TANZIA Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

TANZIA Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Uchunguzi utafanyika kwa mujibu wa mtuhumiwa, tumeambiwa wameingia kwenye basi wakiwa na bunduki, wakajitambulisha kama sheria inavyotaka, wakasema wanamtaka mzee Mohamed, wakampiga pingu,wakaondoka naye, kisha kumuua na kumtupa ununio!! It looks exactly like a dog, walk like a dog and bark like a dog! Yes its a Dog!!
Bashite toka arudi kwenye system,nchi imekuwa kama Rwanda enzi za N’terahamwe
 
Nyie machadema mlikuwa mnasema magu ni dikteta......eti samia anaupiga mwingi.

Kwanza huyo aliyekufa ni CCM mwenzao wanajuana msituchoshe.
 
Ile ya magufuli cha mtoto. Samia Funga kazi.mtu anatekwa hadharani na watu wanaona.alafu mtu huyo huyo .anauliwa na serikali imekaa kimya.
 
Wazo hatarishi sana, tuombee amani na mshikamano katika taifa letu, hatuna sehemu nyingine zaidi ya Tanzania.
Kuuawa kwa wanaccm ndiyo inakuwa hatarishi? Ila wakiuawa chadema ni amani?
 
Back
Top Bottom