Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Ni kweli kabisa wataku shoot alaf watasema ""LILIKUA LINAPAMBANA NA JESHI LA POLICE TUKALISHINDA""Hapo ndio utawarahisishia kazi, watakuua wakisema walikuwa wakijilinda na jambazi aliyekataa kujisalimisha.
Nobody in Chadema is safe!
Nimesoma sehemu kuwa alikuwa x soldierMimi mwenyewe sikuwhi kumjua ila kama binadamu nimestushwa mnoo na kiteelndo hiki...
au huyu kamanda alikuwa na kitengo kizito ndani ya chadema kuwadukuwa hawa watekaji?
Mabasi ya kisasa yana camera, waliomteka wote wamerekodiwa, ni suala la polisi kuwataja baaasiUchunguzi utafanyika kwa mujibu wa mtuhumiwa, tumeambiwa wameingia kwenye basi wakiwa na bunduki, wakajitambulisha kama sheria inavyotaka, wakasema wanamtaka mzee Mohamed, wakampiga pingu,wakaondoka naye, kisha kumuua na kumtupa ununio!! It looks exactly like a dog, walk like a dog and bark like a dog! Yes its a Dog!!
IG ni nini? sorry usinione mshamba 😀 😀 😀 😀
Ni kweli kabisaNobody in Chadema is safe!
Asante lakini toa neno dadaPoleni.
Bado Nakumbuka comment yako siku ya tarehe 17.03.2021Ni kweli kabisa
Point to note 📌Kwa nature ya binadamu, mimi naona matukio haya yatawafanya watu wawe majasili zaidi na sasa waone hawana tena cha kupoteza.