mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Muda bado anao hajachelewa.ila akiwalea itakula kwake.zombe na wenzake si walikamatwa?]aamue sasaUKISHALEWA MADARAKA MUNGU HUWEZI KUMKUMBUKA HATA KAMA ULIKUWA UNASALI KIASI GANI. TATIZO AFRIKA MTU AKIWA KIONGOZI ANAJIONA KAMA YEYE NDIO MUNGU
Hakuna cha mwasisi acheni unafiki wenu!Huu ni muendelezo tu ila yeye ndio muasisi wa huu uhuni...na Wala uwezi kumvua Samia na huu uhuni unyama unaoendelea
Umeona nimesema wanafanyiana dogo? Mbona umekurupuka tu? Tuliza mshono soma kwa utulivu.Kama ni wapinzani wanafanyiana kwa nini wasikamatwe??? Angekuwa ameuliwa babako usingesema utumbo huu
Tatizo sio JPM na wala sio Samia. Tatizo ni mfumo, haya yote yalitokea na yanaendelea kutokea kwa sababu ya mifumo chini ya serikali ya chama cha kijani na wapo kimya. Inasikitisha sana sijui kama taifa tunaelekea wapi kama serikali inashindwa kuhakikisha raia wake wanakuwa salama.
Inasikitisha sanaWatu wanatekwa wanapotea, hawajulikani walipo na tuna waziri wa mambo ya ndani ya nchi na Jeshi lake ambalo ndio limelalamikiwa muda wote. Yupo tu na hajigusi na mamlaka yake ya uteuzi haimgusi, kwamba anafanya kazi nzuri? Hii ni aibu.
Hivi hawa ndio watu wanaotupigia kelele na ving'ora huko barabarani tuwapishe wakimbie? Huwa wanakimbilia wapi?
Jiwe yuko wapi?Hii ndo shida ya Watanzania!! Prove the existence of karma!!
Tunashindwa kujitetea tunasubiri kutetewa na Karma.
Karma? Ya konyo
Kwa hiyo ni drama?Mbona kama ni michezo hii watu wanacheza for political gain 🙄
Siku hizi hata ukipaza sauti tu na wewe unakuwa targetTupaze sauti wahusika kwa kila level wawajibike.
Hamad Massauni tusimuonee.....pale alipo wenye nchi na chama chao hata leo wanaweza kumwondoa hana effect kwenye mambo haya.Chukua hatua Rais wangu.
Pengine umesahau , wacha nikukumbushe wewe ndie Amiri jeshi mkuu wa majeshi yote nchini.
Na pengine umesahau wacha nikukumbushe wewe ndie Mwenyekit wa Baraza la mawazir nchini.
Chukua hatua Rais wangu.
Labda umesahau, wacha nikukumbushe wewe ndie uliyemteua Hamadi Masauni kuwa waziri wa Mambo ya ndani.
Naendelea kukumbumbusha Kwa nia njema Rais wangu, wewe ndie uliyemteua Cammililius Wambura kuwa inspeta jenerali wa polisi nchini.
Na kubwa kuliko yote nakukumbusha kuwa yanayotokea nchini yapo kinyume na sheria za duniani Hadi za dini yako.
Chukua hatua Tafadhar.
Bila kuchukua hatua tutaamin yanayotokea Yana Baraka zako na unafurahia .