TANZIA Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Tujuze Nini ameandika si wotote tuko x
 
Hii nchi bila kuwang'oa hawa mbwa mwitu (ccm ) toka madarakani ,hii nchi tunapoelekea ni kubaya sana , huo nchi inaenda kuwa banana republic kama Burundi na kwingine huko mashenzini ambapo political assassinations ni kugusa tu ,watu wanauawa kama kumbikumbi na kutupwa kama mizoga ya mahayawani ,
Kiufupi maisha ya binadamu hayana thamani tena nchi hii .Hii culture ya impunity iliyotengenezwa ni mbaya mno
 
Kila raia ajiinde yeye mwenyewe.
Akija mtu kukuchukua bila utaratibu hakikisha unapambana mpaka mwisho, are yeye au wewe.
 
Mimi nadhani ifike muda hawa viongozi wa chadema waache kupoteza muda kupambania haki za watanzania ambao wengi ni wajinga na machawa.

Waafrika hasa watanzania si watu wa kuwahangaikia na kuwatetea kupigania haki na maslahi yao.

Ni kuwaacha na mashida yao na matatizo yao yawapige kisawasawa mpaka pale akili zao zitakapo funguka.

Hakuna haja ya kupoteza uhai wako kuwatetea wajinga wasiojitambua.
 
Unaonekana unatafuta mtu wa kukuf!ra


Muda sahihi ukifika watakwambia kazaliwa na nyota huyo

Miezi miwili nyuma Othman former DG wa TISS akielekea NY alisimama hapa na kuongea na rafiki zake wanataka nije huko.

Siwezi kukusaidia kwenye umaskini wako ndugu.
 
Kwa sababu ni mwenye jina na mwenzenu ndio maana mnaongea sana ila sijaona yeyote akitetea watu wasio na sauti huko mtaani.

Kila mtu apambane kivyake Sasa
Mwezenu kina nani ? Ofcourse mimi kama mtanzania na binadamu; binadamu mwenzangu akipatwa na majanga ni mwenzangu..., nakushangaa wewe ambaye unaona mtu sio mwenzako sababu ya itikadi; nachelea kusema ndugu yangu unapotoka...

By the way sina chama cha siasa Tanzania kwangu mimi ninayeendeshwa na ideologia practically sioni tofauti ya Vyama vyote Nchini
 
Dkt Samia Suluhu Hassani haya yanayifanyika kwenye nchi hii waona mazuri? Hili halikubaliki siyo kwa mtu mwenye utu uwe CHADEMA, CCM,ACT-WAZALENDO ili jambo ni lakinyama sana.
Kamwe damu ya mtu haiendi bure. Inamlilia muuaji, wauaji, na wale wote wenye mamlaka juu usalama wa watu.

Muda utaongea, na karma lazima itajibu tu. Kiganja cha mkono tayari kimeshaandika ukutani,

MENE, MENE, TEKELI & PERESI
 
IGP na jopo lake wajitafakari naona kazi wameshindwa kabisa. Kila siku vifo, watu kutekwa, kuuawa na kupotea.

Tunaelekea wapi?
Siyo kazi wameshindwa ,hii kazi wanafanya wao wakishirikiana na vikosi vya mauaji vya TISS , kama mlifuatilia ile sheria mpya iliyopitishwa ya kuwalinda watu Wa TISS dhidi ya kushitakiwa mwaka jana ,ile ilikuwa ni maandalizi ya kinachoendelea sasa hivi .
Ccm ni ile ile , bloody murderers and criminals
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…