TANZIA Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Chizi huyo....

Hana adabu huyo.....

Hawa Makhuluku tabu sijui wanajionaje ?!! 😲😲

Wanajionaje hawa ?!!
 
Ni kweli
P
 
Walaaniwe na walaanike hadi kizazi cha nne wale wote walioshiriki,walioagiza,waliotekeleza mpango huo haramu.
 
Imagine umeshatekwa na wale watu na upo kwenye 18 zao kwenye nyumba moja iliyozungushiwa ukuta mkubwa na uko huko ndani wewe na wao bila mtetezi.
Mzee ali mohamed kibao navaa viatu vyake yani kama namuona najaribu kuwaza alivyokuwa ametiwa pingu huyoooo ndani ya gari mpaka kwenye nyuma ya siri.
Huko anaketishwa na watesi wake labda chini ya sakafu mikono ikiwa imetiwa pingu hawezi kujitetea mara interogation inaanza na maswali ya vitisho huku akijisemea moyoni wataniuwa au wataniacha. Mara anashangaa kwa macho ya kikatili anatobolewa jicho la kwanza kisha la pili nuru inatoweka haoni tena chochote duniani anaanza kulia kwa uchungu jaribu kuwaza sauti ya mzee kama yule akilia kama mtoto mdogo. Mara anashtukia katikati ya mmaumivu hayo anakula nondo ya kichwa na kupoteza fahamu mileleee........
 
Halafu hawa mbwa ndio wanataka eti tuwaheshimu. MUNGU atupe Tu uvumilivu, halafu kuna MTU anasema kila MTU atakufa Tu......Tumuogope Mungu
 
UNAFUKUA KABURI

Mama hapendi hiyo tabia
Hisia na dhahania hazipigwi rungu hawawezi kuzuia watu kukumbuka mateso ya mwisho ya wapendwa wao!
Unadhani watoto wake au mnyika ambae alikuwa kwenye ofisi yake hawana trauma?
 
Mods msifute huu uzi maana tunajaribu kuvaa viatu vya marehemu mzee wetu sio kosa.
 
Halafu hawa mbwa ndio wanataka eti tuwaheshimu. MUNGU atupe Tu uvumilivu, halafu kuna MTU anasema kila MTU atakufa Tu......Tumuogope Mungu
Utawafanya nini? Maana kama ungekuwa na uwezo wa kuwafanya chochote ungeliishawafanya. Zaidi unatamba tu nyuma ya keyboard! Ahahahahaha!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…