mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Anzisha wewe mkuu na wewe uungwe mkono!Ni kweli inaumiza. Hii yote ni kwa ajili ya nini? Nipo tayari kwa ajili ya kuunga mkono maandamano yoyote yanayopinga mauaji ya namna hii.
Paschal Mayyala utusaidie kwa ilo?
Historia inatuonesha alikuwa mstafu wa JWTZ tena afisa japo sijajua alikuwa na cheo gani ndani ya JWTZ?
Kipindi cha JK alimteua kuwa katibu muenezi mkoa wa Tanga kupitia CCM,Baadae akaamia CHADEMA hadi umauti unamkuta.
Maswali machache najiuriza.
Je kama alikuwa CCM tena muenezi mkoa wa Tanga na badae kuwa CHADEMA je alikuwa anauza ramani za ushindi kwa CHADEMA hasa mkoa wa Tanga?
Je CHADEMA walimstkukia kuwa ni ana viashiria vya u CCM au ujasusi ndani yake?
Je alikuwa analeta mbinu za kijeshi au mipango ya siasa ya kijeshi ambayo alijifunza kule TMA ndani ya CHADEMA ambayo mwisho wa siku ingeleta athari ndani ya CCM na utawala wake?
Maswali ni mengi kuliko majibu, ila jambo la msingi na muhimu CHADEMA kwa sasa imezungungwa na mashushushu wengi ambao kila mtu mwenye ushawishi ndani ya CHADEMA razima apotezwe hasa ambao wanachipukia kisiasa, na ambao wanaonekana watakuja kuwa hatari zaidi hapo siku za usoni.
NB:MWENYEKITI WA CHAMA FUMUA UONGOZI WA CHADEMA UPYA ILI MUWE SALAMA NA PIA LISSU MUHACHIE CHAMA CCM MUMESHAWEZA TEYARI
Wanajikaanga kwa mafuta yao wenyewe ukijumlisha na coordinated propaganda za waongeaji wao wanazotoa.Punguza sauti ndugu, tuko msibani!!
Nini kibaya nilichokiandika kinakufanya uanze kuhororoja na kubwabwaja bila mpango?Acha ukichaa fikiria kama ni mzazi wako au ndugu yako wa karibu
Shushushu anauawa ili iweje?Paschal Mayyala utusaidie kwa ilo?
Historia inatuonesha alikuwa mstafu wa JWTZ tena afisa japo sijajua alikuwa na cheo gani ndani ya JWTZ?
Kipindi cha JK alimteua kuwa katibu muenezi mkoa wa Tanga kupitia CCM,Baadae akaamia CHADEMA hadi umauti unamkuta.
Maswali machache najiuriza.
Je kama alikuwa CCM tena muenezi mkoa wa Tanga na badae kuwa CHADEMA je alikuwa anauza ramani za ushindi kwa CHADEMA hasa mkoa wa Tanga?
Je CHADEMA walimstkukia kuwa ni ana viashiria vya u CCM au ujasusi ndani yake?
Je alikuwa analeta mbinu za kijeshi au mipango ya siasa ya kijeshi ambayo alijifunza kule TMA ndani ya CHADEMA ambayo mwisho wa siku ingeleta athari ndani ya CCM na utawala wake?
Maswali ni mengi kuliko majibu, ila jambo la msingi na muhimu CHADEMA kwa sasa imezungungwa na mashushushu wengi ambao kila mtu mwenye ushawishi ndani ya CHADEMA razima apotezwe hasa ambao wanachipukia kisiasa, na ambao wanaonekana watakuja kuwa hatari zaidi hapo siku za usoni.
NB:MWENYEKITI WA CHAMA FUMUA UONGOZI WA CHADEMA UPYA ILI MUWE SALAMA NA PIA LISSU MUHACHIE CHAMA CCM MUMESHAWEZA TEYARI
JPM alisagiwa kunguni na CCM Upinzani na mpaka na Viongozi wa dini!Bora maana ingekuwa ni kipindi cha magu mapovu yangekuwa si ya nchi hii
Hao hao waliomchukuwa unategemea watende kazi gani zaidi?Kuna rafiki yangu mmoja ana cheo kichama.
Nimesoma nae na hata ghetto tulikaa nae Sana
Aliwai nambia ✍️ Dr am 4 real PhD wewe ni jembe na ni very potential unakubalika na una ushawishi kwa watu wanao kuzunguka na jamii kwa ujumla wake.
Nikamjibu: Sipendi Mambo ya siasa KABISA Kuna undumila kuwili mwingi mno.
Humu Jf Kuna brainy nyingi sanaaa Ila zipo mbali na SIASA sababu ya factors nyingi nyingi Kama hizi.
Apumzike kwa amani tuviachie vyombo vya ulinzi na usalama zitende kazi yake.
Unganisha dots na ule mkutano wa vijana uliovurungwa na polis kule mbeya.. ulimskia ulimskia mkuu wa polis alisema nini?Mwenyewe najiuliza, kwamba huyo mzee alikuwa na uwezo wa kuorganize mapinduzi?
Au ukishakuwa JWTZ huruhusiwi kuwa upinzani itabidi uuawe?
Au alikuwa anajua siri gani ama alikuwa na nini cha mno hadi kuamua kumnyamazisha?