituibia sana hao watu. Huu Ukoo wa Mafisadi.
 
ccm ya Magufuli ni ccm mpya kila siku anasema
images
CCm ni ile ile, ooo ni ile ile,
TOT ni wale wale, oooo ni wale wale.

Huu wimbo unapingana na hicho unachokisema. Au hamkuuimba huu nyinyi? Au mliuimba ila hamkujua maana yake?
 
Back
Top Bottom