TANZIA Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Samia, Samia, Samia. Nimekuita màra tatu, mda utaongea zaidi
 
Hapa naona serikali inapambania usalama wake yenyew na sio usalama wa raia,..
 
Hatuna Rais ndugu yangu, umeshawahi kusikia akitoa kauli yoyote ya KUTOKOMEZA UDHALIMU huo?
Anatakiwa kutoa kauli nakubaliana na wewe kabisa.

Lakini yeye kuhusika nakataa mbinu yake na Abdul ni 👇



Ni carrot on the stick kuhonga watu. Hiyo ni kwa mujibu wa Lissu na hata wanaharakati waliofuatwa.

Utekaji na kuuwa watu sio style yake
 
Inasikitisha sana...
 
Sio watawamaliza wenzetu wewe na Mimi hatuko salama, kwakua hakuna asiye na adui, adui yako atakufanyia unyama kwakua anajua watajua umetekwa na watekaji kama ilivyo anza kuzoeleka
 
J
jpm ndio alianzisha hivi vitengo vya kuua wapinzani na wakosoaji wake..huyu mama shungi yeye nae kaiga kuua ila policeccm wajue nao ni binadamu yana mwisho na mwisho wake ni mbaya sana
 
Mtakao tekwa hapo baadae. Hakikisheni mnakuwa na kauli nzuri na kuomba msamaha..

Hii kujifanya Chuma na mbobevu wa itikadi wanakuua hawa jamaa.
 
Utekaji wa kipindi cha Jiwe ndio utekaji wa hovyo zaidi kwakua ndio ulikua mwanzo was mfumo huu wa hovyo na ovu wa kupoteza watu wenye mawazo mbadala na Serikali, utekaji huu ni mwendelezo wa utakaji ulio anzishwa na Jiwe, wameanzia walipo ishia wakati ule, watu wanatekwa na kuua wa hakuna anaye Kali, sasa tofauti ya Tanzania na Sudan ni ipi?!?
Yule waziri, wizara imemshinda.
Samia anayafurahia haya mambo.
Naanza kuona bora utekaji wa kipindi cha magufuli. Nilijua mwiulu mchemba ndio wazuri mbovu wa mambo ya mdani kuliko wote waliopita kumbe nilikuwa najidanganya.
 
Umeandika tuhuma nzito sana, je una ushahidi nazo? Au unafanya character assassination?
 
Kama sio style yake huyu mbona hachukuliwi hatua?
 
Kama mtu amechukuliwa na polisi mbele ya umma bnankuoatikana akiwa amefariki kuna uhalali wa viongozi wa polisi kuendelea kushika madaraka ya uongozi kuanzia waziri na mkuu wa polisi?
Hao wanafanya kwa maelekezo ya mama ndio mana unaskia taarabu zake majukwani kua watu wanajiteka...yeye ndio kila kitu ndio mana kwenye vitabu vya dini hakuna nabii mwanamke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…