TANZIA Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Hata kama ni CHADEMA, Serikali na Taasisi husika inabidi zichukue hatua na kukomesha huu upuuzi na upumbavu..., mmoja wetu akifa (mwananchi / nguvu kazi) lazima vyombo husika vifuatilie na kuwahoji watuhumiwa no matter their political stance....
Kwa sababu ni mwenye jina na mwenzenu ndio maana mnaongea sana ila sijaona yeyote akitetea watu wasio na sauti huko mtaani.

Kila mtu apambane kivyake Sasa
 
tatzo tuna uhuru wa kwenye makaratasi na sio wa kujitawala maana okoni wa kizungu umetoka saiv tunao wa kwetu binafsi
 
Salary Slip kwani huyu baba waliyemuua alikuwa msemaji sana wa kuipinga serikali?
 
Mimi ni mfuasi na mpenzi wa rais SAMIA SULUHU HASSAN.
Napenda nimuombe atoe kauli kuhusu mauaji na utekaji unaoendelea katika taifa letu.
Tukumbuke tu vyama vya siasa vinapita, lakini taifa la Tanzania litaendea kuwepo.
Kulikuwa na vyama vyenye nguvu mfano KANU na ZANU PF.
Leo hii viko wapi?.
 
Kiunganisho cha alicho sema
 
Napenda niwe Rais wa Tanzania ili nikomeshe ushenzi huu wa jeshi la polisi.
Nadiriki kuwaita askari polisi,JWTZ au Idara ya usalama wa taifa wanaofanya vitendo hivi wapumbavu.
Siku si nyingi MUNGU atawalipa wao na wanaowatuma.
AMINA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…